Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Nataman Sana kupanga na mimi maana napenda Sana maisha ya ubachela Sana hasa kuwa Free na akili inapanuka Sana ukiwa unajitegemea kuliko kuwa mtu wa kihome boy jau Sana kupitia huu uzima umenipa motisha kinyama ya kwenda kupanga na umeni inspire kuwa hutakiwi kuogopa changamoto hasa ukiwa kama mwanaume ni kupambana na kuwa na nidhamu ya pesa mbona easy Ngoja nilivalie njuga hii mbishe soon ntawapa mirejesho ya kuwa magetoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataman Sana kupanga na mimi maana napenda Sana maisha ya ubachela Sana hasa kuwa Free na akili inapanuka Sana ukiwa unajitegemea kuliko kuwa mtu wa kihome boy jau Sana kupitia huu uzima umenipa motisha kinyama ya kwenda kupanga na umeni inspire kuwa hutakiwi kuogopa changamoto hasa ukiwa kama mwanaume ni kupambana na kuwa na nidhamu ya pesa mbona easy Ngoja nilivalie njuga hii mbishe soon ntawapa mirejesho ya kuwa magetoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu...wanaume tumeumbiwa kupambana
 
Nipo mwaka wa kwanza chuo fulani Dodoma nafikiria mwakani nichukue chumba cha bei chee nianze kuweka mazaga taratibu naamin ntafika tu wakuu
 
Kwani hapo kuna kipi cha kustaajabisha
Achana na watu wa jf.
Fake life.
Ukute kakaa kweye kochi kwa shemeji yake.
Naamini baada ya miaka kadhaa utakuwa na gheto kali.
Wakati nimeanza maisha mpaka sasa kitu pekee ambacho sijabadili ninacho ni kitanda na godoro tu.
Nilianza na tv Samsung inchi 24.
Kafriji cha mlango mmoja.
Kitanda godoro jiko la mchina mkaa na vya kupikia.

Lakini vyote hivyo sina nina kitanda na godoro tu vingine nimeshabadilisha.
Jiko la mchina hata sijui liko wapi
 
Achana na watu wa jf.
Fake life.
Ukute kakaa kweye kochi kwa shemeji yake.
Naamini baada ya miaka kadhaa utakuwa na gheto kali.
Wakati nimeanza maisha mpaka sasa kitu pekee ambacho sijabadili ninacho ni kitanda na godoro tu.
Nilianza na tv Samsung inchi 24.
Kafriji cha mlango mmoja.
Kitanda godoro jiko la mchina mkaa na vya kupikia.

Lakini vyote hivyo sina nina kitanda na godoro tu vingine nimeshabadilisha.
Jiko la mchina hata sijui liko wapi
Saf sana mkuu
 
Upo sahihi kabisa hata mm nashangaa kipi cha ajab anachoshangaa hapo ni hiyo tv ya flat chogo au
Achana na watu wa jf.
Fake life.
Ukute kakaa kweye kochi kwa shemeji yake.
Naamini baada ya miaka kadhaa utakuwa na gheto kali.
Wakati nimeanza maisha mpaka sasa kitu pekee ambacho sijabadili ninacho ni kitanda na godoro tu.
Nilianza na tv Samsung inchi 24.
Kafriji cha mlango mmoja.
Kitanda godoro jiko la mchina mkaa na vya kupikia.

Lakini vyote hivyo sina nina kitanda na godoro tu vingine nimeshabadilisha.
Jiko la mchina hata sijui liko wapi
 
Ghetto baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikarudi kwa kipa ila sasa mambo ya home sijui wadogo zako wako shule kaka zako washaoa na dada washaolewa.

kutumwa royco mchuzi mix, simba 2, steel wire dah! Nkaona haya yote ya nin kidume na kidev changu kimejaa mzuzu kwanza mshua anakata jicho unafuga ndevu nyngi kweny nyumba yake.

Bas nkaona ngoja nirudishe tena majeshi nkarud pasi ndefu za kutosha na kupiga vibarua nkaotea 250,000 chap kulipia kodi hustle zikaanza tena Jah akabless, machalii zangu tukapeana harakati za hapa na pale ndogo ndogo mpaka sasa mungu ni mkubwa kidume napambana 2021 inshallah nataka nivute jiko ndan[emoji41]
 
Mkuu,, mi nilianza kulalia koti geto maana hata hela ya mkeka sikua nayo kibishi, lkn sahiv geto lipo full
dah nlkaa geto cku naamia kwanza n mlman wapangaj wanaona jamaa lmekuja na beg mgongon na ndoo mbil tu geto nkapewa funguo nkazama ndan apo nna elf 30 tu mfukon hata godoro cna jko cna yan cna kila ktu maisha haya kuna cku nkikumbukaga izo moment ua nacheka mwenyew mana nguo za kwenye beg ndio zlkua godoro
 
Ghetto la msela .
JamiiForums756362971.jpg
 
Ghetto baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikarudi kwa kipa ila sasa mambo ya home sijui wadogo zako wako shule kaka zako washaoa na dada washaolewa.

kutumwa royco mchuzi mix, simba 2, steel wire dah! Nkaona haya yote ya nin kidume na kidev changu kimejaa mzuzu kwanza mshua anakata jicho unafuga ndevu nyngi kweny nyumba yake.

Bas nkaona ngoja nirudishe tena majeshi nkarud pasi ndefu za kutosha na kupiga vibarua nkaotea 250,000 chap kulipia kodi hustle zikaanza tena Jah akabless, machalii zangu tukapeana harakati za hapa na pale ndogo ndogo mpaka sasa mungu ni mkubwa kidume napambana 2021 inshallah nataka nivute jiko ndan[emoji41]
Kila la kheri!
Hapo kwenye 2021 hata mimi nitakua na ubavu wa pili majira kama haya Mungu anisaidie
 
dah nlkaa geto cku naamia kwanza n mlman wapangaj wanaona jamaa lmekuja na beg mgongon na ndoo mbil tu geto nkapewa funguo nkazama ndan apo nna elf 30 tu mfukon hata godoro cna jko cna yan cna kila ktu maisha haya kuna cku nkikumbukaga izo moment ua nacheka mwenyew mana nguo za kwenye beg ndio zlkua godoro
Hakika nafurahi kusikia hivo mkuu, maana haya mambo yakusema Ngoja nijipange, utajikuta unachelewa tuu hakuna lolote ulilofanya
 
Back
Top Bottom