Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Nilikua around miaka 25 enzi hizo.....
Mawazo yangu yote yalikua kuzamia South Africa, Nikiwa nimezaliwa na kukulia Dar Uswahilini, ambapo kila siku ya Mungu story ni kijana flani Jana kaondoka South Africa, Kesho utasikia flani nae kaondoka na walikua hawaagi....

Binafsi na Mimi nilikua miongoni mwa Vijana wenye mawazo hayo ya kuzamia SA, UTOFAUTI ni kwamba Mimi sikutaka Kuiba home ili nipate nauli, Nilianza kukusanya pesa mdogo mdogo mpaka nikafikisha 300,000.

Kuulizia Passport ya Kibongo Naambiwa inatoka kwa 50,000 lakini lazima uhonge kama 50,000 nyingine ili uweze kupata mkoba wa Kitabu.
Nikipiga hesabu nitabakiwa na 200,000 Ukiweka nauli Dar to SA na kula pia pesa ya kujikimu njiani nikaona hela haitatosha....

Siku naamka asubihi Naambiwa Mwana jirani yangu kasepa, ila katumia Passport ya Mozambique ambayo enzi hizo Ilikua inatolewa kwa 3,000 T'sh wakati ya Tanzania 50,000!

Siku iliyofata nikatimba Ubalozi wa Mozambique, Getini naulizwa Una shida gani? Najibu nataka kwenda Office za Ubalozi, nikaulizwa "Wewe Kabila gani"
Swali likiwa gumu coz sikujipanga, nikaanza Maelezo..... "Mimi nilikuja Bongo Nikiwa mdogo, Nimesoma hapa, nimekulia hapa, Wazazi wangu wamefia hapa, Sasa nataka kurudi Nyumbani Kule Wazazi wametoka "
Yule mlinzi akanitizamaaa, na kweli Maneno yangu na uso wangu vilikua vina ushirikiano, mixer kulegea na machozi Akaniuliza "wewe Mmakonde nikajibu ndiyo, (Japo Mimi sikua Mmakonde)

Akaniambia Polee.... Ingia kwenye ule Mlango pale..... Nakaingia Ubalozini, nikakuta Raia kibao, Wazungu, wahindi, Wachina na Waswahili Wamejazana pale Ubalozini, nikatafuta kiti nikakaa, Counter kulikua na watoa huduma 3, wakiume 2 wa kike 1, nikaanza kutazama Sura za wale watoa huduma ili niweze kuona nani anaweza kuwa na Sura ya kutoa msaada, nikamwona Brother mmoja kafuga Ndevu kama Rick Rose ila nilivyomtizama Usoni tena kwa ndani ya Moyo wake, nikagundua Brother yule ni Mpole na mwenye kusaidia mtu... Nikapanga foleni nikafika zamu yangu.... "Karibu nikuhudumie " nikajibu Asante...." Nikamwambia "Brother Mimi nataka kurudi Home nimekuja kufatilia Passport"
Akaniuliza "home wapi, nikamjibu "Mwidumbe! "

Akanielekeza nije Kesho yake nipeleke barua ya Utamburisho kwenye office zao za Jumuia Zipo nyuma ya Jengo lile, then Jumuia watanipa Barua ya Utamburisho then ndo ntapeleka Ubalozini tayari kwa Passport...
Ukweli safari Ilikua na mtihani mpaka kuja kupata Passport, mixer kukamatwa kutaka kupelekwa Police n.k


Kifupi siku napata Passport narudi home ili nifanye safari siku 3 TU zilizokua zinafata, na nilikua nafanya safari kimya kimya, sikutaka mtu mwingine ajue zaidi ya Rafiki yangu ambaye tulipanga tuondoke wote...

Nafungua Mlango tu naingia ndani nakuta Ndugu kibao Sebuleni, mpaka Ma Aunty na Washua wakubwa na Wadogo walokuwa wakiishi Mikoa jirani wapo ndani, nikajua tu hiki kikao Mimi Ndo mlengwa!

Nikaanza kusomewa Shtaka kwamba nataka nizamie SA, kwa njia za Panya, sina Documents wala nini, na kwamba ntakufa njiani na Maiti yangu isionekane, Wazee wakarap vibaya mno....
Nikajitetea kuwa Mimi sizamii, naenda kihalali, na Passport nnayo, wakasema niwaonyeshe, nikaitoa, kuiona ni ya Mozambique........ Nikawa kama nimejipalia Makaa, "Unaona, anataka kutuletea matatizo, Mtanzania unaenda kuchukua Passport ya Mozambique si hatari, ukifa huko sisi tutapataje taarifa!?

In short Ilikua Kesi kubwa nikaahirisha safari, nikachana ile passport mbele yao....

Baada ya week nikaomba kikao na Wakubwa....

Nikawaambia nilitaka kwenda SA kutafuta changamoto ya Maisha coz mimi ni wa Kiume, kwa vile haikuwapendeza nika cancel safari.... Sasa nataka nijitegemee..... Wazee wakasema nitawezaje kujitegemea Nikiwa sina Ajira!?
Nikawaambia nikitoka hapa Akili itafunguka namna ntavyoishi, nikakomaa Mwisho Wakaelewa, wakaniruhusu wakanambia siku ukikwama Urudi nyumbani TAFADHARI!

Ile pesa niliyotaka kutumia kama Nauli nikatafuta CHUMBA nikanunua Godoro nikaweka Chini nikaanza Maisha ya kujitegemea, Nikiwa Sijui baadaye ya week moja ntakula, pesa ntapata wapi!?

Toka pale sikuwahi kurudisha Mpira kwa Kipa, nna Familia na maisha yanaenda....

Daah
Mteremko wa stori yako nimeukubali sana hasa nikikumbuka miaka hiyo lakini sijui hii ni wewe au mshkaji
Lakini nakukubali sana kwenye ukweli
Sababu hata mimi nilikuwa na akili hiyo sana
🙏
 
Nilikua around miaka 25 enzi hizo.....
Mawazo yangu yote yalikua kuzamia South Africa, Nikiwa nimezaliwa na kukulia Dar Uswahilini, ambapo kila siku ya Mungu story ni kijana flani Jana kaondoka South Africa, Kesho utasikia flani nae kaondoka na walikua hawaagi....

Binafsi na Mimi nilikua miongoni mwa Vijana wenye mawazo hayo ya kuzamia SA, UTOFAUTI ni kwamba Mimi sikutaka Kuiba home ili nipate nauli, Nilianza kukusanya pesa mdogo mdogo mpaka nikafikisha 300,000.

Kuulizia Passport ya Kibongo Naambiwa inatoka kwa 50,000 lakini lazima uhonge kama 50,000 nyingine ili uweze kupata mkoba wa Kitabu.
Nikipiga hesabu nitabakiwa na 200,000 Ukiweka nauli Dar to SA na kula pia pesa ya kujikimu njiani nikaona hela haitatosha....

Siku naamka asubihi Naambiwa Mwana jirani yangu kasepa, ila katumia Passport ya Mozambique ambayo enzi hizo Ilikua inatolewa kwa 3,000 T'sh wakati ya Tanzania 50,000!

Siku iliyofata nikatimba Ubalozi wa Mozambique, Getini naulizwa Una shida gani? Najibu nataka kwenda Office za Ubalozi, nikaulizwa "Wewe Kabila gani"
Swali likiwa gumu coz sikujipanga, nikaanza Maelezo..... "Mimi nilikuja Bongo Nikiwa mdogo, Nimesoma hapa, nimekulia hapa, Wazazi wangu wamefia hapa, Sasa nataka kurudi Nyumbani Kule Wazazi wametoka "
Yule mlinzi akanitizamaaa, na kweli Maneno yangu na uso wangu vilikua vina ushirikiano, mixer kulegea na machozi Akaniuliza "wewe Mmakonde nikajibu ndiyo, (Japo Mimi sikua Mmakonde)

Akaniambia Polee.... Ingia kwenye ule Mlango pale..... Nakaingia Ubalozini, nikakuta Raia kibao, Wazungu, wahindi, Wachina na Waswahili Wamejazana pale Ubalozini, nikatafuta kiti nikakaa, Counter kulikua na watoa huduma 3, wakiume 2 wa kike 1, nikaanza kutazama Sura za wale watoa huduma ili niweze kuona nani anaweza kuwa na Sura ya kutoa msaada, nikamwona Brother mmoja kafuga Ndevu kama Rick Rose ila nilivyomtizama Usoni tena kwa ndani ya Moyo wake, nikagundua Brother yule ni Mpole na mwenye kusaidia mtu... Nikapanga foleni nikafika zamu yangu.... "Karibu nikuhudumie " nikajibu Asante...." Nikamwambia "Brother Mimi nataka kurudi Home nimekuja kufatilia Passport"
Akaniuliza "home wapi, nikamjibu "Mwidumbe! "

Akanielekeza nije Kesho yake nipeleke barua ya Utamburisho kwenye office zao za Jumuia Zipo nyuma ya Jengo lile, then Jumuia watanipa Barua ya Utamburisho then ndo ntapeleka Ubalozini tayari kwa Passport...
Ukweli safari Ilikua na mtihani mpaka kuja kupata Passport, mixer kukamatwa kutaka kupelekwa Police n.k


Kifupi siku napata Passport narudi home ili nifanye safari siku 3 TU zilizokua zinafata, na nilikua nafanya safari kimya kimya, sikutaka mtu mwingine ajue zaidi ya Rafiki yangu ambaye tulipanga tuondoke wote...

Nafungua Mlango tu naingia ndani nakuta Ndugu kibao Sebuleni, mpaka Ma Aunty na Washua wakubwa na Wadogo walokuwa wakiishi Mikoa jirani wapo ndani, nikajua tu hiki kikao Mimi Ndo mlengwa!

Nikaanza kusomewa Shtaka kwamba nataka nizamie SA, kwa njia za Panya, sina Documents wala nini, na kwamba ntakufa njiani na Maiti yangu isionekane, Wazee wakarap vibaya mno....
Nikajitetea kuwa Mimi sizamii, naenda kihalali, na Passport nnayo, wakasema niwaonyeshe, nikaitoa, kuiona ni ya Mozambique........ Nikawa kama nimejipalia Makaa, "Unaona, anataka kutuletea matatizo, Mtanzania unaenda kuchukua Passport ya Mozambique si hatari, ukifa huko sisi tutapataje taarifa!?

In short Ilikua Kesi kubwa nikaahirisha safari, nikachana ile passport mbele yao....

Baada ya week nikaomba kikao na Wakubwa....

Nikawaambia nilitaka kwenda SA kutafuta changamoto ya Maisha coz mimi ni wa Kiume, kwa vile haikuwapendeza nika cancel safari.... Sasa nataka nijitegemee..... Wazee wakasema nitawezaje kujitegemea Nikiwa sina Ajira!?
Nikawaambia nikitoka hapa Akili itafunguka namna ntavyoishi, nikakomaa Mwisho Wakaelewa, wakaniruhusu wakanambia siku ukikwama Urudi nyumbani TAFADHARI!

Ile pesa niliyotaka kutumia kama Nauli nikatafuta CHUMBA nikanunua Godoro nikaweka Chini nikaanza Maisha ya kujitegemea, Nikiwa Sijui baadaye ya week moja ntakula, pesa ntapata wapi!?

Toka pale sikuwahi kurudisha Mpira kwa Kipa, nna Familia na maisha yanaenda....
Wazee waliRAP vibaya mno[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana hapo.
 
Nilipoondoka nyumbani mwanza wiki iliyopita , nilifikia gheto la mshkaji , then juzi nilitafuta chumba cia bei chee pale KIGOGO , DAH sema chumba kikubwa umeme maji yapo ,

nilijiwekea kauli mbiu kuwa korona ikiisha , naacha kukaa kwa ndugu hapa dsm , na nimefanikisha asilimia 100%


Hints:

All in all wiki ijayo nataka kuanya kuchakata viazi m vitamu , maana ujana maji moto .
Hongera sana mkuu
 
Jamani nauza viatu VIPYA bei 20k nipo dsm KIGOGO
 

Attachments

  • 118305505_305662717549122_1632336717657973379_o.jpg
    118305505_305662717549122_1632336717657973379_o.jpg
    20.5 KB · Views: 33
  • 118258565_305662104215850_115292616299041652_o.jpg
    118258565_305662104215850_115292616299041652_o.jpg
    98.5 KB · Views: 33
Wajuba, Nilimaliza chuo nkawaza sana nirudi home akili ikagoma Nkaendelea kuishi Hostel uku mzee ashapiga kelele nirudi home au Atakata mrija wa Kunipa mpunga nkaona potelea pote ngoja nimuoneshe mshua walau naweza kukaa mbali na home bila hata mia yake nilivunga hostel kama Miezi 3 ivi na vyuo vilikuwa vimevungwa Nilijenga urafikia na walinzi tu ili niwe nazama kulala Hostel za chuo nilikuwa nawatoa toa fegi niliandika rundo la CV nkasambaza kila ofisi inayo deal na career yangu final nkapata mchongo Salary ya kwanza tu huyo Magetoni nkalipa room miezi miwili nkanunua na mkeka, balance ingine ikabaki mfukoni mwezi ujao nkavuta Godoro, Mwezi ujao kitanda mdo mdo mpaka geto likajaa baada ya mwaka Mshua alizidi kelele sana nirudi home kusimamia project zake Nkatafakari wee mwisho tukaelewana, Wakati nasepa geto halikuwa mbali na chuo kuna dogo alitoka bush uko from nowhere tu alikuja chuo pale hana anaemjua nilikaa nae kama mwezi wakati nasepa nilimuachia almost kila kitu na nkampa wosia kuwa kama home hamna ramani aanze kuangalia mishe wakati anasoma hata nikutembeza karanga hostel itamjenga wakati anachomoka third atakuwa kajifunza kujitegemea na hatakuwa na akili ya kwenda kugombea ugali na wadogo zake.
 
Jamaa yangu alikuwa anatafuna demu mwenye jina kama lako getoni ubungo sio we kweli?
 
Mimi nina 23 years now, nimeanza kuishi geto nikiwa na miaka 19, baada ya kupote ada ya chuo million 2 na nusu ila saiv maisha yanaenda vzr tu namshukuru Mungu kwa kupoteza hela nilikimbia kipigo cha mzeee baba
Hahaa! Kama upo DSM naomba nikutembelee kama ndugu
 
Humu ndani mko kimya...

Wekeni picha basi + stories za ghetto
Jamaa yangu juzi kalipiwa chumba na mama wa demu wake kwa miez 6..saiz anawaza baada ya hyo miez 6 itakuaje..nikamwambia ndo ushahamia geto tena..jamaa alikua anakaa hom kwao...muda mwingine analala hom kwa demu ...sasa mama mtu (mama wa demu)akasema ngoja niwatafutie geto hawa[emoji16]

Sema saiz jamaa kawa na mishe mishe
 
Back
Top Bottom