Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Hapo kuna mawili ......either kaachiwa na ndugu yake .......au aliuziwa na wale last year.....yan unauziwa vyote vilivyomo geto
Ktk maisha yangu sijawahi nunua kitu kwa mtu, kitu nikikipenda natafuta hela naingia dukani kuchukua, na ktk maisha yangu sipendi vitu vya kupewa au kuachiwa.

Kaka zangu (twins) wanasoma Muhas last yr now, na hao wenyewe kila mtu anaishi kwake japo ni majirani tyuuh sehem wanayoishi. Wakimaliza vitu vyao uamuzi ni wao kuuza au kurudi navyo home.

Kwa upande wangu vitu nilivyokua navyo nikihitimu siwezi kuuza narudi navyo home tyuuh. Ili nikaanzie maisha sehemu nyingine.
 
Wee lako hebu nione.
Mimi siishi gheto nakaa mjengoni nakumbuka kama 2019 nishawai comment uu uzi kuwa panapo majariwa 2020 naamia kwangu nikitoka home mungu nae akajibu mahombi yangu
 
Mimi siishi gheto nakaa mjengoni nakumbuka kama 2019 nishawai comment uu uzi kuwa panapo majariwa 2020 naamia kwangu nikitoka home mungu nae akajibu mahombi yangu
Hongera sana, kumbe ukiwa unapanda ngazi vile ni home? Lol.
 
Gheto nimeanza kukaa nlipoanza high school...Mzee wa mshikaji wangu alitupa nyumba ambayo haijaisha tukakarabati chumba kimoja tukahamia tukawa tunapiga Msuli humo...tunaenda kupiga msosi ma kwetu tunarudi Gheto kutoboa...after high school nikapata kazi mkoani, Mzee akanipa Godoro tu nikaanzie Maisha then akaniambia mimi na wewe are done, i never looked back since then.
 
Iyo ni single rum, priority yangu ilikua ni kulipa kodi ndogo ili niweze kusave hela ya kujaza vitu ndani kwanza, so kodi nalipa 50k

Nimetumia mwaka mmoja kujaza vitu ndani...kwa chapchap gharama zote ni kama 1.5M japo nilikua naweka kitu kimoja kimoja mpaka kufikia hapo

Personally napenda kuishi maisha mazuri, kwahiyo huwa najibana sana, yani sana...Apa nipo kwenye mchakato wa kufunga WI-FI ili mda wote niwe nastream NETFLIX na YOUTUBE....Sipendi kutumia ving'amuzi na kwa kifupi i am not a fan of local content

Ni hayo tu mkuu
Asante mkuu..nimekuelewa sana mkuu...Kumbe inawezekana..asante sana kwa kunipa hamasa ya kuboresha zaidi mazingira yangu..Bless up.
 
Gheto nimeanza kukaa nlipoanza high school...Mzee wa mshikaji wangu alitupa nyumba ambayo haijaisha tukakarabati chumba kimoja tukahamia tukawa tunapiga Msuli humo...tunaenda kupiga msosi ma kwetu tunarudi Gheto kutoboa...after high school nikapata kazi mkoani, Mzee akanipa Godoro tu nikaanzie Maisha then akaniambia mimi na wewe are done, i never looked back since then.
Aiseee kibish kwel [emoji3][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom