Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Cheki Sea Piano inauzwa Laki na nusu Kkoo, ipo vyema sana na inadumu, pia sio mbaya ukitafuta na stabilizer inasaidia sana kutochoma vifaa vya umeme
Ukitumia cable extension yenye fuse naona kama inasaidia vile maana umeme ukizidi, inamelt afu umeme unakuwa haufiki kwny kifaa chako
 
Napambana na mie nihamie gheto lenye rangi jamani. Kikubwa gheto liwe na mziki na kitv cha kisela
IMG_20210921_181301_566.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa story zote humu. Mimi naona nilipanga nyumba sio ghetto 😂😂😂😂… nimemaliza tu chuo. Nilishachukua ghorofa vyumba vitano. Kimara suca. Stand alone. Mageti mawili. Alafu friji lina mayai juice za kumix zile concetrated. Maisha safi. Na nikawa nakaa na wadada aisee.. walikua mamevimba nyuma. Ilikua nataka mm nitandike yupi. I had everything. Ila baada ya miaka mitatu nilihama nyumba nikarudisha mpira kwa kipa.
Sikuwahi jua pesa ilitoka wapi ila nilikua nina hela. Magari nimeuza, nyumba nimepangisha. Na club nilizoenda walikua wakinilipa😂😂😂😂😂. I love BONGO
 
NA MIMI NGOJA NISHEE KIDOGO NILIANZAJE KUKAA GHETTO

Sikuwahi kuamini ntakaa getto labda hadi siku mambo yangu yangekaa sawa na sikujua ni lini [emoji1]...

Kama wewe n kijana ambaye umelose ramani naomba soma hapa...

Baada ya mambo yangu kwenda kombo kuanzia kielimu na kimkakati nikaamua kurudi home.. Aisee aibu hiyo usiombe coz kero n nyingi dharau kama zote... Halafu michongo ikawa haisongi kabisa washikaji zangu wengi wako mikoa mingine, wengine washaoa na wengine wana michongo kadha wa kadha dah. Wakati Mimi sina A wala B..

Basi mwaka huu mwezi wa sita nikapiga dili za hapa na pale nikapata vilaki kadhaa nikaapa safari hii sifanyi biashara yyt bora nipange geto langu tu hata kama ntakua nalala njaa but niwe Huru... Langa aliwahi kuimba bora kurogwa kuliko kukosa Uhuru.. Sasa nilikua nimekereka sana na maisha ya home hata mademu nilikua nikipata wananiuliza hivi unakaa kwenu au umepanga nikisema kwetu inakua tabu wengine nilishindwa kula tunda kimasihara.. Shahidi Riki boy [emoji1][emoji1787]

Basi bana nikapata room tsh 30k per month bahati nzuri huku mkoani n bonge la chumba kwa hiyo bei full marumaru... Na Mimi nilipangilia 60k iwe kwa ajili ya rent nikapay na kuanza life nakumbuka siku ya kwanza nilikua na kitanda tu 4 kwa 6 na dogoro langu la bei chee.. Da hata kuna manzi alinitembelea niliona aibu sana.

To cut a story nashukuru Mungu nimekuwa nikipiga vibarua na kununua baadhi ya vitu vya ndani hadi sasa japo sijafika viwango navyotamani but at least nina amani ya moyo hata mgeni anaweza nitembelea akala akaoga na kulala...[emoji16] Maisha ya home yasikie tu mambo ya kuamushwa kuchota maji au kusafisha uwanja ili Nile ugali wa shikamoo yalinitesa sana... Nashukuru Mungu sasahivi nipo huru now nimejifunza sana maisha hata jero ina thamani sana na pia najichanganya sana kwenye madili mbalimbali sichagui kazi na nshapiga kazi ambazo sikiwahi kuamini kama ntazimudu[emoji6][emoji23]... Kubwa zaidi nimepata na mchumba if God wish tutaoana very soon japo nimepitia machungu but final I can smile now... Niishie hapo.. Kijana usiogope kutoka nyumbani Mungu atakupigania niseme tu ukweli ukiwa home huwezi pata akili ya kufight maisha yaani hizo harakati nazopiga ili nisifukuzwe nilipopanga ningezipiga wakati nipo home basi ningekua mbali mno.... Na mengi sana ya kusimulia but niishie hapa kwa leo.

Mungu ni muweza

Cc Wakipekee
Mchumba at this point? Vijana mnajiamini sana!
 
Uuuuuh cc kipendhii [emoji7][emoji7][emoji7]nmekumic had naumwa, nlkua buzzy na field, ila nlipewa Ban ya 2months, yaan we acha tyuuh lol
Umepewa ban na mods au
 
Oyaa wanna ..magetoni ndio mipango acheni kukaa kaa om aise ..piga mishe yeyote, beba hata ma.vi, zibua mitaro, okota makopo uza ila usikae home aise ..ni kwere kinyama
Ila msifanye haraka kutoka home kama hujakaa vizuri kisa pressure za watu wa nje. Nakumbuka nilivyorudi kutoka mihangaikoni kwasababu ya ugeni nilifikia home. Walinzi na watu wengine wakaanza maneno sasa hivi nawapelekea magari waoshe!
 
Back
Top Bottom