Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Wikiendi nikiwa free nachemsha maharage kilo mbili ,nyama kilo 3/4 hivi kuna visado naweka humo hayo makitu yanakaa kwenye freezer

Kazi yangu ni kusaga nyanya na brenda na kukata vitunguu ,hoho na karoti naunga mboga zangu safi nakuka wali au ugali .

Freezer naweka juice mimi ni mdau wa fresh juice

Kikubwa napenda sana misosi ya kupika home fresh

Huko kwenye vibabda vya mama ntilie tunakishwaga sana makorokocho na maexpaya [emoji1787]
Safi Sana kaka
 
ukiwa peke yako na kama una support ya ndugu sawa utatoboa, ila kama ndio boom kila kitu support ya ndugu ni chenga basi mcheki mwanao mwenye itikadi kama zako( yan chuo kimoja na course moja) ili mpange, mkiwa wawili cost huwa zinapungua

kuhusu eneo ni nyie tu, Either magomeni, kigamboni au Manzese
Nipo peke yangu na support ya ndugu ninayo.
Wapi nafuu kati ya magomeni na kigamboni katika kodi na usafiri hadi dit?
 
Oyaaa mzee panga at your own risk. Kama unampango wa kubaki hapo hapo baada ya kumaliza college unaweza kupanga. Ila utarudi home usipange. Coz ghetto linakula hela hasa mwanzoni. Ni Bora ukomae na kitabu then ndo upange. Tulio wengi vyuoni tulipanga kwa ajiri ya kula mademu. Ukiwa hostel inakulazimu uende guest (lkn ukiwa hostel kitabu kinapanda Sana coz hakuna starehe sana, Ni msuli tu)
Mkuu sitaki kurudi home tena.Kuhusu mambo ya bebezi sijatilia maanani kihivyo,bado naweza piga msuli.
 
Wikiendi nikiwa free nachemsha maharage kilo mbili ,nyama kilo 3/4 hivi kuna visado naweka humo hayo makitu yanakaa kwenye freezer

Kazi yangu ni kusaga nyanya na brenda na kukata vitunguu ,hoho na karoti naunga mboga zangu safi nakuka wali au ugali .

Freezer naweka juice mimi ni mdau wa fresh juice

Kikubwa napenda sana misosi ya kupika home fresh

Huko kwenye vibabda vya mama ntilie tunakishwaga sana makorokocho na maexpaya [emoji1787]
Dah safi sana nampango nitafute friji ndogo asee napenda sana maharage shida kupika kila siku changamoto, Umenipa wazo Moja kubwa sana nkipata friji weekend nkiwa home napika mazaga hayo
 
Nipo peke yangu na support ya ndugu ninayo.
Wapi nafuu kati ya magomeni na kigamboni katika kodi na usafiri hadi dit?
Kama mwenyewe nenda magomen karibia na manzese(njia hyo yanapopita mwendokasi) nauli bei Chee ila ukitaka kigamboni daily utapiga Anza kanoon au laa ulazimishe kupanda gari mbili zisizo na lazima.
 
Kama mwenyewe nenda magomen karibia na manzese(njia hyo yanapopita mwendokasi) nauli bei Chee ila ukitaka kigamboni daily utapiga Anza kanoon au laa ulazimishe kupanda gari mbili zisizo na lazima.
Mkuu mwendokasi nauli si 650.Nikipiga Anza kanoon bei ngapi?
 
hahaha unajua nini ,wengi wananunua hivyo vitu ulivyovitaja ili akiingiza demu amsfiie na iwe rahisi kuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Mfano

"mmh kwako pazuri"
"Mmh unaish pekeako na wakat unakila kitu "
"Niachie bas ufunguo niwe nakuja kukufanyia usafi"

wakuu niendelee au [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16]
 
Mkuu mwendokasi nauli si 650.Nikipiga Anza kanoon bei ngapi?
Kama unatokea kigamboni feri itakubidi kulipia pantoni mara ya mwisho me kupanda ilikuwa 200 ukishuka kwa pantoni mpaka kuikamata dit kutembea ni kihatua kidogo njia ni mbili Lakin Moja ya kutokea DMI,lango la jiji, Samora, kisutu then uikamate DIT alafu nyingine ni ya kupitia posta mpya ambayo ndo ndefu zaidi. Kama utapita darajani nauli hadi machinga complex ni 500 Sijui 600 ukifika machinga utapanda gari zinazoenda posta mpya au mnazi m1 apo nauli 400, So hadi hapo umeelewa wap nafuu kwako

NB: Apo ni kama umebahatika kupata chumba karibu kabisa na feri Lakin tofauti na hvyo itakulazimu uongeze naul tena ya bajaji 500
 
Nipo peke yangu na support ya ndugu ninayo.
Wapi nafuu kati ya magomeni na kigamboni katika kodi na usafiri hadi dit?
Magomeni au Manzese gari zinakuacha pale fire au lumumba unajongea mdogo mdogo mpk chuo, kuhusu Kigamboni mdogo mdogo ni kutokea pale feri ( kuna vyumba vipo sio mbali na feri kwa kigamboni) hivyo kama vipindi vya asubuhi gari muhimu ili kuwahi (300 tu) na 200 pantoni ila kurudi ni wewe tu,

kuhusu bei, kote inategemeana na quality ya chumba, kadri chumba kinavyokuwa classic ndio bei inapanda ( tiles, fensi, gypsum, aluminium n.k) ila hivi vya kawaida 30k mpaka 50k kwa mwezi
 
Magomeni au Manzese gari zinakuacha pale fire au lumumba unajongea mdogo mdogo mpk chuo, kuhusu Kigamboni mdogo mdogo ni kutokea pale feri ( kuna vyumba vipo sio mbali na feri kwa kigamboni) hivyo kama vipindi vya asubuhi gari muhimu ili kuwahi (300 tu) na 200 pantoni ila kurudi ni wewe tu,

kuhusu bei, kote inategemeana na quality ya chumba, kadri chumba kinavyokuwa classic ndio bei inapanda ( tiles, fensi, gypsum, aluminium n.k) ila hivi vya kawaida 30k mpaka 50k kwa mwezi

Magomeni au Manzese gari zinakuacha pale fire au lumumba unajongea mdogo mdogo mpk chuo, kuhusu Kigamboni mdogo mdogo ni kutokea pale feri ( kuna vyumba vipo sio mbali na feri kwa kigamboni) hivyo kama vipindi vya asubuhi gari muhimu ili kuwahi (300 tu) na 200 pantoni ila kurudi ni wewe tu,

kuhusu bei, kote inategemeana na quality ya chumba, kadri chumba kinavyokuwa classic ndio bei inapanda ( tiles, fensi, gypsum, aluminium n.k) ila hivi vya kawaida 30k mpaka 50k kwa mwezi
Kuna uhakika wa chumba karibia na feri?Maana hizo sehemu zinagombewa kwakua kila mtu anataka unafuu au imekaaje?
 
Back
Top Bottom