Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Ni ndefu kidogo.

Uzi huu umenifanya nipange na nitoke kwa wazazi.

Niliuona uzi huu mwaka juzi mwaka 2020 kipindi cha Corona, nakumbuka nilikuwa broke sana na stress (anxiety disorder) kwa hiyo hata kufanya kazi nyumbani nilikuwa sifanyi. Yaani nilikuwa sina motivation ya kufanya chochote kile.

Siku moja tuliitwa vijana wote. Tuseme familia nzima. Nilisemwa sana mbele za watu na mzee kuwa mimi ni mvivu sifanyi chochote hata chumba changu nashindwa kufagia (which is not true).

Ile kitu ilinichukua sana. Kufokewa mbele ya wadogo zako na kuitwa mchafu sidhani ka ntakuja kusahau na tangu siku ile mission ilikuwa moja tu. Kuondoka nyumbani. Na sikutaka kumshirikisha yeyote. Nilitaka nifanye mwenyewe.

Ilinichukua muda kidogo kujipanga lakini alhamdulilah sasa hivi nipo kwangu. Nina mwezi sasa. Sijawahi kulala chini, nina uhuru wa kutosha na siombi chochote cha mtu kikubwa ni kuzidi kupambana tu maana ukiacha kusalimia sidhan ka ntarudi.

Sina lengo la kumpa presha yeyote na pengine ni mapema sana kusema hivi lakini kijana hasa wa kiume kuna umri ukifika ondoka kwenu. Maana ukikaa nyumbani kwanza utakuwa unawaza hela ndogo ndogo tu za kunnua mashati na suruali. Hutapata mwamko wa, kufanya zaidi.

Yes hakuna ubaya wa kukaa nyumbani haswaa kama kwenu haupewi hiyo presha lakini you never know wanaongelea nini at the back kuwa uko irresponsible n.k na pia kuna umri ukifika kaa peke yako kwanza jitafute.

Ili kuwa inspire wengine sidhani ka ntaposti geto langu humu ila nimeambatanisha na andiko langu la April 2020 la hapa JF ambalo nilisema kabisa kuwa ntaondoka nyumbani. God is Great!

Mkuu Walec nashukuru sana kwa kuanzisha uzi huu. Siku ingine nitakuja hapa kueleza zaidi.
View attachment 2125957
 
Ni ndefu kidogo.

Uzi huu umenifanya nipange na nitoke kwa wazazi.

Niliuona uzi huu mwaka juzi mwaka 2020 kipindi cha Corona, nakumbuka nilikuwa broke sana na stress (anxiety disorder) kwa hiyo hata kufanya kazi nyumbani nilikuwa sifanyi. Yaani nilikuwa sina motivation ya kufanya chochote kile.

Siku moja tuliitwa vijana wote. Tuseme familia nzima. Nilisemwa sana mbele za watu na mzee kuwa mimi ni mvivu sifanyi chochote hata chumba changu nashindwa kufagia (which is not true).

Ile kitu ilinichukua sana. Kufokewa mbele ya wadogo zako na kuitwa mchafu sidhani ka ntakuja kusahau na tangu siku ile mission ilikuwa moja tu. Kuondoka nyumbani. Na sikutaka kumshirikisha yeyote. Nilitaka nifanye mwenyewe.

Ilinichukua muda kidogo kujipanga lakini alhamdulilah sasa hivi nipo kwangu. Nina mwezi sasa. Sijawahi kulala chini, nina uhuru wa kutosha na siombi chochote cha mtu kikubwa ni kuzidi kupambana tu maana ukiacha kusalimia sidhan ka ntarudi.

Sina lengo la kumpa presha yeyote na pengine ni mapema sana kusema hivi lakini kijana hasa wa kiume kuna umri ukifika ondoka kwenu. Maana ukikaa nyumbani kwanza utakuwa unawaza hela ndogo ndogo tu za kunnua mashati na suruali. Hutapata mwamko wa, kufanya zaidi.

Yes hakuna ubaya wa kukaa nyumbani haswaa kama kwenu haupewi hiyo presha lakini you never know wanaongelea nini at the back kuwa uko irresponsible n.k na pia kuna umri ukifika kaa peke yako kwanza jitafute.

Ili kuwa inspire wengine sidhani ka ntaposti geto langu humu ila nimeambatanisha na andiko langu la April 2020 la hapa JF ambalo nilisema kabisa kuwa ntaondoka nyumbani. God is Great!

Mkuu Walec nashukuru sana kwa kuanzisha uzi huu. Siku ingine nitakuja hapa kueleza zaidi.
View attachment 2125957
Woyoooooo [emoji485][emoji485][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


Another victory to ghetto dudes... karibu bro
 
Woyoooooo [emoji485][emoji485][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


Another victory to ghetto dudes... karibu bro
Asante kaka sasa hivi ni mwendo wa kukarangiza tu madiko madiko mwenyewe.

Nashukuru bro
 
Nakumbuka ndio nimemaliza chuo sina Ramani, home ninapoishi sio kwetu, ni kwa baba yangu mdogo mimi nimefanya kulelewa tu, kwa baba yangu Mzazi mama yangu hataki hata kunisikia kwani mama yangu alifariki nikiwa hata primary school sijaanza, pale home ninapoishi maneno ya kaanza kwamba nakula tu ila sipeleki chochote, mara nashindwa kutafuta hata kazi, Yale maneno yaliponifikia kupitia watu wema moyo uliniuma sana, nilipiga vibarua nikapata kodi ya miezi 6 na pia Kuna jamaa yangu aliniuzia kitanda bila Godoro kwa bei Rahisi, nikatafuta chumba, bahati nzuri baba mwenye nyumba alinipa apartment inayojitegemea ya vyumba viwili na sebure, akanambia chumba cha Pili amehifadhi vitu vyake mimi nilipie chumba kimoja tu, nilimpa kodi ya miezi 6, pale sebureni kilikua na set ya makochi niliikuta, nilianza kulalia pale, baadae baba mwenye nyumba aliniazima Godoro nikinunua langu nimrudishie, nilikaa pale kwa Tabu sana na home nikakata kwenda kula, nilikua Kuna siku napigika nalalia kipande cha Tikiti maji, Mungu akajalia nikapata project ya miaka Minne, Kidogo kidogo maisha yakaanza kubadilika, ikifika mwisho wa mwezi nanunua misosi na mazagazaga kibao napeleka halafu wala siendi kula, nikawa na make hela, nikanunua mashamba, nikafungua Biashara, ya Retail shop, mradi ulivyoisha maisha yakawa hayanipigi chenga nashukuru Riziki napata kupitia mashamba na Biashara yangu, nimepanda machungwa sasa hivi nakula ki ulaini, baba mwenye nyumba aliondoa vitu vyake sasa namiliki Ile apartment yote mwenyewe, ili kulipa fadhira nikamchukua mtoto wa baba yangu mdogo nimekaa nae miaka Minne mpaka anamaliza form four mwaka jana, Nimeoa na nina watoto wa wawili wa kiume na pia nafikiri kwanza ujenzi kwani nimeshanunua kiwanja, kwa kifupi katika maisha usikate tamaa
 
Nakumbuka ndio nimemaliza chuo sina Ramani, home ninapoishi sio kwetu, ni kwa baba yangu mdogo mimi nimefanya kulelewa tu, kwa baba yangu Mzazi mama yangu hataki hata kunisikia kwani mama yangu alifariki nikiwa hata primary school sijaanza, pale home ninapoishi maneno ya kaanza kwamba nakula tu ila sipeleki chochote, mara nashindwa kutafuta hata kazi, Yale maneno yaliponifikia kupitia watu wema moyo uliniuma sana, nilipiga vibarua nikapata kodi ya miezi 6 na pia Kuna jamaa yangu aliniuzia kitanda bila Godoro kwa bei Rahisi, nikatafuta chumba, bahati nzuri baba mwenye nyumba alinipa apartment inayojitegemea ya vyumba viwili na sebure, akanambia chumba cha Pili amehifadhi vitu vyake mimi nilipie chumba kimoja tu, nilimpa kodi ya miezi 6, pale sebureni kilikua na set ya makochi niliikuta, nilianza kulalia pale, baadae baba mwenye nyumba aliniazima Godoro nikinunua langu nimrudishie, nilikaa pale kwa Tabu sana na home nikakata kwenda kula, nilikua Kuna siku napigika nalalia kipande cha Tikiti maji, Mungu akajalia nikapata project ya miaka Minne, Kidogo kidogo maisha yakaanza kubadilika, ikifika mwisho wa mwezi nanunua misosi na mazagazaga kibao napeleka halafu wala siendi kula, nikawa na make hela, nikanunua mashamba, nikafungua Biashara, ya Retail shop, mradi ulivyoisha maisha yakawa hayanipigi chenga nashukuru Riziki napata kupitia mashamba na Biashara yangu, nimepanda machungwa sasa hivi nakula ki ulaini, baba mwenye nyumba aliondoa vitu vyake sasa namiliki Ile apartment yote mwenyewe, ili kulipa fadhira nikamchukua mtoto wa baba yangu mdogo nimekaa nae miaka Minne mpaka anamaliza form four mwaka jana, Nimeoa na nina watoto wa wawili wa kiume na pia nafikiri kwanza ujenzi kwani nimeshanunua kiwanja, kwa kifupi katika maisha usikate tamaa
You did it broo. Life Ni kupambana tu. Na umefanya vzr kutikuweka visasi, kitu kimoja umeweza Sana.
 
Ni ndefu kidogo.

Uzi huu umenifanya nipange na nitoke kwa wazazi.

Niliuona uzi huu mwaka juzi mwaka 2020 kipindi cha Corona, nakumbuka nilikuwa broke sana na stress (anxiety disorder) kwa hiyo hata kufanya kazi nyumbani nilikuwa sifanyi. Yaani nilikuwa sina motivation ya kufanya chochote kile.

Siku moja tuliitwa vijana wote. Tuseme familia nzima. Nilisemwa sana mbele za watu na mzee kuwa mimi ni mvivu sifanyi chochote hata chumba changu nashindwa kufagia (which is not true).

Ile kitu ilinichukua sana. Kufokewa mbele ya wadogo zako na kuitwa mchafu sidhani ka ntakuja kusahau na tangu siku ile mission ilikuwa moja tu. Kuondoka nyumbani. Na sikutaka kumshirikisha yeyote. Nilitaka nifanye mwenyewe.

Ilinichukua muda kidogo kujipanga lakini alhamdulilah sasa hivi nipo kwangu. Nina mwezi sasa. Sijawahi kulala chini, nina uhuru wa kutosha na siombi chochote cha mtu kikubwa ni kuzidi kupambana tu maana ukiacha kusalimia sidhan ka ntarudi.

Sina lengo la kumpa presha yeyote na pengine ni mapema sana kusema hivi lakini kijana hasa wa kiume kuna umri ukifika ondoka kwenu. Maana ukikaa nyumbani kwanza utakuwa unawaza hela ndogo ndogo tu za kunnua mashati na suruali. Hutapata mwamko wa, kufanya zaidi.

Yes hakuna ubaya wa kukaa nyumbani haswaa kama kwenu haupewi hiyo presha lakini you never know wanaongelea nini at the back kuwa uko irresponsible n.k na pia kuna umri ukifika kaa peke yako kwanza jitafute.

Ili kuwa inspire wengine sidhani ka ntaposti geto langu humu ila nimeambatanisha na andiko langu la April 2020 la hapa JF ambalo nilisema kabisa kuwa ntaondoka nyumbani. God is Great!

Mkuu Walec nashukuru sana kwa kuanzisha uzi huu. Siku ingine nitakuja hapa kueleza zaidi.
View attachment 2125957
Mkuu kwanza big up sana kwa kuchukua maamuzi ya kukimbia Nyumbani,Kiukwel uliyoyasema yote ni sawa,,ni ngumu sana kuwaza makubwa ukiwa hom na pia nyuma ya pazia ni dharaua ,siku wakikuchoka ndio wanakulipua mbele ya wadogo zako.
 
Nakumbuka ndio nimemaliza chuo sina Ramani, home ninapoishi sio kwetu, ni kwa baba yangu mdogo mimi nimefanya kulelewa tu, kwa baba yangu Mzazi mama yangu hataki hata kunisikia kwani mama yangu alifariki nikiwa hata primary school sijaanza, pale home ninapoishi maneno ya kaanza kwamba nakula tu ila sipeleki chochote, mara nashindwa kutafuta hata kazi, Yale maneno yaliponifikia kupitia watu wema moyo uliniuma sana, nilipiga vibarua nikapata kodi ya miezi 6 na pia Kuna jamaa yangu aliniuzia kitanda bila Godoro kwa bei Rahisi, nikatafuta chumba, bahati nzuri baba mwenye nyumba alinipa apartment inayojitegemea ya vyumba viwili na sebure, akanambia chumba cha Pili amehifadhi vitu vyake mimi nilipie chumba kimoja tu, nilimpa kodi ya miezi 6, pale sebureni kilikua na set ya makochi niliikuta, nilianza kulalia pale, baadae baba mwenye nyumba aliniazima Godoro nikinunua langu nimrudishie, nilikaa pale kwa Tabu sana na home nikakata kwenda kula, nilikua Kuna siku napigika nalalia kipande cha Tikiti maji, Mungu akajalia nikapata project ya miaka Minne, Kidogo kidogo maisha yakaanza kubadilika, ikifika mwisho wa mwezi nanunua misosi na mazagazaga kibao napeleka halafu wala siendi kula, nikawa na make hela, nikanunua mashamba, nikafungua Biashara, ya Retail shop, mradi ulivyoisha maisha yakawa hayanipigi chenga nashukuru Riziki napata kupitia mashamba na Biashara yangu, nimepanda machungwa sasa hivi nakula ki ulaini, baba mwenye nyumba aliondoa vitu vyake sasa namiliki Ile apartment yote mwenyewe, ili kulipa fadhira nikamchukua mtoto wa baba yangu mdogo nimekaa nae miaka Minne mpaka anamaliza form four mwaka jana, Nimeoa na nina watoto wa wawili wa kiume na pia nafikiri kwanza ujenzi kwani nimeshanunua kiwanja, kwa kifupi katika maisha usikate tamaa
Well done mkuu,you made it...kweli vijana tusikate tamaa no matter what.[emoji119][emoji119]
 
Nimeikuta tiktok uko
 
Back
Top Bottom