lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 618
- 1,287
WANA MAISHA LAZIMA YAENDELEE NA MAGHATTO LAZIMA YAENDELEE.
Nawasalimu katika jina la maghetto.
Mabroo na machalii nataka nishushe thread moja kuhusu maisha ya upambanaji, nafikiri itakua jioni ndo mda nzuri. Naamini inaweza kua isparational kwa wenzangu tuliosoma na hatukupata ajira na tukaamua kujiongeza wenyewe.
Pia kwa wale ambao hawana ajira rasmi yaan leo yupo huku, kesho yupo huku. Lkn life linaendelea.
Nawasalimu katika jina la maghetto.
Mabroo na machalii nataka nishushe thread moja kuhusu maisha ya upambanaji, nafikiri itakua jioni ndo mda nzuri. Naamini inaweza kua isparational kwa wenzangu tuliosoma na hatukupata ajira na tukaamua kujiongeza wenyewe.
Pia kwa wale ambao hawana ajira rasmi yaan leo yupo huku, kesho yupo huku. Lkn life linaendelea.