Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

[emoji23][emoji23][emoji23]hamna chief, mfano wali nyama na ndondo wa buku 2500 kwa mgahawanj kwa kupika mwenyewe gharama zitazidi tu.

Babu ukianza na Mchele , plus mafuta, nyama na ndondo, viungo sijui nyanya na wenzake wakina vitunguu nk shilling ngapi mpk hapo ?
Bado hujaja umeme au gesi, plus na muda wako wa kusubiri kuivisha.
Ndo maana nasema ukiwa mwenyewe kama huna fridge la kuhifadhi chakula kingi,kupika gharama ni kubwa zaidi mzee kuliko kula mgahawanj chakula cha aina moja. Labda ugonge tu ugali na dagaa chukuchuku
Hamna ww tu,hata kama huna fridge unaacha tu mboga yako wazi,unakula asubuh,mchana na jioni na kesho tena asubuh yake...kula nje sio mchezo mkuu, [emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna chief, mfano wali nyama na ndondo wa buku 2500 kwa mgahawanj kwa kupika mwenyewe gharama zitazidi tu.

Babu ukianza na Mchele , plus mafuta, nyama na ndondo, viungo sijui nyanya na wenzake wakina vitunguu nk shilling ngapi mpk hapo ?
Bado hujaja umeme au gesi, plus na muda wako wa kusubiri kuivisha.
Ndo maana nasema ukiwa mwenyewe kama huna fridge la kuhifadhi chakula kingi,kupika gharama ni kubwa zaidi mzee kuliko kula mgahawanj chakula cha aina moja. Labda ugonge tu ugali na dagaa chukuchuku

Mkuu nyama ukinunua ya buku 2 unapika unakula mara 2 tena una enjoy sio ule wa ndondo 2
Mchele nusu wa buku
Mafuta + mazaga buku
Kwa buku 4 unakula msosi mtamu sanaa milo miwili sasa mtaani hapo utapata ka wali kadogo mara ukute wali umepikwa vibaya
 
Tena ukija ukaamua kupika wali dagaa or ugali ndo price inaenda deep down
Sehemu nyingine nyama ya buku tu unapata ya kutosha
 
Ni ndefu kidogo.

Uzi huu umenifanya nipange na nitoke kwa wazazi.

Niliuona uzi huu mwaka juzi mwaka 2020 kipindi cha Corona, nakumbuka nilikuwa broke sana na stress (anxiety disorder) kwa hiyo hata kufanya kazi nyumbani nilikuwa sifanyi. Yaani nilikuwa sina motivation ya kufanya chochote kile.

Siku moja tuliitwa vijana wote. Tuseme familia nzima. Nilisemwa sana mbele za watu na mzee kuwa mimi ni mvivu sifanyi chochote hata chumba changu nashindwa kufagia (which is not true).

Ile kitu ilinichukua sana. Kufokewa mbele ya wadogo zako na kuitwa mchafu sidhani ka ntakuja kusahau na tangu siku ile mission ilikuwa moja tu. Kuondoka nyumbani. Na sikutaka kumshirikisha yeyote. Nilitaka nifanye mwenyewe.

Ilinichukua muda kidogo kujipanga lakini alhamdulilah sasa hivi nipo kwangu. Nina mwezi sasa. Sijawahi kulala chini, nina uhuru wa kutosha na siombi chochote cha mtu kikubwa ni kuzidi kupambana tu maana ukiacha kusalimia sidhan ka ntarudi.

Sina lengo la kumpa presha yeyote na pengine ni mapema sana kusema hivi lakini kijana hasa wa kiume kuna umri ukifika ondoka kwenu. Maana ukikaa nyumbani kwanza utakuwa unawaza hela ndogo ndogo tu za kunnua mashati na suruali. Hutapata mwamko wa, kufanya zaidi.

Yes hakuna ubaya wa kukaa nyumbani haswaa kama kwenu haupewi hiyo presha lakini you never know wanaongelea nini at the back kuwa uko irresponsible n.k na pia kuna umri ukifika kaa peke yako kwanza jitafute.

Ili kuwa inspire wengine sidhani ka ntaposti geto langu humu ila nimeambatanisha na andiko langu la April 2020 la hapa JF ambalo nilisema kabisa kuwa ntaondoka nyumbani. God is Great!

Mkuu Walec nashukuru sana kwa kuanzisha uzi huu. Siku ingine nitakuja hapa kueleza zaidi.
View attachment 2125957
Hii kitu hua inaumiza sana,,,lkn pia hua inatujenga sana.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka ndio nimemaliza chuo sina Ramani, home ninapoishi sio kwetu, ni kwa baba yangu mdogo mimi nimefanya kulelewa tu, kwa baba yangu Mzazi mama yangu hataki hata kunisikia kwani mama yangu alifariki nikiwa hata primary school sijaanza, pale home ninapoishi maneno ya kaanza kwamba nakula tu ila sipeleki chochote, mara nashindwa kutafuta hata kazi, Yale maneno yaliponifikia kupitia watu wema moyo uliniuma sana, nilipiga vibarua nikapata kodi ya miezi 6 na pia Kuna jamaa yangu aliniuzia kitanda bila Godoro kwa bei Rahisi, nikatafuta chumba, bahati nzuri baba mwenye nyumba alinipa apartment inayojitegemea ya vyumba viwili na sebure, akanambia chumba cha Pili amehifadhi vitu vyake mimi nilipie chumba kimoja tu, nilimpa kodi ya miezi 6, pale sebureni kilikua na set ya makochi niliikuta, nilianza kulalia pale, baadae baba mwenye nyumba aliniazima Godoro nikinunua langu nimrudishie, nilikaa pale kwa Tabu sana na home nikakata kwenda kula, nilikua Kuna siku napigika nalalia kipande cha Tikiti maji, Mungu akajalia nikapata project ya miaka Minne, Kidogo kidogo maisha yakaanza kubadilika, ikifika mwisho wa mwezi nanunua misosi na mazagazaga kibao napeleka halafu wala siendi kula, nikawa na make hela, nikanunua mashamba, nikafungua Biashara, ya Retail shop, mradi ulivyoisha maisha yakawa hayanipigi chenga nashukuru Riziki napata kupitia mashamba na Biashara yangu, nimepanda machungwa sasa hivi nakula ki ulaini, baba mwenye nyumba aliondoa vitu vyake sasa namiliki Ile apartment yote mwenyewe, ili kulipa fadhira nikamchukua mtoto wa baba yangu mdogo nimekaa nae miaka Minne mpaka anamaliza form four mwaka jana, Nimeoa na nina watoto wa wawili wa kiume na pia nafikiri kwanza ujenzi kwani nimeshanunua kiwanja, kwa kifupi katika maisha usikate tamaa
Champ[emoji120][emoji120]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu Kwema ?

Kwa experience yangu ndogo ya kukaa gheto, kama unajipikia mwenyewe gharama itakuwa juu, labda uwe unapika kingi unahifadhi jokofuni. Unless muwe zaidi ya mmoja ndani. Ila ni bora kuliko nyumbani, utalemaa akili

Inahitaji ujasiri na commitment kweli, maana wengine bi wakubwa ndo wanataka uendelee kukaa nao[emoji23]
Kuna rafiki yangu mmoja mama yake alijifanya mpk anaumwa akaenda kulazwa kabisa kwamba presha imepanda baada ya jamaa kuamua kuondoka home[emoji23], na jamaa akakaza hivyo hivyo mwaka wa tatu saivi mama keshazoea na jamaa kaoa last year

Anyway,

Hivi nyumba ya vyumba viwili na sebule kwa laki 2 inayojitegemea, ukiachana na maeneo ya kimara mpk mbezi mwisho au na pasiwe uswazi sana.. nyumba ya namna hiyo mtu unaweza kupata mitaa ya wapi ? Naomba usaidizi katika hili wakulungwa… bila dalali lakini[emoji16]
Hapa mjini kutafuta nyumba bila dalali n sawa na kutafuta sidiria ya mikono mirefu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Eeeh bhana mm safari yangu sijui niseme n ngumu ni rahisi,
Nilimaliza form four huko mkoani kutokana na ukorofi mwingi nikashauriwa nije kwa dada dar au kwa shemeji kama wengi mpendavyo kusema[emoji23],maisha yalisonga form four nikadunda duung, nikaambia nikasome nikakataa nikaenda ufundi chap nikahitim nikaanza kujipatia ridhiki mtaani ila bdo nipo kwa dada,sasa ikafika mahali sijui n shetan anapitaga au mipango ya Mungu ili lengo litimie ikawa kama kisirani hapo home kuna beki 3 wa kiume mmoja na madogo walioko form 2 na form 1 wawili,mm n mkubwa kwao na nikipata vihela kuna huwa napiga tafu home nadhan mnaelewa,lkn nashangaa naambiwa eti niwah kuamka niende nikachote maji na nisaidie kazi za nyumbani,kwa mwanaume nikaona hii n kufukuzwa kijanja,nikatengeneza kitanda yangu swafi,nunua godoro lipa kodi kabisa nikaja kumwambia dada mm kesho nasepa,dada akagoma shemeji akagoma mama kijijin akagoma lkn nikaweka ngumu nasepa nikasepa,,,aisee nilipitia msoto mmoja heavy qmmk,kama mnakumbuka zamani kidogo kulikua na daladala zinapaki darajani pale zinaenda gongo la mboto kwa buku 2 usiku nimeendesha sana kihiace pale,Mungu si athuman life likaachia nikawa napiga kazi kimtindo nikaja kumpa mwanamke mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha ya mwanamme n kuteseka tuu,nikasema nikioa na huyu dem alivyo ntakua chizi dem akaenda kushtaki kwa yule dada angu nikaekwa kikao na ndugu nikasema nitampangishia chumba akakataa qmmk akasema niondoke mm nikatafute chumba yeye abaki pale ndugu wakakubali maana walsema wakikataa itaonekana wananipendelea isitoshe yeye hakua na ndugu kwenye hicho kikao,,

Baas bwana ikabidi nirudi kwa sister na beg langu la nguo,nmekaa pale huku napiga show zangu mtaani,,siku moja nimekaa Na jamaa angu akaniambia sasa iv unapata ela usiende tena kupanga utapotea pambana ujenge,yaaan yule jamaa n kama vile alinipiga kofi ili kushtua akili yangu,nikaanza michakato Mungu sio DeepPond wala sio rikiboy bhana[emoji23][emoji23][emoji23] nikafanikiwa kupata kakiwanja kenye 15 kwa 12 nikaplan room kadhaa nikafanikiwa kumaliza now naishi gheto la kwangu sio la kupanga tena[emoji120][emoji120][emoji120]

Mara nyingi mama wa mtoto ananiulizaga u ajisikiaje ukiwa kwako namuambia nakushukuru sana wewe kwa sababu kama sio wewe ungekuta nimepanga bado,

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hamna chief, mfano wali nyama na ndondo wa buku 2500 kwa mgahawanj kwa kupika mwenyewe gharama zitazidi tu.

Babu ukianza na Mchele , plus mafuta, nyama na ndondo, viungo sijui nyanya na wenzake wakina vitunguu nk shilling ngapi mpk hapo ?
Bado hujaja umeme au gesi, plus na muda wako wa kusubiri kuivisha.
Ndo maana nasema ukiwa mwenyewe kama huna fridge la kuhifadhi chakula kingi,kupika gharama ni kubwa zaidi mzee kuliko kula mgahawanj chakula cha aina moja. Labda ugonge tu ugali na dagaa chukuchuku
Bro kuna vitu ukiwa ghetto unaweza nunua kwa wingi mfano mafuta ya kupikia,unga,mchele sukar na vya aina hio,unakua unabadili mboga tu...Kujipikia ina save sana pesa
 
Eeeh bhana mm safari yangu sijui niseme n ngumu ni rahisi,
Nilimaliza form four huko mkoani kutokana na ukorofi mwingi nikashauriwa nije kwa dada dar au kwa shemeji kama wengi mpendavyo kusema[emoji23],maisha yalisonga form four nikadunda duung, nikaambia nikasome nikakataa nikaenda ufundi chap nikahitim nikaanza kujipatia ridhiki mtaani ila bdo nipo kwa dada,sasa ikafika mahali sijui n shetan anapitaga au mipango ya Mungu ili lengo litimie ikawa kama kisirani hapo home kuna beki 3 wa kiume mmoja na madogo walioko form 2 na form 1 wawili,mm n mkubwa kwao na nikipata vihela kuna huwa napiga tafu home nadhan mnaelewa,lkn nashangaa naambiwa eti niwah kuamka niende nikachote maji na nisaidie kazi za nyumbani,kwa mwanaume nikaona hii n kufukuzwa kijanja,nikatengeneza kitanda yangu swafi,nunua godoro lipa kodi kabisa nikaja kumwambia dada mm kesho nasepa,dada akagoma shemeji akagoma mama kijijin akagoma lkn nikaweka ngumu nasepa nikasepa,,,aisee nilipitia msoto mmoja heavy qmmk,kama mnakumbuka zamani kidogo kulikua na daladala zinapaki darajani pale zinaenda gongo la mboto kwa buku 2 usiku nimeendesha sana kihiace pale,Mungu si athuman life likaachia nikawa napiga kazi kimtindo nikaja kumpa mwanamke mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha ya mwanamme n kuteseka tuu,nikasema nikioa na huyu dem alivyo ntakua chizi dem akaenda kushtaki kwa yule dada angu nikaekwa kikao na ndugu nikasema nitampangishia chumba akakataa qmmk akasema niondoke mm nikatafute chumba yeye abaki pale ndugu wakakubali maana walsema wakikataa itaonekana wananipendelea isitoshe yeye hakua na ndugu kwenye hicho kikao,,

Baas bwana ikabidi nirudi kwa sister na beg langu la nguo,nmekaa pale huku napiga show zangu mtaani,,siku moja nimekaa Na jamaa angu akaniambia sasa iv unapata ela usiende tena kupanga utapotea pambana ujenge,yaaan yule jamaa n kama vile alinipiga kofi ili kushtua akili yangu,nikaanza michakato Mungu sio DeepPond wala sio rikiboy bhana[emoji23][emoji23][emoji23] nikafanikiwa kupata kakiwanja kenye 15 kwa 12 nikaplan room kadhaa nikafanikiwa kumaliza now naishi gheto la kwangu sio la kupanga tena[emoji120][emoji120][emoji120]

Mara nyingi mama wa mtoto ananiulizaga u ajisikiaje ukiwa kwako namuambia nakushukuru sana wewe kwa sababu kama sio wewe ungekuta nimepanga bado,

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiseee
 
Eeeh bhana mm safari yangu sijui niseme n ngumu ni rahisi,
Nilimaliza form four huko mkoani kutokana na ukorofi mwingi nikashauriwa nije kwa dada dar au kwa shemeji kama wengi mpendavyo kusema[emoji23],maisha yalisonga form four nikadunda duung, nikaambia nikasome nikakataa nikaenda ufundi chap nikahitim nikaanza kujipatia ridhiki mtaani ila bdo nipo kwa dada,sasa ikafika mahali sijui n shetan anapitaga au mipango ya Mungu ili lengo litimie ikawa kama kisirani hapo home kuna beki 3 wa kiume mmoja na madogo walioko form 2 na form 1 wawili,mm n mkubwa kwao na nikipata vihela kuna huwa napiga tafu home nadhan mnaelewa,lkn nashangaa naambiwa eti niwah kuamka niende nikachote maji na nisaidie kazi za nyumbani,kwa mwanaume nikaona hii n kufukuzwa kijanja,nikatengeneza kitanda yangu swafi,nunua godoro lipa kodi kabisa nikaja kumwambia dada mm kesho nasepa,dada akagoma shemeji akagoma mama kijijin akagoma lkn nikaweka ngumu nasepa nikasepa,,,aisee nilipitia msoto mmoja heavy qmmk,kama mnakumbuka zamani kidogo kulikua na daladala zinapaki darajani pale zinaenda gongo la mboto kwa buku 2 usiku nimeendesha sana kihiace pale,Mungu si athuman life likaachia nikawa napiga kazi kimtindo nikaja kumpa mwanamke mimba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maisha ya mwanamme n kuteseka tuu,nikasema nikioa na huyu dem alivyo ntakua chizi dem akaenda kushtaki kwa yule dada angu nikaekwa kikao na ndugu nikasema nitampangishia chumba akakataa qmmk akasema niondoke mm nikatafute chumba yeye abaki pale ndugu wakakubali maana walsema wakikataa itaonekana wananipendelea isitoshe yeye hakua na ndugu kwenye hicho kikao,,

Baas bwana ikabidi nirudi kwa sister na beg langu la nguo,nmekaa pale huku napiga show zangu mtaani,,siku moja nimekaa Na jamaa angu akaniambia sasa iv unapata ela usiende tena kupanga utapotea pambana ujenge,yaaan yule jamaa n kama vile alinipiga kofi ili kushtua akili yangu,nikaanza michakato Mungu sio DeepPond wala sio rikiboy bhana[emoji23][emoji23][emoji23] nikafanikiwa kupata kakiwanja kenye 15 kwa 12 nikaplan room kadhaa nikafanikiwa kumaliza now naishi gheto la kwangu sio la kupanga tena[emoji120][emoji120][emoji120]

Mara nyingi mama wa mtoto ananiulizaga u ajisikiaje ukiwa kwako namuambia nakushukuru sana wewe kwa sababu kama sio wewe ungekuta nimepanga bado,

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Big up mkuu,kikubwa umetoka kweny himaya yao,uko free sasa [emoji2]...
 
Taa hata wewe unaweza kufunga mimi nilichukua hiyo picha nikamfuta fundi na vipimo vyangu na jinsi nataka iwe

images.jpeg.jpg
 
Tunasubiri mkuu
Wakuuu nitaleta uzi nilio uahidi, nilikua site mishemshe. But nimerudi home usiku huu.
Pia kuna wahuni wamedukua account yangu ya Instagram. Yaan Ni shida Kama Kuna mtu anajua namna ya kurudisha anisaidie.
 
Back
Top Bottom