Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Kitanda kinauzwa bei ni 170k.
Location: Mabibo
0694149204
IMG_1761.jpg
 
Neti za nini ghetto?
Au ndio malaria inaua

Sijuag kwanin
Me naweza nkakaa na wew sehemu me nkawa nalalamika mbu ila wew hapana
Hivyo lazima iwepo sijui dam yangu ni pilau kwao[emoji28][emoji28]
 
Ilikuwa 2013 nikiwa mwaka wa kwanza chuo fulani Dar ikafka muda wa field june had Septemba nikatafuta room Kyela mjini 10 per month nikaona si haba nikanunua godoro na kitanda chap maisha yakaenda hadi 2017 nilipoamua kuoa nikaondoka pale na kuhamia maeneo yanaitwa Welfare. Hadi leo naishi maeneo fulani wilayani hapa hapa
 
Nlikua sjaona kumbe ni kinu cha jbl,,aisee hapo ndani majiran kaz wanayo [emoji23][emoji110][emoji119][emoji119]

Mala nyingi hua siiwash
Coz kichwa hua kinauma nkiiweka mda mrefu
Hadi niamie kwangu(inshallah) coz patakua papana
 
Back
Top Bottom