7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,729
- 7,966
[emoji1666][emoji1666]Asante sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1666][emoji1666]Asante sana mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sana asee.. Asante kwa ushauri
Ukishapika emu tuoneHapa natoboa miezi 2 ghettoView attachment 2234621
Sio kweli [emoji23]Hapa natoboa miezi 2 ghettoView attachment 2234621
Unaubaya mwaisaHapa natoboa miezi 2 ghettoView attachment 2234621
Kila kitu kitakuwa sawa mzee NEVER GIVE UPGhetto ninaloishi lina mkeka,ndoo ya maji na mifuko yangu ya nguo..napambana nafanya biashara ya kutembeza bidhaa za urembo.wiki hii mambo ni mazuri jumatatu mauzo yalikuwa 37,000 leo 26,000 napambana kutafuta hela pia nasali sana ili mwaka 2023 nije kuwa na ghetto zuri lenye vitu vizuri ndani..
Matumizi yangu hayafiki 5000 kwa siku na mara nyingi ni chini ya 4000 hela ya kula naitoa kwenye biashara hii hii ambayo niliianza jumatano iliyopita hadi jumapili nilipumzika niweza kusave 63,000 hadi leo na nimeshatoa hela ya kwenda kuongeza vitu kesho kariakoo..
Lengo langu niongeze biashara ya pembeni ili inigharamie bill zangu za kila siku.Lengo langu la mwaka ujao niwe na ghetto zuri lenye vitu vizuri ndani vilevile ninunue bodaboda hata ya mtumba iniingizie pesa na vilevile niwekeze kwenye kilimo kama sitafanikiwa katika yote hayo matatu basi at least hayo malengo mawili yatimie.
Uzi huu umenigusa sana hadi nmeamua kuishi mwenyewe kwangu kiukweli sijawahi kuandika post ndefu kuliko hii hapa JF ila kwa hisani ya uzi huu nimeshare jambo langu smartphone yenyewe ninayotumia ni majanga panapo majaaliwa nitaleta mrejesho wa maendeleo ya biashara na picha ghetto langu kwa sasa..
Roger that!
[emoji23][emoji23]Sio kweli [emoji23]
SafiFrom gheto to homeView attachment 2236036
ukiwa gheto mwenyew ni raha sana[emoji3][emoji3]unakula na unapika mda unataka
Mkuu umekuna nazi? Au umetia wapi ilo tui 😃
NdiwoooFrom gheto to homeView attachment 2236036
haha hapana, sahivi ukienda gengeni .... unakuniwa kabisa, na zile mashine...Mkuu umekuna nazi? Au umetia wapi ilo tui [emoji2]
Hapana Kaka,ila napajua hapo Makambako vizuri sana,kuanzia Kitisi mpaka Magegele.Yap..vp na ww uko pande za mk?
Poa sana tu...mi nimeamua kufanyia harakati zangu hapaHapana Kaka,ila napajua hapo Makambako vizuri sana,kuanzia Kitisi mpaka Magegele.
Harakati zinasogea lakini hapo?Poa sana tu...mi nimeamua kufanyia harakati zangu hapa