Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Mwenzenu ndo naandaa kiwanja hapa.

Soon najenga chumba na sebule😜😜
Geto la single room naona halitojitosheleza

IMG_20220621_154113_961.jpg
IMG_20220621_152920_013.jpg
 

Attachments

  • IMG_20220621_154113_961.jpg
    IMG_20220621_154113_961.jpg
    845.8 KB · Views: 52
Mzeya umetisha...yaani kasofa ka machinjio kapo karibu na uwanja wa sita kwa sita🤣🤣🤣🤣

Nimeioenda hii mbuni. Yule aliyekuwa anauliza unamtoaje demu toka kwenye kochi hadi kitandani achukue hii mbinu....yaani hapa kama unamsukuma mlevi tuu🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 zero distance... Hii inaokoa sana muda
 
Back
Top Bottom