Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Daah kwa mwendo huo sasa wenye nyumba watakula wapi sasa?Yeah nilienda[emoji23]
Nimeambiwa no kuhama home[emoji23]
Hama nyumbani fasta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kwa mwendo huo sasa wenye nyumba watakula wapi sasa?Yeah nilienda[emoji23]
Nimeambiwa no kuhama home[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah kwa mwendo huo sasa wenye nyumba watakula wapi sasa?
Hama nyumbani fasta
Mito inanilalia na ninailalia[emoji23]Sasa hapa unalala wapi mito yote hii [emoji2]
Hongera sanaMwenzenu ndo naandaa kiwanja hapa.
Soon najenga chumba na sebule[emoji12][emoji12]
Geto la single room naona halitojitosheleza
View attachment 2270843View attachment 2270845
Tunduru sehem gani bosslady?Niienda mbeya,nikarudi nikaelekea tunduru
Nililalaga songea[emoji23]
Yaani niliambiwa boda kutoka stend ya zamani hadi luhuwiko ni sh,15000[emoji23]
Hukaribishi wageni humo nije nikuonyeshe Kazi ya hiyo mito?Napenda kitanda kiwe na mito mingii[emoji7]View attachment 2270663
Uhakika😀Mgeni anafkia hapo kwanza
Hongera
Tunduru mjini,mbesa,nalasi,mchotekaTunduru sehem gani bosslady?
😂😂 uwanja wa mazoeziMachinjioni.
Weraaaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe huyo,nichoree hapa kazi ya mito nijifunze[emoji23]Hukaribishi wageni humo nije nikuonyeshe Kazi ya hiyo mito?
[emoji39][emoji39][emoji39]
#YNWA
😂😂😂😂 zero distance... Hii inaokoa sana mudaMzeya umetisha...yaani kasofa ka machinjio kapo karibu na uwanja wa sita kwa sita🤣🤣🤣🤣
Nimeioenda hii mbuni. Yule aliyekuwa anauliza unamtoaje demu toka kwenye kochi hadi kitandani achukue hii mbinu....yaani hapa kama unamsukuma mlevi tuu🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoja nije PM, unaweza nipa namba ya bodaboda anilete nikuonyeshe ...!!Wewe huyo,nichoree hapa kazi ya mito nijifunze[emoji23]
Kabisa...tena game linaanza hapo hapo kwa sofa😂😂😂😂 zero distance... Hii inaokoa sana muda
Ahaa uko napaona kama bush tu me for now Maisha yamenitupa Tunduru Mjini penyewe apaapa..Anyway karibu tenaTunduru mjini,mbesa,nalasi,mchoteka
Nichoree hapa nione[emoji3061]Ngoja nije PM, unaweza nipa namba ya bodaboda anilete nikuonyeshe ...!!
#YNWA
Ndiyo ni bush, nilikaa one week niliona kama nimekaa mwezi[emoji23]Ahaa uko napaona kama bush tu me for now Maisha yamenitupa Tunduru Mjini penyewe apaapa..Anyway karibu tena