Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

IMG_20220911_231551_889.jpg







GHETOOOO LANGU USIKU HUU KINALIKA HIKI **********
 
Umeweka nyanya nyingi sana,

Mboga usitie mafuta mengiii au nyanya nyingiiii,,,weka kiasi tu inapendeza, Nyanya unatumia kusaga??

Halafu kitunguu jitahidi uwe unakata vyembamba,maana hapo vinaonekana
Nyanya nyingi na mafuta mengi ndiyo fresh mboga inakuwa rosti mchuzi mzito ni mzuri zaidi kuliko mchuzi wa mimaji mimaji
 
Wanangu samahani
Hivi kukaa geto na demu vipi?? Imekaaje??
Kwenye suala zima la utafutaji??

Yani kabla ya ndoa unaamua kukaa geto na demu

Ushauri wazeee wa kazi
Hapana akae kwao awe anakuja kukusalimia tu,saiz we jiweke sawa kwanza mwenyew
 
Back
Top Bottom