Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Inategemea kama ndo unaanza mi naona bora kula kwa mama ntilie wakat unaanza kununua mfn mafut kdg kdgara sufuria na mazaga mengne ya kupkia mixer viungo ila ukidanya kwa sku moja unaweza kuta imekata ata 10k kwa sku moja
Sahihi kabisa
 
Ilikua ni godoro tu.
20221010_111307.jpg
 
Inategemea kama ndo unaanza mi naona bora kula kwa mama ntilie wakat unaanza kununua mfn mafut kdg kdgara sufuria na mazaga mengne ya kupkia mixer viungo ila ukidanya kwa sku moja unaweza kuta imekata ata 10k kwa sku moja
Japo vyakula vya mama ntilie sio poah,sometimes tunalishwa vitu vya ajabu.
 
Inategemea kama ndo unaanza mi naona bora kula kwa mama ntilie wakat unaanza kununua mfn mafut kdg kdgara sufuria na mazaga mengne ya kupkia mixer viungo ila ukidanya kwa sku moja unaweza kuta imekata ata 10k kwa sku moja
Sufuria zipo,mchawi jiko na chakula tu yaani.
 
Back
Top Bottom