Mtu Fodontino
JF-Expert Member
- May 9, 2021
- 351
- 558
Bora kupika aiseeWakuu wa kukaa geto kimasihara,kupika mwenyewe na kula kwenye migawaha ipi Bora?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kupika aiseeWakuu wa kukaa geto kimasihara,kupika mwenyewe na kula kwenye migawaha ipi Bora?
Sahihi kabisaInategemea kama ndo unaanza mi naona bora kula kwa mama ntilie wakat unaanza kununua mfn mafut kdg kdgara sufuria na mazaga mengne ya kupkia mixer viungo ila ukidanya kwa sku moja unaweza kuta imekata ata 10k kwa sku moja
Hii mwaka gan mkuu [emoji119]Ilikua ni godoro tu.View attachment 2384225
Mwaka jana,Hii mwaka gan mkuu [emoji119]
Japo vyakula vya mama ntilie sio poah,sometimes tunalishwa vitu vya ajabu.Inategemea kama ndo unaanza mi naona bora kula kwa mama ntilie wakat unaanza kununua mfn mafut kdg kdgara sufuria na mazaga mengne ya kupkia mixer viungo ila ukidanya kwa sku moja unaweza kuta imekata ata 10k kwa sku moja
Sufuria zipo,mchawi jiko na chakula tu yaani.Inategemea kama ndo unaanza mi naona bora kula kwa mama ntilie wakat unaanza kununua mfn mafut kdg kdgara sufuria na mazaga mengne ya kupkia mixer viungo ila ukidanya kwa sku moja unaweza kuta imekata ata 10k kwa sku moja
Sufuria zipo,mchawi jiko na chakula tu yaani.
Kupika inanipa mtihani yaani,nawaza ningekuwa na rice cooker ingekuwa magoli yaani.Mimi tu wa kike niko mvivu namna hii [emoji1787] nyie wa kiume si ndio balaa sasa kwenye suala la kupika ghetto…
Ninalo mie na bado naweza kata week sijapikaKupika inanipa mtihani yaani,nawaza ningekuwa na rice cooker ingekuwa magoli yaani.
Elfu59 tu unapata haihitaji connectionOya wanangu wapambanaji hivi rice cooker bei gani?? Cheap Kama Kuna mwenye connection plz
Mpaka rice cooker tu unahitaji koneksheni!!Oya wanangu wapambanaji hivi rice cooker bei gani?? Cheap Kama Kuna mwenye connection plz
Upo kwenye ka-appartment kako kazuri two rooms nayo mnaita ghetto[emoji1787], au ghetto lina maana gani Depal.Makorokoro ya Ghetto [emoji16] View attachment 2386294
Kolokolo kibao yani [emoji23][emoji119][emoji119]Makorokoro ya Ghetto [emoji16] View attachment 2386294
Ni balaa 🤣Kolokolo kibao yani [emoji23][emoji119][emoji119]
Ghetto for unmarried people 😂😂Upo kwenye ka-appartment kako kazuri two rooms nayo mnaita ghetto[emoji1787], au ghetto lina maana gani Depal.
Subwoofer/ Bluetooth is ready to pair[emoji16][emoji16][emoji16]Ukianza kukaa geto vitu Gani ni muhimu kuwa navyo?