Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Tofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Utapigwa bei kwa bidhaa hiyo hiyo
 
IMG_8356.jpg

[emoji3061]
 
Spices chini
Mboga- friza
Au huna friji? Basi hata la kwenu hukuwa unaona nyanyq zinakaa chini na mboga zinakaa juu?
Hayaa pikaa nakujaa kulaaa. Afu mie nachananyaga friji na friza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushambaa huyu bas tyuuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
 
Kujenga ni uoga wa maisha
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
 
Hayaa pikaa nakujaa kulaaa. Afu mie nachananyaga friji na friza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushambaa huyu bas tyuuh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Friji lina upande wa friza na friji ya kawaida

Friza utatunza samaki, nyama na nduguze
Friji chini utaweka vitu ambavyo havitakiwi kuganda, nyanya na nduguze.
 
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.
 
viporo hapana aisee
Heri nipike robo kiishe [emoji23]


Hilo friji linajaaga juu tu
Chini hata kwa bahati mbaya sikumbuki
Nijaze nyanya? Nazifanyia nini [emoji1787]
Robo unamaliza??

Mie ningekuwa naishi mwenyewe aisee nisingekuwa napika[emoji16]

Ninaoishi nao wananivumilia ninavyowalisha[emoji16]
 
Back
Top Bottom