The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Naupenda sana huu uzi una challenge sana,japo mambo bado..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utapigwa bei kwa bidhaa hiyo hiyoTofauti ni bei, vitanda vya mbao imara mara nyingi huvikuti vime pangwa barabarani, we ukitaka kitanda imara nenda viwandani panapo tengenezwa fenicha muuzaji ana kwambia fenicha ya mbao hii bei yake ni hii, kitanda cha mbao imara 5 kwa5 si chini ya laki 6 na nusu, siku zote ukitaka kitu cha bei rahisi lazima uimara wake ni duni kitanda cha mbao cha laki tatu, mbili havi dumu na mara nyingi wana vipaka rangi.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kwelimEhhh mwenzangu, at least kuna unafuu wa kufanya biashara na mtu ambae anaonekana kabisa kuwa anaitaka hela yako, hamuwezi kushindwana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ila wee dyadyaa yaan fjiri linakua empty, yaan hapo ndo unataka kupikaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujui kupikaaa, afu onesha mapazia yako kwan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2463795
bismillah rahman rahim
Ila wee dyadyaa yaan fjiri linakua empty, yaan hapo ndo unataka kupikaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wee dyadyaa yaan fjiri linakua empty, yaan hapo ndo unataka kupikaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kupikaaa, afu onesha mapazia yako kwan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] napenda kukutania, wee mtani wangu.Me napika ili nishibe tu
Chakula kizuri n kaz yako[emoji28]
@Depal bhana[emoji16],
Hayaa pikaa nakujaa kulaaa. Afu mie nachananyaga friji na friza.Spices chini
Mboga- friza
Au huna friji? Basi hata la kwenu hukuwa unaona nyanyq zinakaa chini na mboga zinakaa juu?
viporo hapana aisee@Depal bhana[emoji16],
Sasa utapika kawali nusu na katakushinda kumaliza[emoji16]
Friji linajieleza[emoji1787]
Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
Friji lina upande wa friza na friji ya kawaidaHayaa pikaa nakujaa kulaaa. Afu mie nachananyaga friji na friza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushambaa huyu bas tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mie nawaza nikaanzishe kijiji sehemu yeyote isiyo na mwenyewe.Haya sasa yametosha , hayo , tufikirieni kununua viwanja vya kujenga nyumba , lets tuambizaneni maeneo gani yanafaaa kununua kiwanja for future use !! Taja na mkoa uliko. Mm niko moshi ,. Maeneo ya mjohoroni ni kuzuri maana ni startegic for now and later
Robo unamaliza??viporo hapana aisee
Heri nipike robo kiishe [emoji23]
Hilo friji linajaaga juu tu
Chini hata kwa bahati mbaya sikumbuki
Nijaze nyanya? Nazifanyia nini [emoji1787]
jiNsia ya kike , hongera sio kosa lako labda ila sisi kwa men 28+ kujenga ni lazima from that age ,( wee subili uolewe tuu, then ujengewe nyumba)Kujenga ni uoga wa maisha