Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Acha ufala bc 😂 kwann unashiriki kunirudisha nyumaMwaya baki huko huko
Kwa ground mambo si poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ufala bc 😂 kwann unashiriki kunirudisha nyumaMwaya baki huko huko
Kwa ground mambo si poa
Bei ya mchele unaijua lakini 🤣🤣? Kuosha vyombo unaweza?Acha ufala bc 😂 kwann unashiriki kunirudisha nyuma
afu upo arusha life litakugongaAcha ufala bc 😂 kwann unashiriki kunirudisha nyuma
Kuosha vyombo na kupika n jambo la kawaida kwangu, bei ya mchele ntapambana nayo tuuBei ya mchele unaijua lakini 🤣🤣? Kuosha vyombo unaweza?
Niko Dar, Sina kaz permanent Ila Kuna mahali nazuga-zuga naweza kupata 150k per month + msosi Wa mchanaafu upo arusha life litakugonga
labda kama una kazi
Siku hizi kina Mbaga mko Dar!! Nikajua upareni 😂😂Niko Dar, Sina kaz permanent Ila Kuna mahali nazuga-zuga naweza kupata 150k per month + msosi Wa mchana
Utakuwa unaosha?Kuosha vyombo na kupika n jambo la kawaida kwangu, bei ya mchele ntapambana nayo tuu
Dar nimekuja jana kutoka Gonja upareni 😎Siku hizi kina Mbaga mko Dar!! Nikajua upareni 😂😂
Itajulikana nikiwa na getoUtakuwa unaosha?
Ama unapika Jpl, vyombo unaosha j4
Ushampiga kanji nnNipo gheto hapa nawaza kesho nivute mrembo ya kugegeda
Uwe unamwita yule mzee baba wa kukushindilia maziwa japo anakuwa anazamisha mara moja moja tuuuSometimes.. movie haitizamiki, usingizi haupo… ni shwaaap nimeoga nimeenda kwenye wine. Ama shoppers/ AIM mall.. nikirudi nimechoka, nalala.
hii mwenyew imenikuta, kuna manzi alinielewa akawa anatamani kuishi na mimi kila sik anapiga sim anadai kunipenda, alikua akiishi mbali kidogo na kwao adi akadanganya kapata kazi mjini akaja geto kweli alijipambania akapata kazi restaurant moja ivWanangu wa gheto eeeh
KOMAAAA ila usikubali kushare kitu chochote na demu ukiwa gheto...!!!
Simama wewe kama wewe.
Nilinunua vitu kibao nikaa na demu Fulani naschool nae.
Baada ya kuzinguana anadai kila kitu chake Tena anataka Hadi kupigana
Nikaona nilifanya makosa kukaa na demu aiseeee nimeondoka nimemuachia kila kitu.
Asaivi nalala chini Sina Cha godoro Wala Nini Nina nguo tu na pumbu mbili.
So tukomae wauni mademu sio watu
😃😃😃 Mbna uyo demu yuko vzr mpaka anakulipia kodi na anafanya kaz mbona unachezea bahati.hii mwenyew imenikuta, kuna manzi alinielewa akawa anatamani kuishi na mimi kila sik anapiga sim anadai kunipenda, alikua akiishi mbali kidogo na kwao adi akadanganya kapata kazi mjini akaja geto kweli alijipambania akapata kazi restaurant moja iv
me nikawa nahofia atakua mzigo kweli tuliish ishi miez kazaa kama 4, Geto nilikua na mazaga zaga kibao nipo full nikawa kama nimemchoka nikaanza kumtafutia makosa nimuache si kaniletea balaa anasema kama nataka kumuacha basi nimwachie tv na kabati langu kapigana kabisa na kunijazia inzi ad balozi wa mtaa kaja kumamae.
nimeamua tu niishi nae mana alikua kanilipia kodi miezi mitatu nyuma nahisi ndo kilicho muuma kutaka kumwacha
Wanangu wa gheto eeeh
KOMAAAA ila usikubali kushare kitu chochote na demu ukiwa gheto...!!!
Simama wewe kama wewe.
Nilinunua vitu kibao nikaa na demu Fulani naschool nae.
Baada ya kuzinguana anadai kila kitu chake Tena anataka Hadi kupigana
Nikaona nilifanya makosa kukaa na demu aiseeee nimeondoka nimemuachia kila kitu.
Asaivi nalala chini Sina Cha godoro Wala Nini Nina nguo tu na pumbu mbili.
So tukomae wauni mademu sio watu
Mkuu mbna uyo wife material kabsa Fanya umuoe tuhii mwenyew imenikuta, kuna manzi alinielewa akawa anatamani kuishi na mimi kila sik anapiga sim anadai kunipenda, alikua akiishi mbali kidogo na kwao adi akadanganya kapata kazi mjini akaja geto kweli alijipambania akapata kazi restaurant moja iv
me nikawa nahofia atakua mzigo kweli tuliish ishi miez kazaa kama 4, Geto nilikua na mazaga zaga kibao nipo full nikawa kama nimemchoka nikaanza kumtafutia makosa nimuache si kaniletea balaa anasema kama nataka kumuacha basi nimwachie tv na kabati langu kapigana kabisa na kunijazia inzi ad balozi wa mtaa kaja kumamae.
nimeamua tu niishi nae mana alikua kanilipia kodi miezi mitatu nyuma nahisi ndo kilicho muuma kutaka kumwacha