Unajua kazi ya spare tyre?Ghafla bin vuu katika hali usiyotarajia tena ni jana tu mtoto alikupa mpaka ukasaza unakutana na txt "Kuanzia leo mimi na wewe basi mahusiano yetu yaishie hapa" unapigwa na tofali juu.
Muogope Mungu wewe mtoto.Kidogo nijiue.....
hutokea na kila mtu yashamkutaMapenzi yanaumiza sana especially unapopenda pale usipopendwa.
Just imagine upo kwenye mahusiano mapenzi yamenoga ajabu simu,meseji kila dakika. Kila siku mtoto anakuja kuifinyia kwa ndani miuno kama paka shume aliyebalehe juzi mpaka unasema Mungu anipe nini mimi?
Ghafla bin vuu katika hali usiyotarajia tena ni jana tu mtoto alikupa mpaka ukasaza unakutana na txt "Kuanzia leo mimi na wewe basi mahusiano yetu yaishie hapa" unapigwa na tofali juu.
Kuna mwanangu hapa familia kabisa siku ya tatu hii kagoma kula wala kutoka nje kisa kaachwa na manzi ake.
Unakula buyu unaendelea na maisha yako, simple kabisa.Ukiachwa kuna hatua gani nyingine zaidi ya kukubali kuachika?
Hapo ili both team mscore usimjibu hiyo text,kausha...lazima na yeye kiaina ataumia
Upelelezi bado unaendelea, wakimaliza watapeleka ushahidi mahakamani huko mahakimu ndo watamfanya kituwakamfanya nini
wakamfanya nini
Unakula buyu unaendelea na maisha yako, simple kabisa.
🤣🤣🤣🤣🤣Mbona wewe hujaweka hatua ulizochukua??
Wengine muda ukishapita yakamuendea vibaya huko alikoenda huwa wanajirudi na kuuliza uliona sms yangu😅Ndio ndio mkuu
Hadi wewe bro?Kidogo nijiue.....
Acha tu ntalia sana nianze kugalagala hapa kwenye mchanga broWe kweli? Can you tell us the story behind? Who was that guy? did such a thing to a beautiful woman like you?
Bro ilibaki kidogo mapenzi yaondoke na roho yangu.....mirinda nyeusi ilinifariji sana naishukuruHadi wewe bro?
Kwa heshima yako bro acha nikaipongeze mirinda nyeusi kwa kuwa mfariji, weita alete 10 arudishe 9 😅Bro ilibaki kidogo mapenzi yaondoke na roho yangu.....mirinda nyeusi ilifariji sana