Ulichukua hatua gani ulipoachwa ghafla?

Ulichukua hatua gani ulipoachwa ghafla?

uk
Mapenzi yanaumiza sana especially unapopenda pale usipopendwa.

Just imagine upo kwenye mahusiano mapenzi yamenoga ajabu simu,meseji kila dakika. Kila siku mtoto anakuja kuifinyia kwa ndani miuno kama paka shume aliyebalehe juzi mpaka unasema Mungu anipe nini mimi?

Ghafla bin vuu katika hali usiyotarajia tena ni jana tu mtoto alikupa mpaka ukasaza unakutana na txt "Kuanzia leo mimi na wewe basi mahusiano yetu yaishie hapa" unapigwa na tofali juu.

Kuna mwanangu hapa familia kabisa siku ya tatu hii kagoma kula wala kutoka nje kisa kaachwa na manzi ake.
ukiweza usijibu hio sms, ukishindwa jibu short mfano 'Ok' .. kamwe usiulize kwa nn anakuacha, then hio hali isikuchukue, usinywe pombe kuvuta wala kutafuta mwanamke mwingine soon.. tumia huo muda kujijenga zaidi, pendeza ongeza bidii kwny kazi zako kuza kipato chako, hii ndio revenge mbaya zaidi kwa mwanamke, lakini inataka made men sio soy boys !!!
 
Nilijua fika hatutakua na mahusiano baada ya miezi miwili / mitatu mbele..! Kweli siku ilifika mzee nikaambiwa sitakiwi ( sikua wa kwanza kutamka kwasababu ulofa/ nadhiri nilijiwekea)..
Kifupi nilimchapa mpenz matukio ( nilikua naelewa sana sipo sahihi ila ilitakiwa iwe vile).. Yule mmakonde hatutakuja kusahauliana
 
Binafsi nilijifanya niko okey na ilipita hivyo hivy
Mapenzi yanaumiza sana especially unapopenda pale usipopendwa.

Just imagine upo kwenye mahusiano mapenzi yamenoga ajabu simu,meseji kila dakika. Kila siku mtoto anakuja kuifinyia kwa ndani miuno kama paka shume aliyebalehe juzi mpaka unasema Mungu anipe nini mimi?

Ghafla bin vuu katika hali usiyotarajia tena ni jana tu mtoto alikupa mpaka ukasaza unakutana na txt "Kuanzia leo mimi na wewe basi mahusiano yetu yaishie hapa" unapigwa na tofali juu.

Kuna mwanangu hapa familia kabisa siku ya tatu hii kagoma kula wala kutoka nje kisa kaachwa na
 
Sasa uchukue hatua gani nawakati hatua ishachukuliwa dhidi yako!, hapo ni kutulia tu kama komamanga ambalo halieleweki kama limeiva au halijaiva!..[emoji1787]
[emoji28][emoji28] eti hatua zishachukuliwa dhidi yako [emoji28][emoji28]
 
Mwanaume umeachwa na haujui hatua ya kuchukua, na utagemea uitwe baba wa familia?!
Kuna muda naelewa kwanini wadada hawataki kudate boys, but real men.
kwa lugha rahisi wewe ni cry baby na dhaifu sana
Na wewe lima tofali then futa number, sms, na kila memory alafu ungeza juhudi za kutafuta hela
Don't chase, replace
Umemaliza mkuu.. cha kushangaza mtoa mada bado atatataka umuelrkeze na jinni ya kufuta namba na kumpiga mtu block 😃
 
Back
Top Bottom