Ulichukua hatua gani ulipoachwa ghafla?

Ulichukua hatua gani ulipoachwa ghafla?

Nikiachwa na mke niliye zaa nae tena kwa ghafla hapo ndo nitakaa na kutafakali wapi nimefeli na nitamsihi aniambie nini sababu. Hii ndo najua itaniuma sana kwa muda mfupi tu ila kula nitakula kama kawaida.

Hao waliobaki hata akitoka kuifinyia kwa ndani dk3 aniambie kuanzia sasa basi wala hata sishangai wala kushituka.Mkuu wengine mshipa wa maumivu kwenye mademu wa nje ushakatika kitambo labda aniume kama siajwahi mgonga na anikatae hapo naweza umia kiaiana kama masaaa 4 hivi na kuendelea na mambo yangu
 
Ila wanangu ukifall ku move on ni ngumu sana, alhamdulillah nimerecover na sirudii tena kufall mazima, siku hizi nabakaza space kidogo
 
Mapenzi yanaumiza sana especially unapopenda pale usipopendwa.

Just imagine upo kwenye mahusiano mapenzi yamenoga ajabu simu,meseji kila dakika. Kila siku mtoto anakuja kuifinyia kwa ndani miuno kama paka shume aliyebalehe juzi mpaka unasema Mungu anipe nini mimi?

Ghafla bin vuu katika hali usiyotarajia tena ni jana tu mtoto alikupa mpaka ukasaza unakutana na txt "Kuanzia leo mimi na wewe basi mahusiano yetu yaishie hapa" unapigwa na tofali juu.

Kuna mwanangu hapa familia kabisa siku ya tatu hii kagoma kula wala kutoka nje kisa kaachwa na manzi ake.

Wabahili ndo shida, upate service zote hizo wewe umeleta Nini juu ya Meza ?
 
Mwanaume umeachwa na haujui hatua ya kuchukua, na utagemea uitwe baba wa familia?!
Kuna muda naelewa kwanini wadada hawataki kudate boys, but real men.
kwa lugha rahisi wewe ni cry baby na dhaifu sana
Na wewe lima tofali then futa number, sms, na kila memory alafu ungeza juhudi za kutafuta hela
Don't chase, replace
 
Nikiachwa na mke niliye zaa nae tena kwa ghafla hapo ndo nitakaa na kutafakali wapi nimefeli na nitamsihi aniambie nini sababu. Hii ndo najua itaniuma sana kwa muda mfupi tu ila kula nitakula kama kawaida.

Hao waliobaki hata akitoka kuifinyia kwa ndani dk3 aniambie kuanzia sasa basi wala hata sishangai wala kushituka.Mkuu wengine mshipa wa maumivu kwenye mademu wa nje ushakatika kitambo labda aniume kama siajwahi mgonga na anikatae hapo naweza umia kiaiana kama masaaa 4 hivi na kuendelea na mambo yangu
Kama hujamgonga ndo utawaza kidogo... ila niliemvua chupi ndo aniache?... ntafurahi kwakuachia gap la mdada mwingine kukaa
 
Gen Z acheni ufara kubafu.

Yaani siku tatu huli kisa PUNANI🤣🤣🤣

Vijana hormone hazijabalance kabisa, pigeni tizi hizo estrogen zipungue.
 
"Kuanzia leo mimi na wewe basi mahusiano yetu yaishie hapa"
Duuh hii imenikuta juzi tu hapa tarehe 2… Nmekubali KUACHWA na KUACHA.

Nilijaribu kulinusuru penzi huku na huku lakn si kufanikiwa!
 

Attachments

  • 1731822144702.jpg
    1731822144702.jpg
    462.9 KB · Views: 1
Back
Top Bottom