Ulichukua hatua gani ulipoachwa ghafla?

uk
ukiweza usijibu hio sms, ukishindwa jibu short mfano 'Ok' .. kamwe usiulize kwa nn anakuacha, then hio hali isikuchukue, usinywe pombe kuvuta wala kutafuta mwanamke mwingine soon.. tumia huo muda kujijenga zaidi, pendeza ongeza bidii kwny kazi zako kuza kipato chako, hii ndio revenge mbaya zaidi kwa mwanamke, lakini inataka made men sio soy boys !!!
 
Nilijua fika hatutakua na mahusiano baada ya miezi miwili / mitatu mbele..! Kweli siku ilifika mzee nikaambiwa sitakiwi ( sikua wa kwanza kutamka kwasababu ulofa/ nadhiri nilijiwekea)..
Kifupi nilimchapa mpenz matukio ( nilikua naelewa sana sipo sahihi ila ilitakiwa iwe vile).. Yule mmakonde hatutakuja kusahauliana
 
Binafsi nilijifanya niko okey na ilipita hivyo hivy
 
Sasa uchukue hatua gani nawakati hatua ishachukuliwa dhidi yako!, hapo ni kutulia tu kama komamanga ambalo halieleweki kama limeiva au halijaiva!..[emoji1787]
[emoji28][emoji28] eti hatua zishachukuliwa dhidi yako [emoji28][emoji28]
 
Umemaliza mkuu.. cha kushangaza mtoa mada bado atatataka umuelrkeze na jinni ya kufuta namba na kumpiga mtu block 😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…