Ulifanya kosa gani mpaka ukapewa suspension shuleni?

Rafiki yangu alipewa suspension alikuwa akiona hamna mtu kwenye dinning hall anabeba cd yake ya x kwenda kucheki kwenye tv ya shule,

Tabia ikawa mazoea, siku akadakwa live, alipewa suspension wiki 2.
.........Alikuwa amevurugwa haswaa!!
 
Ilikuwa mwaka 2008 form four shule fulani nzega tabora , monitor wa kike alikuwa mkuda watu wanamuogopa akisema acheni kelele watu wote wanafyata , sasa siku moja sisi back bencha tukamwambia usitutanie story tunapga na hukuna kitu utafanya ,
Akaandika majina akapeleka kwa second master tukaitwa staff office tukapgwa fimbo nne kila mmoja na tukarudi class .
Sasa baada ya kurudi class tukamchimba biti yule monitor kiwa hapo amezua kesi tutamfanyia kitu mbaya , akarudi tena kwa second kumwambia tukaitwa tena ofisini kula fimbo up upya na suspension week 1 kuja uje na mzazi ilikuwa kizaa zaa jinsi ya kueleza nyumbani .....
 
Kwa member yoyote anaye kumbuka wimbo wa Mr sugu nipo mikononi mwa police nami nikiwa form1 nilikuwepo inauma sana tulimpoteza mwamba mmoja mpaka Sasa sura yake naikumbuka
 
Nini kilimkuta jamaa alietengeneza kesi ya wizi wa gunia?
 
Kumtaka mwalimu wa HISABATI ahame alikuwa anatudanganya ,alikuwa hawez kufundisha eti mathe anataka tuandike nots. Aje kesho aelezeee ,kama upo umu nisamehe
 
Nilitengeneza tunguli feki inayopumua kuwatisha watemi wa shule.. Tunguli yenyewe nilimchukua chura mdogo nikamshonea kwenye kitambaa cheusi na uzi mwekundu
Mkuu....unaonekana umeanza kitambo ....Mambo ya ulozi[emoji23][emoji23]
 
Mwalimu aliuliza kati ya jiwe na Nazi vikigongana je nini kitapasuka

Kwa ujasiri Mimi nikainuka na kumjibu" jiwe litapasuka kwa sababu now days mawe ni mabovu ". Darasa lote vicheko

Ticha akavimba ......chaap nikapelekwa ofisin sper ya wiki tatu

.Tafsir.......kumbe swali sikuelewa ..alivyosema jiwe ...alimaaniesha yeye ni mwamba na sisi ni vifaranga wadogo .....so vikikutana nn kitatoke?
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Fala sana
 
Nakumbuka nilimpiga mwalimu mmoja anaitwa Kabuje pale Meta secondary ili nifukuzwe shule, mwalimu Kabuje akaamua yaishie palepale.
Kabuje mlezi wa hostel khaa wewe Mwamba? enzi hizo yule mwamba wa chemistry olevel alokuwa anatembea na Gongo (fimbo) alikuwepo? Kabuje kiswahili olvel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…