Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikmatwa na roba limejaa wadudu mbalimbaliHapa ni katika level zote 3 za elimu shule ya Msingi, sekondari na Kidato cha 5 na cha 6.
Mimi nakumbuka niliwahi kamatwa na simu kengele ikagongwa nikaipasua kwa mawe hadharani..
kama ulisoma shule pote ulikopita na hujawahi kugongewa kengele ya dharura basi wewe ulikuw kondoo hukuwa unajiongezaHapa ni katika level zote 3 za elimu shule ya Msingi, sekondari na Kidato cha 5 na cha 6.
Mimi nakumbuka niliwahi kamatwa na simu kengele ikagongwa nikaipasua kwa mawe hadharani..
ReNilikuwa nauza vitu vya dukani mara 2 au 3 ya bei zake siku ambazo duka limefungwa
Pia nilikuwa nakopesha kwa riba za 100%+
Pia kesi za swahili speakers nilihusika sana
Nilishaacha aiseeA real hustler nimeipenda hii mjasiriamali .
Vipi uliendelea na maisha ya ujanja ujanja huu au ulishaacha ?
Re
Kishule shule Lazima ulipewa jina la Snitch.Niligombea u_headboy nikashindwa Ila wakati wa kutangaza matokeo nikayakataa mbele ya walimu na watumishi wa shule kwa kelele ,wale wanaonikubali nao wakazifuata kelele zangu .
Nikala fimbo nikapoa ,usiku nikashika mic ya chapple wakati kimetulia watu wapo kujisomea nikawatangazia kuwa Mimi ndiye head boy wa shule na aliyepita hatambuliki na yeyote .
Watu wakapiga kelele za shangwe ,asubuhi kengele ikagongwa nikala suspension ya miezi miwili na faini ya milioni mbili kwa kuvunja viti vya chapple maana wafuasi wangu walifanya fujo wakati najitangaza hivyo waliharibu Mali za chapple .
Nimerudi kutoka kutumikia kifungo nikapewa uongozi wa nidhamu ni hapo nikatulia na kuanza kuwasaliti wanafunzi wenzangu wasaliti japo nao walinikunguta walipoona nimebadilika kabisa .
Hivyo naamini hamna kitu kikubwa Kama kucheza na psychology ya mtu ,maticha walijua kucheza na akili yangu Ila wakaniponza school mob ikataka kuniua .😀😀
Mbona ndiyo ilikuwa njia ya kutoboa kirahisi Sasa.Nilishaacha aisee
Mtaani pesa ni ngumu mno
Anhaa msaliti .Kishule shule Lazima ulipewa jina la Snitch.
Ulitisha Sana komredinilichongesha muhuri washule,nikafanyia mazoezi sahihi ya basa nikapatia ,nikaenda mjini kufanikisha kitabu Cha risiti , masela wakaanza kulipa ada na michango kwangu........ mpaka Leo shule ilikula hasara Milion of money,kumbe kwenye masela palikuwa na kenge ,akashindwa kujitetea lakini hakunitaja mpaka Leo na meja jeshi la goma congo
ebwana ,Ile siku siisahau mana nilitakiwa nitajwe ila hakunitaja
Mpaka Leo ,pamoja Yuko jeshi la kongo Mimi ndo mshauri binafsi