Nili kata nywele za binti wa kihindi tukaitishwa wote kuambiwa nimekua suspended mpaka nitakapo resolve issue angu na familia ya binti.Hapa ni katika level zote 3 za elimu shule ya Msingi, sekondari na Kidato cha 5 na cha 6.
Mimi nakumbuka niliwahi kamatwa na simu kengele ikagongwa nikaipasua kwa mawe hadharani..
Hatari na nusu.nyanda za juu kusini Tena shule maarufu ,kwangu walikaa chini na kwa umri wangu nimepewa kipaumbele kuwa mlezi wa shule......na nimekuwa kipaumbele hakuna kupokea karo mkononi mzazi aingize akaunti ya shule
Hahaha. Snitch kacheki ngono na bado kawasnitch shubamiit.Tulikuwa Natabia ya kutoroka kwenda angalia (chovyeri) x, basi siku ya siku tumeruka ukuta kucheck zetu music za ngono kumbe Kuna ki informer tulikuwa nacho , tukaaenda check mwanzo mwisho Ile tunatoka tunakutana na father mlangoni akatudaka kama kuku, adhabu ikawa kukaa mbele ya cruiser yeye huku anapiga Gia. Kufika shule saa sita ikapigwa kengele ya Angelus, adhabu iliyotoka ni kupewa gogo la mninga kupasua kuni. Huwez wiki nzima hakuna aliyefanikiwa kupasua hata nusu
Miaka kumi naa mingi kukumbuka vyote ngumu Kamanda.Kama ndio wewe nakufahamu. Unaweza nikumbuka ilipigwa kengele na nikapigwa kwa kumtukana Mwalimu.
Wewe ulibusu Nyuki🤣🤣🤣Kwa mudomoBalehe mbaya sana, nikiwa 4m1 nilimpenda madam wangu siku moja nikamvizia akiwa peke yake staff nikaingia nikamwambia ukweli, alooo kwanza aliniwasha makofi huku akipiga kelele akisema " wewe mtoto nitakulaani" kesho yake iligongwa kengele ikaitwa bodi ya shule,Afisa elimu, walimu walikusanyika kama 60 pia waliitwa walimu wa primary kama 30 waje wasaidie kunitandika viboko, nilipigwa sana yaani zaidi ya sana
Wewe ulibusu Nyuki🤣🤣🤣Kwa mudomoBalehe mbaya sana, nikiwa 4m1 nilimpenda madam wangu siku moja nikamvizia akiwa peke yake staff nikaingia nikamwambia ukweli, alooo kwanza aliniwasha makofi huku akipiga kelele akisema " wewe mtoto nitakulaani" kesho yake iligongwa kengele ikaitwa bodi ya shule,Afisa elimu, walimu walikusanyika kama 60 pia waliitwa walimu wa primary kama 30 waje wasaidie kunitandika viboko, nilipigwa sana yaani zaidi ya sana
Hahaaa!!!
Nilisomaga shule moja ya kulipia, ile shule ilikua primary & secondary. (Zote boarding)
Primary walikua wanalipa ada za maana, hata msosi wao ulikua wa maana, mixer mikate na blueband, chai ya maziwa, mayai etc,
Sie wa secondary ada ilikua kawaida tu, so hata huduma zetu ni kawaida kama kayumba tu lakini wote tulikua compound moja na shule zote mmiliki ni mmoja.
Na kama unavyojua shule za boarding kitengo cha misosi, kila siku ni ugali mchana, ugali usiku, mboga ni maharagwe mwanzo mwenga. Wali ilikua ni alhamis mchana(ukikosa hapo ni mpaka next week )
Nilikua na kampani ya washkaji zangu, jumla tulikua wanne, kama masihara sijui ata tulianzaje tukawa na mchezo wa kuzamia jiko la primary, tunaiba maandazi na maziwa.
Ikifika usiku(mida ya prepo) sie tunachomoka mmoja mmoja darasani tena kwa ishara, tunaenda kukutana kwa mkapa(jikoni)
Kuna kidirisha kidogo wanachotumia kugawia msosi, sasa kile kidirisha kilikua hakifungi, kinarudishiwa tu(ni vile vya nondo)
Sie ndio tukawa tunapenya pale tunaingia jikoni, tunakuuuula maandazi weee na kunywa maziwa kama mapanya, then hao tunarudi darasani tukiwa tunafuta midomo tu, huku tunawacheka kisiri siri wenzetu waliokula ugali maharagwe.
Mwanzo ilikua wanazama watatu, mmoja anabaki akisoma ramani, kuangalia kama mlinzi anakuja ama la, so mkitoka mnamletea na yeye maandazi na ikitokea mlinzi anakuja, jamaa anawastua mnajikausha mle jikoni kimyaaa, mlinzi akija anapita pita tu then anaondoka nyie mnaanza mashambulizi upya.
Baada ya kuzoea mchezo ule ikaja kuonekana kwamba mtu anaebaki nje kuangalia soo, hafaidi vizuri, maana mkitoka mnamletea maandazi tu, maziwa hapati, hivyo tukaamua kuwa kila mtu ni lazima azamie(hakuna cha kubaki kucheki soo) Mistake no 1
Tulivyokubuhu na mchezo ule, tukaanza kuzamia na mabegi na chupa. Tukiingia ni uharibifu wa maana.
Maandazi yalikua yanawekwa kwenye ndoo, kwa hiyo ukizama ndani, unafungua zipu ya begi lako kisha unalivalisha kwenye mdomo wa ndoo, kisha unanyanyua juu chini(kama wnavyofanya wauza nyanya na vitunguu kwenye visado njiani), mzigo wooote unaingia kwenye begi, maziwa mnamimina kwenye chupa, then haoooo mnasepa. Ilifika point kuna mshkaji wa nje alikua anakuja kununua maandazi kwetu na yeye anaenda kuuza.
Mie binafsi ilikua nikiingia cha kwanza napiga vikombe viwili vya maziwa fresh bariiidiiii (kupoza koo)kisha ndio naanza mashambulizi.
Siku hiyo kumbe kuna mtego umewekwa bwana, tumezama vizuuri tu, mie kama kawaida huyooo kwenye vikombe [emoji478] nikachukua kimoja kisha huyoo kwenye friji(ni giza lakini ramani yooote naijua) nimepiga funda la kwanza fresh ile napiga la pili nashangaa mwanga mkali balaa unanimulika usoni (I was like am I dreaming!!!??? red handed na kikombe cha maziwa tena jiko la primary daaah) tochi nne zinamulika from different angles.
Ndo ikawa hivyo tena, kengele ikagongwa usiku ule ule(9:30pm) wanafunzi woote shule nzima wakaambiwa wanatakiwa kwenda eneo la jikoni kuna dharula, kufika jikoni wanatukuta wazee wa kazi tupo ndani ya jiko.
Shule nzima mwanangu wanatuzomea tu, halafu nilikua nina penzi jipya na kishombe shombe flani so ilikua noma sana yani.
Wale washenz walisubiri shule nzima imefika ndio wakatutoa mle jikoni.
Ila mwisho wa siku maisha mengine yaliendelea.
Toka hapo😂Mm nilimpa mimba mke wa mkuu wa shule
Hahaaa!!!
Nilisomaga shule moja ya kulipia, ile shule ilikua primary & secondary. (Zote boarding)
Primary walikua wanalipa ada za maana, hata msosi wao ulikua wa maana, mixer mikate na blueband, chai ya maziwa, mayai etc,
Sie wa secondary ada ilikua kawaida tu, so hata huduma zetu ni kawaida kama kayumba tu lakini wote tulikua compound moja na shule zote mmiliki ni mmoja.
Na kama unavyojua shule za boarding kitengo cha misosi, kila siku ni ugali mchana, ugali usiku, mboga ni maharagwe mwanzo mwenga. Wali ilikua ni alhamis mchana(ukikosa hapo ni mpaka next week )
Nilikua na kampani ya washkaji zangu, jumla tulikua wanne, kama masihara sijui ata tulianzaje tukawa na mchezo wa kuzamia jiko la primary, tunaiba maandazi na maziwa.
Ikifika usiku(mida ya prepo) sie tunachomoka mmoja mmoja darasani tena kwa ishara, tunaenda kukutana kwa mkapa(jikoni)
Kuna kidirisha kidogo wanachotumia kugawia msosi, sasa kile kidirisha kilikua hakifungi, kinarudishiwa tu(ni vile vya nondo)
Sie ndio tukawa tunapenya pale tunaingia jikoni, tunakuuuula maandazi weee na kunywa maziwa kama mapanya, then hao tunarudi darasani tukiwa tunafuta midomo tu, huku tunawacheka kisiri siri wenzetu waliokula ugali maharagwe.
Mwanzo ilikua wanazama watatu, mmoja anabaki akisoma ramani, kuangalia kama mlinzi anakuja ama la, so mkitoka mnamletea na yeye maandazi na ikitokea mlinzi anakuja, jamaa anawastua mnajikausha mle jikoni kimyaaa, mlinzi akija anapita pita tu then anaondoka nyie mnaanza mashambulizi upya.
Baada ya kuzoea mchezo ule ikaja kuonekana kwamba mtu anaebaki nje kuangalia soo, hafaidi vizuri, maana mkitoka mnamletea maandazi tu, maziwa hapati, hivyo tukaamua kuwa kila mtu ni lazima azamie(hakuna cha kubaki kucheki soo) Mistake no 1
Tulivyokubuhu na mchezo ule, tukaanza kuzamia na mabegi na chupa. Tukiingia ni uharibifu wa maana.
Maandazi yalikua yanawekwa kwenye ndoo, kwa hiyo ukizama ndani, unafungua zipu ya begi lako kisha unalivalisha kwenye mdomo wa ndoo, kisha unanyanyua juu chini(kama wnavyofanya wauza nyanya na vitunguu kwenye visado njiani), mzigo wooote unaingia kwenye begi, maziwa mnamimina kwenye chupa, then haoooo mnasepa. Ilifika point kuna mshkaji wa nje alikua anakuja kununua maandazi kwetu na yeye anaenda kuuza.
Mie binafsi ilikua nikiingia cha kwanza napiga vikombe viwili vya maziwa fresh bariiidiiii (kupoza koo)kisha ndio naanza mashambulizi.
Siku hiyo kumbe kuna mtego umewekwa bwana, tumezama vizuuri tu, mie kama kawaida huyooo kwenye vikombe [emoji478] nikachukua kimoja kisha huyoo kwenye friji(ni giza lakini ramani yooote naijua) nimepiga funda la kwanza fresh ile napiga la pili nashangaa mwanga mkali balaa unanimulika usoni (I was like am I dreaming!!!??? red handed na kikombe cha maziwa tena jiko la primary daaah) tochi nne zinamulika from different angles.
Ndo ikawa hivyo tena, kengele ikagongwa usiku ule ule(9:30pm) wanafunzi woote shule nzima wakaambiwa wanatakiwa kwenda eneo la jikoni kuna dharula, kufika jikoni wanatukuta wazee wa kazi tupo ndani ya jiko.
Shule nzima mwanangu wanatuzomea tu, halafu nilikua nina penzi jipya na kishombe shombe flani so ilikua noma sana yani.
Wale washenz walisubiri shule nzima imefika ndio wakatutoa mle jikoni.
Ila mwisho wa siku maisha mengine yaliendelea.
Sitoki 😂Toka hapo😂
Umetupiga kamba ya Wazi mzee😂Sitoki 😂
Kama wewe sio tajiri mpaka muda huu utakuwa ni msengyee kinyama Mana una akili za utafutaji. Nitafute ule bia na nyyama mpaka uzikimbie. Huwa nazikubali hizi akili. Inatakiwa mtu ana hack bank accounts anachomoa helanilichongesha muhuri washule,nikafanyia mazoezi sahihi ya basa nikapatia ,nikaenda mjini kufanikisha kitabu Cha risiti , masela wakaanza kulipa ada na michango kwangu........ mpaka Leo shule ilikula hasara Milion of money,kumbe kwenye masela palikuwa na kenge ,akashindwa kujitetea lakini hakunitaja mpaka Leo na meja jeshi la goma congo
ebwana ,Ile siku siisahau mana nilitakiwa nitajwe ila hakunitaja
Mpaka Leo ,pamoja Yuko jeshi la kongo Mimi ndo mshauri binafsi
Wewe jamaa wewe kutoka mikoa ya Mara au Mwanza ulitisha,hata kujiridhisha tu kuwa madame yupo hakuna?Jamani maisha ya shule ni safari ndefu sana nyie acheni tu.
Nakumbuka ndio nimeingia 4m.2 nikiwa shule # ya kisabato. Walikuja walimu wa field wakiume 2 na 4 wakike, baada ya kama wiki 3 kuna huyo madam wa field aliyepewa kutufundisha geography. Huyu madam alikuwa na mwili wa kati wala sio mnene english figure hivi😋na maji ya kunde.
Nilitokea kumwelewa sana na maranyingi alikuwa akija class kunipa Hi!! Kabla ya masomo kuanza, sikumoja nilitoka home na kibarua changu nimekichoronga usiku kucha misitari kama yote mixer kumsifia na kumwomba out siku ya weekend.
Hii barua nilidhamiria kuifikisha kwake kwa kuiweka kwenye daftari langu la geography maana aliagiza test alizotoa tukusanye asubuhi, nilifanya hivyo na muda ulipofika monitor akakusanya daftari zote na kuzipeleka staff. Amakweli siku ya nyani kufa miti huteleza.
Nilishangaa baada ya kama lisaa kupita dada mmoja wa 4m4 akija kwa mbwe mbwe na kuomba mwalimu aliyekuwa anafundisha darasani amruhusu kuingia ameagizwa na mwalimu wa nithamu.
Na nilivyokuwa napenda kukaa madawati ya mbele kabisa. Since that day niliacha kabisa kukaa mbele ya darasa nikajisajili back benchers.
Nilipo lisikia jina langu limetamkwa...nilihisi kama jiwe kubwa( fatuma ) limedumbukia ndani ya tumbo!!
Kwanza sikuamini kama nimesikia vizuri, nilijikuta natizama nyuma huko labda kuna mtu anasimama..." Mbona unashangaa au hujasikia unaitwa ofisini". Ni hii sauti ya mwalimu ndio ilinitoa kwenye hali niliyo kuwa nayo.
Nilikuta staff imechangamka sio poa maana walimu kama wa 3 ndio walikuwa wamepelea, kwanza niseme confidence ndio kitu nilijliwa nilipo tupa jicho kwenye meza ya huyo madam HAKUEPO ila madaftari yalikuepo na mwalimu wa somo aliye kuwa akitufundisha ndio alikuwa amekalia kiti. Kumbe madam alikuwa hajawasili na alikuwa mgonjwa hivyo majukumu aliyashika Mr. geography.........
Kama kuku bandani mzee, na mabanzi ya maana.Ukitengeneza Imaginary picture lazima ucheke mlikamatwa kama wagoni
Niamini mkuu 😎Umetupiga kamba ya Wazi mzee😂