Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Soda la kibabe sana Hilo. Saa hizi wameli-dilute mnoMm had Sasa siwez Yani lazima itanipalia😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soda la kibabe sana Hilo. Saa hizi wameli-dilute mnoMm had Sasa siwez Yani lazima itanipalia😀
Hahahahkujichora tatoo ile alokua anatumia Hitler, mkono ulivimba wiki mbili
-Kujifanya fundi deki, nikasahau mkanda wa pilau kwenye deki ya home kilichofata...😔😅
- kuchungulia chupi za wasichana kwa kutumia kioo ( hii ni zamani mno wacha nyie wa juzi juzi) kipigo nilipokea mbele ya darasa anajua mungu
Nakumbuka aiseeZamani Coca-cola soda ilikuwa Ina GESI vibaya mno na sukari nyingi kinyama. Yaani enzi hizo ukifanya kosa Haina haja ya kupigwa, unanunuliwa coca tu. Maana walijua ukishamaliza kunywa wakati wa kubeua itakurarua vikali
Ya kale ni dhahabuDaah zamani ni zamani
Kutoshobokea chupiHhahha ugumu kutotongoza au?
Nadhani nilikuwa mjinga zaidi ya hiyo SGRKukapenda sana kale kasichana ....
ilikuwa ni ujinga wa kiwango Cha SGR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]-Kujifanya fundi deki, nikasahau mkanda wa pilau kwenye deki ya home kilichofata...[emoji17][emoji28]
- kujichora tatoo ile alokua anatumia Hitler, mkono ulivimba wiki mbili
- kuchungulia chupi za wasichana kwa kutumia kioo ( hii ni zamani mno wacha nyie wa juzi juzi) kipigo nilipokea mbele ya darasa anajua mungu