Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
Niliwahi kudhulumiwa huko nyuma na watu ambao niliwaamini sana, walinirudisha nyuma kwasababu nilikuwa nafanya kazi ngumu na malipo yalikuwa kidogo mno sana, nilijibanaaa sana sana, nikapata kiasi cha pesa kama laki 6 hivi. Kwangu mimi kwa wakati ule ilikuwa nyingi sana ila nilidhulumiwa yote, na watu ambao niliwaamini sana hata leo wapo bado kwenye maisha yangu sijaweza kuwaepuka, ila Mungu atawalipa, kuna namna niliteseka sana sana ila kwa Neema ya Mungu ilipita ila sijasahau
Safari hii tena nimedhulumiwa na huyu mtu ambaye nilimfanyia jambo la upendo ila ameamua kunitendea ubaya, amenidhulumu kilekile kiasi cha pesa 600,000.
Nilimpa kwa upendo atatue shida zake na arejeshe lakini kaniblock kila mahali, hii hali inanitesa sana kuna namna napata maumivu makali mnooo nikiangalia jinsi ninavyopata pesa kwa shida nateseka, hivi ni kweli unamtendea mtu mtu wema anaamua akudhalilishe, anakulipa mabaya.
EE Mungu wa sifa zangu usinyamaze......daah binaadamu sisi uwiiii
Help me, O LORD my God, save me in accordance with your love. Let them know that it is your hand, that you, O LORD, have done it. They may curse, but you will bless,when they attack they will be put to shame, but your servant will rejoice. My accusers will be clothed with disgrace and wrapped in shame as in a cloak.
Safari hii tena nimedhulumiwa na huyu mtu ambaye nilimfanyia jambo la upendo ila ameamua kunitendea ubaya, amenidhulumu kilekile kiasi cha pesa 600,000.
Nilimpa kwa upendo atatue shida zake na arejeshe lakini kaniblock kila mahali, hii hali inanitesa sana kuna namna napata maumivu makali mnooo nikiangalia jinsi ninavyopata pesa kwa shida nateseka, hivi ni kweli unamtendea mtu mtu wema anaamua akudhalilishe, anakulipa mabaya.
EE Mungu wa sifa zangu usinyamaze......daah binaadamu sisi uwiiii
Help me, O LORD my God, save me in accordance with your love. Let them know that it is your hand, that you, O LORD, have done it. They may curse, but you will bless,when they attack they will be put to shame, but your servant will rejoice. My accusers will be clothed with disgrace and wrapped in shame as in a cloak.