Ulifanya nini ulipodhulumiwa?

Ulifanya nini ulipodhulumiwa?

hivi ni kweli unamtendea mtu Mtu wema anaamua akudhalilishe, anakulipa mabaya
U-BIN-ADAM kazi.

You are not Jesus, acha kutaka kuwa msaada kwa kila mtu hasa kwenye mambo ya MIKOPO.
Epuka kukopesha kopesha watu kama hauna njia madhubuti na uhakika za kuwadai.

Kama huwezi sana basi hakikisha wanawekeza bond ili uweze kuwapa pesa.

Yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyokuhusu.

 
Mimi Nilipata kazi G1 Security Mama Akanishauri Niweke Pesa Vicoba ili Niichukue Yote Mwisho wa Mwaka, Kwakuwa Nae Alikuwa Anacheza Nikaamini Nikawa naweka Mshahara wangu Wote Masikini. Wale Viongozi Pesa Wakaila, Wengine Wakakimbiaa Mama Yeye Alikopa Hivyo Walimalizana yaani Hakuwa Akivunja, Sisi Ambao Hatukukopa Tuliopaswa Kulipwa Pesa Yote Ndo Tukadhurumiwa, Niliumia Nilitamani Kujiondoa Uhai, Mpaka Nikaleta Uzi Humu,

Unajua kwanini Niliumia !? Ni kwasababu ya Tatizo Langu, Sisi wenye Usikivu Hafifu Huwa Ni Ngumu sana Kupata Kazi, Kwahyo ndo Nilikuwa Nautegemea Ule Mtaji Unitoe Kimaisha.
Ndoto yangu ya Kumiliki Duka ikaishia Hapo.

Kwasasa Nipo Nasoma Ualimu huu Mtaala Mpya Naomba Mungu Nipate Kazi.

ila kila Nikikumbuka huwa Naumia saana.
 
Niliwah kudhurumiwa huko nyuma,na watu ambao niliwaamini sana, walinirudisha nyuma kwasababu nilikua nafanya kazi ngumu na malipo yalikua kidogo mno sana, nilijibanaaa sana sana, nikapata kias cha pesa kama laki 6 hivi kwangu mimi kwa wakati ule ilikua nyingi sana ila nilidhurumiwa yote, na watu ambao niliwaamini sana hata leo wapo bado kwenye maisha yangu sijaweza kuwaepuka, ila Mungu atawalipa, kuna namna niliteseka sana sana ila kwa Neema ya Mungu ilipita ila sijasahau


Safari hii tena nimedhulumiwa na huyu mtu ambaye nilmfanyia jambo la upendo ila ameamua kunitendea ubaya, amenidhulumu kilekile kiasi cha pesa 600,000

Nilimpa kwa upendo atatue shida zake na arejeshe lakini kaniblock kila mahali, hii hali inanitesa sana kuna namna napata maumivu makali mnooo nikiangalia jinsi ninavopata pesa kwa shida nateseka , hivi ni kweli unamtendea mtu Mtu wema anaamua akudhalilishe, anakulipa mabaya

EE Mungu wa sifa zangu usinyamaze......daah binaadamu sisi uwiiii
Help me, O LORD my God,save me in accordance with your love. Let them know that it is your hand, that you, O LORD, have done it. They may curse, but you will bless,when they attack they will be put to shame, but your servant will rejoice. My accusers will be clothed with disgrace and wrapped in shame as in a cloak.
Niliinua macho juu nikashukuru kwwakuwa nilipata funzo kubwa juu ya kuishi na wanaojifanya wema kumbe wanafiki
 
Mimi huwa nashangaa sana walionidhulumu waliishia kwenye majanga matupu na karibu wote wameshaaga dunia. Wa mwisho alikuja kukopa dukani nguo na akagoma kabisa kunilipa. Juzi nimeambiwa jamaa yuko jela kwa makosa mengine. Kuna dogo nilimuachiaga ofisi akauza vitu hadi leo hii hajawahi kukaa kwenye ajira akatulia hata mwaka. Ana maisha magumu.
 
Mimi Nilipata kazi G1 Security Mama Akanishauri Niweke Pesa Vicoba ili Niichukue Yote Mwisho wa Mwaka, Kwakuwa Nae Alikuwa Anacheza Nikaamini Nikawa naweka Mshahara wangu Wote Masikini. Wale Viongozi Pesa Wakaila, Wengine Wakakimbiaa Mama Yeye Alikopa Hivyo Walimalizana yaani Hakuwa Akivunja, Sisi Ambao Hatukukopa Tuliopaswa Kulipwa Pesa Yote Ndo Tukadhurumiwa, Niliumia Nilitamani Kujiondoa Uhai, Mpaka Nikaleta Uzi Humu,

Unajua kwanini Niliumia !? Ni kwasababu ya Tatizo Langu, Sisi wenye Usikivu Hafifu Huwa Ni Ngumu sana Kupata Kazi, Kwahyo ndo Nilikuwa Nautegemea Ule Mtaji Unitoe Kimaisha.
Ndoto yangu ya Kumiliki Duka ikaishia Hapo.

Kwasasa Nipo Nasoma Ualimu huu Mtaala Mpya Naomba Mungu Nipate Kazi.

ila kila Nikikumbuka huwa Naumia saana.
Pole sana
 
Mimi huwa nashangaa sana walionidhulumu waliishia kwenye majanga matupu na karibu wote wameshaaga dunia. Wa mwisho alikuja kukopa dukani nguo na akagoma kabisa kunilipa. Juzi nimeambiwa jamaa yuko jela kwa makosa mengine. Kuna dogo nilimuachiaga ofisi akauza vitu hadi leo hii hajawahi kukaa kwenye ajira akatulia hata mwaka. Ana maisha magumu.
Dhuluma haijawahi kumuacha mtu salama
 
Mimi Nilipata kazi G1 Security Mama Akanishauri Niweke Pesa Vicoba ili Niichukue Yote Mwisho wa Mwaka, Kwakuwa Nae Alikuwa Anacheza Nikaamini Nikawa naweka Mshahara wangu Wote Masikini. Wale Viongozi Pesa Wakaila, Wengine Wakakimbiaa Mama Yeye Alikopa Hivyo Walimalizana yaani Hakuwa Akivunja, Sisi Ambao Hatukukopa Tuliopaswa Kulipwa Pesa Yote Ndo Tukadhurumiwa, Niliumia Nilitamani Kujiondoa Uhai, Mpaka Nikaleta Uzi Humu,

Unajua kwanini Niliumia !? Ni kwasababu ya Tatizo Langu, Sisi wenye Usikivu Hafifu Huwa Ni Ngumu sana Kupata Kazi, Kwahyo ndo Nilikuwa Nautegemea Ule Mtaji Unitoe Kimaisha.
Ndoto yangu ya Kumiliki Duka ikaishia Hapo.

Kwasasa Nipo Nasoma Ualimu huu Mtaala Mpya Naomba Mungu Nipate Kazi.

ila kila Nikikumbuka huwa Naumia saana.
Pold sana jamani
 
Pale ninampomdai mtu halafu akaleta kichwa ngumiu Mimi hubadilika na kuuvaa u-pididy kisha humgeuza ninayemdai aitwe Mr Upinde.
I often do that, It's so dangerous to play with my money.
 
Soma vizuri. Ni kiasi kile kile lakini watu tofauti.
bado una haki ya kudhurumiwa hadi akili zikukae sawa. hawa binadamu sasa hivi hawana wema unamkopa anageuka adui.

ukitaka ukae kwa amani hata kama una hela wewe lia shida muda wote
 
Back
Top Bottom