Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

lete madini kesho ni siku ya ibada keshokutwa kazini, leo siku ya kupeana madini mkuu
Sawa....mwambie umemuota leo...atakuuliza "umeotaje!?" Mwambie ile style uliyokuwa unaipenda wakat nimekubinua hivi....af weka emoji kama 2 tu hiv...lazima akitafute
 
Sawa....mwambie umemuota leo...atakuuliza "umeotaje!?" Mwambie ile style uliyokuwa unaipenda wakat nimekubinua hivi....af weka emoji kama 2 tu hiv...lazima akitafute
safi kwa madini mazuri...twende kazi
 
tafuta muda wa kukaa nae machinjioni (chumbani) muwe wawili tu, kuna wakati kila mtu atakosa stori na mwenzake, hapo sasa unakua umekaanga chapati kwenye sufuria lazma ilike
 
safiiiiiiiiiiiiii.....je unamuingiaje ikiwa ata kuwasiliana hamuwasiliani????
Anza na mambo? Akijibu mwambie miss u.Asipojibu kesho tena mwambie umeamkaje Salome? Taja jina siyo useme mpenz tena...onhoo hapo tunajionaga mnatuona rahisi sana.Endelea ivoivo kila siku mpaka siku utakayomwambia naomba tuonane,akikubali usianze kuombaomba tena we mkumbatie afu anza kutomasa maeneo ambayo ulishafahamu ni udhaifu wake...hapo Game is over!!!
 
Back
Top Bottom