Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

Lakini pia kumbuka mpenzi wako ni x wa mtu,hembu pia tafakari kama atakuwa anapigiwa hesabu hizi...ukipata jibu basi tambua kuwa kama mlisha shindwana mkaamua kuachana,songa mbele na maisha yako ujenge familia yako,ukaisaidie jamii yako,miaka inaenda haitarudi tena.

lakini pia kuna mshahara wa sex
[emoji117]Magonjwa.
[emoji117]Mikosi.
[emoji117]Mimba.

hivyo ukiwa na tamaa ya kumrudia ili tu m sex kumbuka na hayo.
 
Mkuu unamuongelea X au unamuongelea mpenzi wako?...

Nyie ndio walimu mnaotufundisha hesabu maswali mepesiii....

mtu unajiona mathematician haswaaa,Balaa ni Ukifika chumba cha ....

mtihani unakuta Unachokielewa ni Kichwa cha Habari tu na lile swali la kwanza (section c)...
X huyo, kama mlifikia hatua anavaa boksa zako kumla ni simple kama tebo ya pili
 
Mi X wangu anafanya biashara, sasa siku moja nikampigia kumpa dili la pesa kupitia biashara yake, basi kuanzia hapo tukarudisha ukaribu na kuwa marafiki wa kushauriana hili na lile, na nikiomba mgegedo napewa kama kawaida
 
Back
Top Bottom