Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

Ulifanyaje kuendelea kumla x gilrsfriend wako mlio achana kwa ugomvi mkubwa

We mwambie tu njoo kwangu atakuja tu mkuu,trust me
unamfikishaje machinjioni mkuu, maana ukimuambia aje kwako lazima atajua anakuja kuliwa tuu, ukimuambie mkutane hotel atajua anaenda kuliwa tu.... natokaje hapo ili nimle
 
Hakuna ex wangu ambaye nikiomba rematch anakataa huwa namwambia tu nmemiss kukuona nishangae uzur wako na tangu tumeachana sisimami kwa madem wengne
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dhaaaa
 
Hakuna ex wangu ambaye nikiomba rematch anakataa huwa namwambia tu nmemiss kukuona nishangae uzur wako na tangu tumeachana sisimami kwa madem wengne
Hii sio kwamba unampa kichwa zaidi...
 
1.Ukauzu kwa madem wengne ukiwa nae
2.Kupeleka moto
3.Mvivu kuongea
4.Kua smart
5.Kua responsible tu
 
Mimi: Hello

Yeye: Hello

Mimi: D... hapa.

Yeye: Nimeijua sauti yako. Shida?

Mimi: Umepita muda mkubwa hatujaonana. Unakumbuka nilikua nikifika hapa uwanjani naongea na wewe mpaka nikifika home?

Yeye: Enhe?

Mimi: Nipo hapa na wewe ndiye pekee nimeona nikupigie tupige stori mbili tatu.

Yeye: Hivi huna haya?

Mimi: (Kimoyomoyo) Enhee.

Yeye: Yaani tangu kipindi kile ndiyo leo umeona leo upige simu? Hivi hata una akili kweli? Mbona watu wengine mnajishushia heshima hivyo? Too bad hata sura yako haifananii matendo yako.

Mimi: Muda huu kwa kilichotokea una haki ya kusema kila kitu. In fact uko sahihi kwa kila unachosema. But just keep me company nivuke huu uwanja.

Yeye: (Huku kabana pua) Eti just keep me company. Company hiyo kwio?

Mimi: Hahaha this is what I missed the most.

Yeye: Achana na mimi...

Mimi: The fact that I've called inamaanisha siwezi.

Yeye: Yaani kila nikikumbuka ulichofanya nashindwa kuamini, wewe kweli?

Mimi: True nimezingua. Ukivumilia next six minutes nakua nimemaliza uwanja.

Yeye: Mmmxxxccccciiiuuu.

Mimi: Hujaacha tu kusonya kwa nguvu hivyo?

Yeye: Mpoleee kumbe loooh.

Mimi: Anyway, so hautaki kunisikiliza?

Yeye: Sema..

Mimi: Nishasema. Nimesema nimekumiss.

Yeye: Asante.

Mimi: Hili siyo jibu nililolizoea.

Yeye: So?

Mimi: So naweza kukupigia baadaye nione kama naweza fanya chochote ikasaidia kupata jibu nililolizoea?

Yeye: Unipigie baadaye ili iweje?

Mimi: Si nimekwambia sababu lakini?

Yeye: Kama unapiga we piga tu ila hayo mengine utajaza mwenyewe.

Mimi: Ok, nakupigia saa nne usiku.

Yeye: Muda huo hapana.

Mimi: Kwanini? Umeolewa tayari?

Yeye: Hata kama ningekua sijaolewa nishakua mkubwa kupigiana simu mida hiyo siyo ishu tena.

Mimi: Mmhh Si mchezo. Haya poa baadaye.

Yeye: Poa.

Baada ya kukata simu. Natext.

'Pale umesema umeshakua ...'

'Nini?'

'Nawaza kama kuna extra kuliko nilichowahi ona'

'Yaani ndiyo mawazo yako hayo.'

'We ungekua mimi ungewaza nini sasa? Chura kama huyo.'

'Hivi bado tu unapenda chura?'

'Naachaje?'

'Duh kazi ipo.'

'Hii kazi ndo nimekuletea wewe'.

Natuma voice note;

🔊

Anajibu.

🔊🔊

Naijibu na mimi.

🔊🔊🔊.

Anajibu kwa text..

'Haiwezi kua.'

Natuma tena voice note:

🔊🔊

Anajibu:

'Nitakushtua'
 
Mimi: Hello

Yeye: Hello

Mimi: D... hapa.

Yeye: Nimeijua sauti yako. Shida?

Mimi: Umepita muda mkubwa hatujaonana. Unakumbuka nilikua nikifika hapa uwanjani naongea na wewe mpaka nikifika home?

Yeye: Enhe?

Mimi: Nipo hapa na wewe ndiye pekee nimeona nikupigie tupige stori mbili tatu.

Yeye: Hivi huna haya?

Mimi: (Kimoyomoyo) Enhee.

Yeye: Yaani tangu kipindi kile ndiyo leo umeona leo upige simu? Hivi hata una akili kweli? Mbona watu wengine mnajishushia heshima hivyo? Too bad hata sura yako haifananii matendo yako.

Mimi: Muda huu kwa kilichotokea una haki ya kusema kila kitu. In fact uko sahihi kwa kila unachosema. But just keep me company nivuke huu uwanja.

Yeye: (Huku kabana pua) Eti just keep me company. Company hiyo kwio?

Mimi: Hahaha this is what I missed the most.

Yeye: Achana na mimi...

Mimi: The fact that I've called inamaanisha siwezi.

Yeye: Yaani kila nikikumbuka ulichofanya nashindwa kuamini, wewe kweli?

Mimi: True nimezingua. Ukivumilia next six minutes nakua nimemaliza uwanja.

Yeye: Mmmxxxccccciiiuuu.

Mimi: Hujaacha tu kusonya kwa nguvu hivyo?

Yeye: Mpoleee kumbe loooh.

Mimi: Anyway, so hautaki kunisikiliza?

Yeye: Sema..

Mimi: Nishasema. Nimesema nimekumiss.

Yeye: Asante.

Mimi: Hili siyo jibu nililolizoea.

Yeye: So?

Mimi: So naweza kukupigia baadaye nione kama naweza fanya chochote ikasaidia kupata jibu nililolizoea?

Yeye: Unipigie baadaye ili iweje?

Mimi: Si nimekwambia sababu lakini?

Yeye: Kama unapiga we piga tu ila hayo mengine utajaza mwenyewe.

Mimi: Ok, nakupigia saa nne usiku.

Yeye: Muda huo hapana.

Mimi: Kwanini? Umeolewa tayari?

Yeye: Hata kama ningekua sijaolewa nishakua mkubwa kupigiana simu mida hiyo siyo ishu tena.

Mimi: Mmhh Si mchezo. Haya poa baadaye.

Yeye: Poa.

Baada ya kukata simu. Natext.

'Pale umesema umeshakua ...'

'Nini?'

'Nawaza kama kuna extra kuliko nilichowahi ona'

'Yaani ndiyo mawazo yako hayo.'

'We ungekua mimi ungewaza nini sasa? Chura kama huyo.'

'Hivi bado tu unapenda chura?'

'Naachaje?'

'Duh kazi ipo.'

'Hii kazi ndo nimekuletea wewe'.

Natuma voice note;

🔊

Anajibu.

🔊🔊

Naijibu na mimi.

🔊🔊🔊.

Anajibu kwa text..

'Haiwezi kua.'

Natuma tena voice note:

🔊🔊

Anajibu:

'Nitakushtua'

Ila wanawake bana hua wanachekesha sana.😂😂 unaweza chimbwa mkwara ukajua hapa ndio baas tena sitakuja kupata kitu.
 
Ila wanawake bana hua wanachekesha sana.[emoji23][emoji23] unaweza chimbwa mkwara ukajua hapa ndio baas tena sitakuja kupata kitu.
Mimi niliambiwa
Yeye: kwanza unasoma alafu muislam haitawezekana
baadaye akawa anakuja kunivisit na misosi nakula kabla sijatoroka kwenda kumla mpishi kazini kwake hospital
 
duh mzee noma sana sana sana.. mimi sijawasiliana nae ni kama miezi mitatu ivi ila natamani sana kumla tena mzee...
Mshtue tuu wengi wao huwa hawawez kataa hasa akikumbuka hakuna usichojua kwenye mwili wake
 
Anza na mambo? Akijibu mwambie miss u.Asipojibu kesho tena mwambie umeamkaje Salome? Taja jina siyo useme mpenz tena...onhoo hapo tunajionaga mnatuona rahisi sana.Endelea ivoivo kila siku mpaka siku utakayomwambia naomba tuonane,akikubali usianze kuombaomba tena we mkumbatie afu anza kutomasa maeneo ambayo ulishafahamu ni udhaifu wake...hapo Game is over!!!
Mbinu mujaarab sana hii
 
tafuta muda wa kukaa nae machinjioni (chumbani) muwe wawili tu, kuna wakati kila mtu atakosa stori na mwenzake, hapo sasa unakua umekaanga chapati kwenye sufuria lazma ilike
Mkuu unamuongelea X au unamuongelea mpenzi wako?...

Nyie ndio walimu mnaotufundisha hesabu maswali mepesiii....

mtu unajiona mathematician haswaaa,Balaa ni Ukifika chumba cha ....

mtihani unakuta Unachokielewa ni Kichwa cha Habari tu na lile swali la kwanza (section c)...
 
Back
Top Bottom