Ulifanyaje ulipoachika?

Ulifanyaje ulipoachika?

Pisi sio romantic,Hana shukrani[emoji706]
Yaani hana shukrani kabisa.. wanaume kama nyinyi mmebaki wachache sana... huyo dada mbengo hazitafunguka kwa ajili yake[emoji28]... 100k yote hiyo na asante hamna anajikuta nani kwa mfano[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah kaka ila bora ulichukua kuliko aende mshikaji akipigie show juu ya shuka lako duuh[emoji1787][emoji1787]
Na umasikini unachangia 😂😂😂
 
Dah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.

Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote [emoji848] She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja[emoji33][emoji33] meseji ikaishia hapo.

Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi[emoji51][emoji51]
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.

Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu[emoji51] sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang[emoji56][emoji56][emoji56]

Kumbe kuachwa ndo inakua hivi[emoji33][emoji33] Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis [emoji23] ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.

Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania

Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili[emoji848]
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu

Nikiachwa ni kama nimeacha
Na nikiacha ni kama nimeacha
 
Dah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.

Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote [emoji848] She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja[emoji33][emoji33] meseji ikaishia hapo.

Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi[emoji51][emoji51]
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.

Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu[emoji51] sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang[emoji56][emoji56][emoji56]

Kumbe kuachwa ndo inakua hivi[emoji33][emoji33] Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis [emoji23] ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.

Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania

Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili[emoji848]
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
Sikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zako
 
Sikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zako
Kweli nilikua punching bag🚮
 
Dah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.

Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote 🤔 She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja😱😱 meseji ikaishia hapo.

Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi😬😬
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.

Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu😬 sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang😇😇😇

Kumbe kuachwa ndo inakua hivi😱😱 Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis 😂 ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.

Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania

Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili🤔
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
Ulikuwa unadate na danga na hukumla hata daaa hiyo hela ningenunua mafuta na lotion ya puchu na bado ningebaki na 90k
 
Sikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zako
Fact
 
Back
Top Bottom