Selected by gods
Senior Member
- Dec 23, 2022
- 140
- 321
Kama umegusa k haitauma sana tofauti na kuhudumia afu ukaachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleeeeeeeh[emoji846][emoji846]
Huyo mwanamke alikufanya buzi, muache aende zake. Ngoja akakutane na wanaume zetu hawatoi hata thumni akili itamkaa sawa.
Wazee wa Free P*mbu ngoja aje ajionee
😂Akutane na wale wanaoomba wanawake pesaWazee wa Free P*mbu ngoja aje ajionee
[emoji23] na mitaan wapo wengi wa aina hiyo[emoji23]Akutane na wale wanaoomba wanawake pesa
Hahaaa we muache akajute mbele ya safariWazee wa Free P*mbu ngoja aje ajionee
😂 mtaani ndio wanapopatikana wa aina zote, kazi kwako kukosea kuchagua[emoji23] na mitaan wapo wengi wa aina hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23] mtaani ndio wanapopatikana wa aina zote, kazi kwako kukosea kuchagua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazee wa Free P*mbu ngoja aje ajionee
HV kutuma pesa bila kuomba ndo kuhonga?
Kwani na yeye alikua anakojolea angani?Mbegu ulizomwagia ulimsafishaje mkuu,maana ilitakiwa zirudi pia
Tena wamejaa kibao mtaani, yaan mboo zinauzwa siku hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akutane na wale wanaoomba wanawake pesa
Wanawake mpo wengi sanaTena wamejaa kibao mtaani, yaan mboo zinauzwa siku hizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nomaa na nusuu.Wanawake mpo wengi sana
Dah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.
Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote 🤔 She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja😱😱 meseji ikaishia hapo.
Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi😬😬
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.
Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu😬 sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang😇😇😇
Kumbe kuachwa ndo inakua hivi😱😱 Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis 😂 ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.
Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania
Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili🤔
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
😯😯🤣Mimi nimekua na mahusiano na single mother mmoja kuanzia mwezi October mwaka jana, mwezi tarehe 25 December akanambia ana mimba yangu, January mwanzon akanambia tuachane, nikamuuliza kuhusu mimba akasema sio yangu. Kwa kifupi wanawake sio kabisa.