Yaani hana shukrani kabisa.. wanaume kama nyinyi mmebaki wachache sana... huyo dada mbengo hazitafunguka kwa ajili yake[emoji28]... 100k yote hiyo na asante hamna anajikuta nani kwa mfano[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pisi sio romantic,Hana shukrani[emoji706]
Sio kuhonga bali ni kuonyesha unamjali kiasi gani...HV kutuma pesa bila kuomba ndo kuhonga?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka kwa nguvu sana daaah
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah kaka ila bora ulichukua kuliko aende mshikaji akipigie show juu ya shuka lako duuh[emoji1787][emoji1787]Yah mimi nipo ivyo yaan especially kma sijagusa ndio kuzidi
Sababu demu mzuri sijui ajawai pata demu mzuri kama yule...daah anaendeshwa sio poaaSi Bora kununua malaya
Na umasikini unachangia 😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah kaka ila bora ulichukua kuliko aende mshikaji akipigie show juu ya shuka lako duuh[emoji1787][emoji1787]
Dah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.
Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote [emoji848] She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja[emoji33][emoji33] meseji ikaishia hapo.
Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi[emoji51][emoji51]
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.
Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu[emoji51] sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang[emoji56][emoji56][emoji56]
Kumbe kuachwa ndo inakua hivi[emoji33][emoji33] Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis [emoji23] ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.
Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania
Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili[emoji848]
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
Sikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zakoDah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.
Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote [emoji848] She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja[emoji33][emoji33] meseji ikaishia hapo.
Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi[emoji51][emoji51]
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.
Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu[emoji51] sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang[emoji56][emoji56][emoji56]
Kumbe kuachwa ndo inakua hivi[emoji33][emoji33] Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis [emoji23] ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.
Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania
Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili[emoji848]
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
Hata kidonda hakijapoa unegusisha chumvi[emoji1787]
Kweli nilikua punching bag🚮Sikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zako
Na hichi ndo kinakufanya umuwaze sana! 😂Nasuuza sana tu
Ulikuwa unadate na danga na hukumla hata daaa hiyo hela ningenunua mafuta na lotion ya puchu na bado ningebaki na 90kDah yaani hapa natoka kuachika Kwa sababu ambazo naziona sio za msingi kabisa, nimempa 100k akafanye ishu zake nyingine bila hata kuniomba.
Hata Asante hakusema, juzi ananiomba Tena shilling laki Moja ambayo Haina maelezo yoyote 🤔 She was like... Umm babe naomba shilingi laki Moja😱😱 meseji ikaishia hapo.
Nami sikujibu chochote nione reaction Yake mpaka zilipoanza lawama kwamba nimekua bahili siku hizi😬😬
Nikawambia yes mimi ni bahili so what, akadai tuachane.
Nami nikaona poa tu maana Amna mambo apa zaidi ya kuchunwa tu😬 sijataka kuhoji kuhusu ile pesa nilomtumia bila kuomba. Nipo nipo tu kichwa kime hang😇😇😇
Kumbe kuachwa ndo inakua hivi😱😱 Ila naona kama nimetua ka mzigo Fulani hivi, kuachana na hii Toyota brevis 😂 ila Kuna mda naanza kumuwazia Tena.
Ebu nipeni mbinu nifanyeje ku overcome ishu kama hii
mzabzab
Mzee wa kupambania
Eti To yeye mtu anaekutumia pesa bila kuomba ni bahili🤔
Shunie Antonnia Depal Chakorii ebu kuweni na huruma na pesa zetu wandugu
FactSikia wanawake tupo hivi, mwanaume ambaye hatumpendi huwa tubamuomba ela kila mara ili achoke ajiondoe ndo maana umeona baada ya kumnyima eka imekuwa rahisi kusema tuachane. Hapo hakuna upendo kaka unachunwa. Tafuta mtu atakayekupenda na siyo kupenda pesa zako
Na wewe! Nini kuniaibisha mwenzio huku.Uje bas inbox tuyamalize😔Na mimi nilikupenda ukaniacha 😁😅
Ila sawa tu 😔
😂acha masihara mkuuKwahio ukamtelekeza mwamba
NdiyoMimi Tena?🤔🤔