Ulifanyaje ulipoachika?


Unategemea uwe Baba? Watoto wana changamoto sana
 
Yawezekana rungu unasuza sio kama inavyo takiwa, ndo maana akatafuta sbb isiyo na kichwa wala miguuu
Tulikua tunasuuza wengi yaani unamkaba vini jr anafunga mbappe ukimkaba mbappe anafunga bellingam
 
Mimi nimekua na mahusiano na single mother mmoja kuanzia mwezi October mwaka jana, mwezi tarehe 25 December akanambia ana mimba yangu, January mwanzon akanambia tuachane, nikamuuliza kuhusu mimba akasema sio yangu. Kwa kifupi wanawake sio kabisa.
😯😯🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…