stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Lete vihoja nini kilitokea ulipokamatwa na wakaguzi wa vibali vya ujenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄 pogba kafanya yakeNilikuwa nimekata vibali pamoja na malipo kamili.
Ukapita muda kama miezi 4 bila kuanza ujenzi kwa sababu nilisafiri, niliporejea nikaanza ujenzi. Wakaja jamaa kutoka manispaa kuniuliza vibali vya ujenzi. Utata ukaanziq hapo kwa sababu hawakupita kwenye Serikali ya mtaa na Wala hawakuja na kiongozi yeyote.
Nikaenda kufungua mbwa (mbwa nilimuita POGBA). Uzuri yule Dog alikuwa kapewa mafunzo. Nikaawaambia waondoke kabla sijatoa AMRI nyingine kwa Bwana Pogba. Sijui alijichanganya vipi yule jamaa akaokota jiwe na kupiga yule mbwa, aiseee dakika sumni alikuwa bila suruali na mikwaruzo.
Nikachezq na mtendaji kiutu uzima ikaonekqna wale jamaa wa manispaa wamekuja kufanya vurugu na nikaombwa msamaha
Ha ha ha.nimechekaNilikuwa nimekata vibali pamoja na malipo kamili.
Ukapita muda kama miezi 4 bila kuanza ujenzi kwa sababu nilisafiri, niliporejea nikaanza ujenzi. Wakaja jamaa kutoka manispaa kuniuliza vibali vya ujenzi. Utata ukaanziq hapo kwa sababu hawakupita kwenye Serikali ya mtaa na Wala hawakuja na kiongozi yeyote.
Nikaenda kufungua mbwa (mbwa nilimuita POGBA). Uzuri yule Dog alikuwa kapewa mafunzo. Nikaawaambia waondoke kabla sijatoa AMRI nyingine kwa Bwana Pogba. Sijui alijichanganya vipi yule jamaa akaokota jiwe na kupiga yule mbwa, aiseee dakika sumni alikuwa bila suruali na mikwaruzo.
Nikachezq na mtendaji kiutu uzima ikaonekqna wale jamaa wa manispaa wamekuja kufanya vurugu na nikaombwa msamaha
Kina maana sana mkuu kwasababu ipo kwenye sheria za nchi siyo watu wamejitungia tu.Kibali cha ujenzi kina faida gani kwa taifa la Tanzania?
Tuna copy na kupaste vitu hata havina maana na havitusaidii kama Taifa.
Zaidi ni kuumizana na kukomoana tu.
Kibali hakijengi nyumba, kibali hakifanyi nyumba iwe imara, sasa nini maana na faida ya hiki kibali?
Siyo jambo la kucheka mkuu. Kwani mmevunja sheria. Wewe na jirani zako mara moja nendeni halmashauri mpewe vibali.Sina kibali na hata majiran zangu wote hawana..hahahaha raha ya kuishi LINDI MUNICIPAL HIO
Kwa hali zao za uchumi sidhani mkuu nyumba zenyewe nyingi za kubandika matopeSiyo jambo la kucheka mkuu. Kwani mmevunja sheria. Wewe na jirani zako mara moja nendeni halmashauri mpewe vibali.
Kuna katabia kamoja kapo kwenye hizi idara yani wanaona unachimba msingi ,unapandisha tofari ukishafika level ambayo wataweza kuandika maneno yao “BOMOA”Lete vihoja nini kilitokea ulipokamatwa na wakaguzi wa vibali vya ujenzi
Maana yake nini hasa ndio lilikuwa swali langu, na vinasaidia nini kwenye ujenzi nchi kama yetu hii.Kina maana sana mkuu kwasababu ipo kwenye sheria za nchi siyo watu wamejitungia tu.
Tatizo wengi tunabeza sana mambo ya ujenzi.
Kwahiyo sheria za nchi haziwi za kipumbavu?Kina maana sana mkuu kwasababu ipo kwenye sheria za nchi siyo watu wamejitungia tu.
Tatizo wengi tunabeza sana mambo ya ujenzi.
Kwa hiyo mbwa pogba nae unamlisha madawa ya kuongeza ukali 🤣🤣🤣🤣Nilikuwa nimekata vibali pamoja na malipo kamili.
Ukapita muda kama miezi 4 bila kuanza ujenzi kwa sababu nilisafiri, niliporejea nikaanza ujenzi. Wakaja jamaa kutoka manispaa kuniuliza vibali vya ujenzi. Utata ukaanziq hapo kwa sababu hawakupita kwenye Serikali ya mtaa na Wala hawakuja na kiongozi yeyote.
Nikaenda kufungua mbwa (mbwa nilimuita POGBA). Uzuri yule Dog alikuwa kapewa mafunzo. Nikaawaambia waondoke kabla sijatoa AMRI nyingine kwa Bwana Pogba. Sijui alijichanganya vipi yule jamaa akaokota jiwe na kupiga yule mbwa, aiseee dakika sumni alikuwa bila suruali na mikwaruzo.
Nikachezq na mtendaji kiutu uzima ikaonekqna wale jamaa wa manispaa wamekuja kufanya vurugu na nikaombwa msamaha
ameuliza faida ya kibali kwa nchi au ni upigaji tuKina maana sana mkuu kwasababu ipo kwenye sheria za nchi siyo watu wamejitungia tu.
Tatizo wengi tunabeza sana mambo ya ujenzi.
Huwezi amini.😄 pogba kafanya yake
Paul Pogba atengwe, ana balaa zito.Nilikuwa nimekata vibali pamoja na malipo kamili.
Ukapita muda kama miezi 4 bila kuanza ujenzi kwa sababu nilisafiri, niliporejea nikaanza ujenzi. Wakaja jamaa kutoka manispaa kuniuliza vibali vya ujenzi. Utata ukaanziq hapo kwa sababu hawakupita kwenye Serikali ya mtaa na Wala hawakuja na kiongozi yeyote.
Nikaenda kufungua mbwa (mbwa nilimuita POGBA). Uzuri yule Dog alikuwa kapewa mafunzo. Nikaawaambia waondoke kabla sijatoa AMRI nyingine kwa Bwana Pogba. Sijui alijichanganya vipi yule jamaa akaokota jiwe na kupiga yule mbwa, aiseee dakika sumni alikuwa bila suruali na mikwaruzo.
Nikachezq na mtendaji kiutu uzima ikaonekqna wale jamaa wa manispaa wamekuja kufanya vurugu na nikaombwa msamaha