Ulifanywa nini ulipokamatwa unajenga bila kibali cha ujenzi?

Unamaanisha nini?
Fikiria tena
 
Unamaanisha nini?
Fikiria tena
Kibali kina umuhimu gani zaidi ya kukusanya mapato? Nyumba zetu hazina mpangilio, hazijengwi na ingeneers/professional buliders, hazina mpangilio, hazikaguliwi kama zinajengwa kufuata taratibu za ujenzi, sasa kibali cha nini? au maana yake nini?
 
Walizuia jengo lisiendelee hadi nikakate kibali, nilivyoenda kukata kibali wakanilazimisha ninunue na Ramani ya jengo ileile nyumba yangu niliyoijenga wakaichora ramani na kuniuzia kwa 250K ukijimlisha na 50k ya kibali wakala 300k
 
Na bado kariakoo majengo yanaporomoka kila wakati.
It is meaningless and nonsense.
Hizo sheria zingine zinatengeneza mianya tu ili watu wapige hela za rushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…