Ulifikiria nini kutumia Avatar unayoitumia sasa?

Tuanze na mimi. Huwa napenda avatar za kulialia kama hiyo mnayoiona hapo. Sababu kuu ni kwa sababu huwa ninateswa sana na mapenzi, hali hii unipelekea kuwachukia sana hasahasa wale wanawake wanaopiga vizinga

N.B: Tutafute hela, pombe za 1700 ndizo ututufanya tuone wanawake wa bar kuwa wanajiuza

Nitachange avatar kwa sana, lakini mwisho wa siku nitaangukia kwenye avatar ya kulia lia
 
Huyu jamaa kwenye avatar yangu ni muigizaji/mchekeshaji/muimbaji maarufu huko marekani anaitwa Donald Glover AKA Childish Gambino.... napenda sana muziki wake

Na kuna muda nilikua napenda mitindo yake ya nywele na uvaaji wake😂
 
Pole sana na mapenzi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…