KUNA kitu unaweza ukakitafuta mpaka kichwa kikauma,unatangaza dau refu watu wakutaftie ila wapi watu wanashndwa ghafla siku upo ofisini umekaa zako unaletewa kile kile kitu kilichokua kikikuumiza kchwa,kkt situation za namna hiyo Mungu atanisamehe tu.Duh mkuu kumbe ni mnunuaji mzoefu wa vitu vya wizi? Nilifikiri ungesema ukihisi au kujua ni cha wizi unaachana nacho!
Kitu cha kuzifanyia ndiyo jambo linalokufanya usave. Nadhani umeshaelewa
Haya mkuu.KUNA kitu unaweza ukakitafuta mpaka kichwa kikauma,unatangaza dau refu watu wakutaftie ila wapi watu wanashndwa ghafla siku upo ofisini umekaa zako unaletewa kile kile kitu kilichokua kikikuumiza kchwa,kkt situation za namna hiyo Mungu atanisamehe tu.
Fungua fixed accountBenk siwezi kuweka Kila siku ni ngumu kujicontrol mwenyewe ila kikundi utaweka tu
Nna lengo hilo mwaka huu 2021. Nishaanza kwa kufungua saving account, kila week nimeweka target ya amount nnayotakiwa kudeposit, maendeleo ni mazuri so far.Habari jf
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida n changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikua hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nlikua nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!...lakini baadae nilipataga kazi kwaiyo kushika milion 3 ikawa cyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milion tatu ndo ufanye kila kitu akiba au saving ndo laki 3 au 5.....
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wap!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea
Nb:hapa naongelea saving ,hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?
Huu ndo ujanja sasa bank unaweka 200,000 tu ya dharula ingine unazungusha mwenyewe maana bank wenyewe wanaitumia hela yako sasa ni bora uitumie mwenyewe as investmentAim ilikua 1 kufikisha target,mimi ni mtu dhaifu sana wakuangalia hela tu ipo mbele yangu....
hivyo naibadilisha hela navitu vyenye thamani ya pesa yangu,nilianza kwa kununua pikipiki....
nainunua leo kesho natangaza naiuza kwa bei ya juu,nikiiuza nanunua kitu kingine,kesho kutwa....
natangaza nakiuza kwa bei ya juu,mwendo ni huo huo,na kodisha frem 300k namimi naikodsha kwa 400k...
maisha yalikua namna hiyo kimasihara kama asemavyo rikiboy ten Em hii hapa na zaidi,life goes on...
We kaka mzito sana kuelewa. Hizi shule za kata zingefutwa tu jomoniUmeelewa lakini? Mbona alizitafuna sasa kabla ya kufikia lengo lake la 10m? Hapo kuzitafuna ndio kazi ya kuzifanyia sasa...Hapo umeelewa.
Hela yangu ya kwanza kushikaga ilikuwa milioni 4 kwa mara ya kwanza 😅😅Una uhakika hujawai shika!!
Mkifika 1B mtu anitagi niweke neno piaHabari jf
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida n changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikua hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nlikua nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!...lakini baadae nilipataga kazi kwaiyo kushika milion 3 ikawa cyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milion tatu ndo ufanye kila kitu akiba au saving ndo laki 3 au 5.....
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wap!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea
Nb:hapa naongelea saving ,hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?
Ila Una simu ya laki 5.eeeh mungu nisaidie nishike ata milion 2 cash mkononi
Savers are loosersHabari jf
Katka kupambana na maisha kuna malengo tunajiwekea Shida n changamoto ya kuyafikia. Mwanzo mwa mwaka 2016 nilijiwekea target kufikisha milion 3.
Kwangu ilikua hela nyingi coz nilikua nasoma na hela ambazo nlikua nashika ni laki laki mwisho laki 5 balance ya akiba laki moja!!...lakini baadae nilipataga kazi kwaiyo kushika milion 3 ikawa cyo kazi but siyo akiba!! Unakuta hiyo milion tatu ndo ufanye kila kitu akiba au saving ndo laki 3 au 5.....
Najaribu kupambana nifike milioni 10 wap!!
Kila ikifika milioni 3 au 4 napata shida natumia. Sasa nilitaka tubadilishane experience na wanajf wenzangu ambao mmeshavuka huko au mna idea
Nb:hapa naongelea saving ,hela unayoisave baada ya kufanya mambo mengine
Je, wewe ulifikishaje milioni 10 yako ya mwanzo?
Hii iko vizuriBetpawa.😀
Kama hutojali taratibu za kununua ili usije ingia kwenye mtego wa kununua Mali ya wizi hua una verify vipi au ni security gani hua wachukua just incase yakienda kombo urudi kuwakamata wahusika , nimeielewa sana hii , nataka zama humo , ila nimeona ni vyema kwanza nijue upande huu nisije jikuta segereaNimewahi sana na nikihisi tu ni cha wizi huwa nina team yangu ya manunuzi (sinunui mimi)
nawatonya wanakuja,nawapa hela wananunua kisha wanasepa,muuzaji hatojua kama n mimi
nimenunua na team yangu ya manunuzi haikai mtaa niliopo hao wanakuja kwa case maalum tu
Utujulishe na sisi SACCOSS na vicoba vizuri tujiungeUhuuuu huwa tunadanga balaa ila Mimi sio mkopo ni savings zangu so Sina stress
We kaka mzito sana kuelewa. Hizi shule za kata zingefutwa tu jomoni
Ukifa ndugu wanabaki wanagombania urithi usijibane sana mpaka ukapitiliza sio vizuri utakuja kuwa tajiri bali sana ujueIla kusave Kuna itaji moyo Kuna kipindi natembea uchi maana mchezo wa Kila siku hata chupi unashindwa kununua.ila chupi kitu gani bwana???
Maisha haya! Input yako ya ntaji mbona haiendani na output ya faida?Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!...