Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

Ulifikishaje Milioni 10 ya kwanza?

Kama hutojali taratibu za kununua ili usije ingia kwenye mtego wa kununua Mali ya wizi hua una verify vipi au ni security gani hua wachukua just incase yakienda kombo urudi kuwakamata wahusika , nimeielewa sana hii , nataka zama humo , ila nimeona ni vyema kwanza nijue upande huu nisije jikuta segerea
Mali ya wizi anaeuza hamjui anaemuuzia (muhimu yeye apate hela yake)

hivyo ikitokea muuzaji kadakwa huko kaambiwa twende ulikouza Kitu flani

Hata apigwe atolewe macho hana pakuwapeleka wahusika maana mnunuaji

hajulikani anakaa wapi,anapatikana wapi so kesi anabaki nayo mwenyewe Muuzaji

mnunuaji yuko huko kimya hajulikani alipo wala anakaa wapi,so inakaa namna hiyo.
 
Mali ya wizi anaeuza hamjui anaemuuzia (muhimu yeye apate hela yake)

hivyo ikitokea muuzaji kadakwa huko kaambiwa twende ulikouza Kitu flani.
Mkuu umejibu lakn umekwepa hapo hapo

Mimi nataka niwe nanunua piki piki kwa mtu then nauza, katika kufanya biashara ya hivi matukio yà kuuziwa pikipiki ya wizi mtu anaweza kutana nalo

Swali langu ndio liko hapo

Wewe umejiwekea mfumo upi wa kukwepa kununua pikipiki ya aina hii, sijui umenipata? Au ni njia ipi hua watumia kuthibitisha Kwamba pikipiki unayouziwa ni Mali ya huyo anae kuuzia na sio imepigwa mahali.
 
Mkuu umejibu lakn umekwepa hapo hapo

Mimi nataka niwe nanunua piki piki kwa mtu then nauza , katika kufanya biashara ya hivi matukio yà kuuziwa pikipiki ya wizi mtu anaweza kutana nalo

Swali langu ndio liko hapo

Wewe umejiwekea mfumo upi wa kukwepa kununua pikipiki ya aina hii , sijui umenipata ? Au ni njia ipi hua watumia kuthibitisha Kwamba pikipiki unayouziwa ni Mali ya huyo anae kuuzia na sio imepigwa mahali

Soma hili jibu langu hapa👇👇 taratibu na kwa makini utajua nakwepaje kununua hiyo pikipiki direct toka kwa muuzaji.

Nimewahi sana na nikihisi tu ni cha wizi huwa nina team yangu ya manunuzi (sinunui mimi)

nawatonya wanakuja,nawapa hela wananunua kisha wanasepa,muuzaji hatojua kama n mimi

nimenunua na team yangu ya manunuzi haikai mtaa niliopo hao wanakuja kwa case maalum tu
 
VICOBA = Village Commercial Bank...
Nakushauri bora pesa yako ukainvest sehemu au uingie partnership au ununulie ata shares kama una knowledge na hivyo vitu kuliko uko Kwenye VICOBA na masaccos,uko ujanja mwingi watu wanacheza na % tu..
Wanacheza na %! Samahani ndugu naomba nifafanulie hapa umemaanisha nini?
 
Ndiyo hivyo. Shida kubwa watu wengi wakienda shule kidogo anaona biashara za mtaani ni kama kushika uchafu. Kuna kijana mmoja mwalimu s/msingi wa kichaga alipanga chumba kwetu akaona fursa akafungua genge la mbogamboga hapo nje kalitengeneza kwa mabanzi tu ya kawaida. Saizi anauza laki 8 kwa siku. Tunataka kuanza kumtoza kodi lakini tunajishtukia kwa aibu, coz ni kasehemu ambacho wala hatukujua kuwa ni potential. Sasa mwambie graduate wa Mzumbe au Udsm afungue genge.
Like seriously.... genge la mbogamboga anauza 800K kwa siku ?
 
Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza toyota hiace 2RZ toka Japan ambapo costs za kuagiza na usajili ilini-cost 25.M kwa kipindi hicho!!Chuma kipo road kinapiga route ya Mlowo-Tunduma per day naingiza 60,000/=!!take 60,000/=×30=1,800,000/=!!Serikalini nilishaacha kazi yao na chuma nakisimamia miimi mwenyewe!!Kwa hy kuna njia nyingi za kupata hiyo 10.M ingawa sio mchezo.
Hongera mkuu
 
Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza toyota hiace 2RZ toka Japan ambapo costs za kuagiza na usajili ilini-cost 25.M kwa kipindi hicho!!Chuma kipo road kinapiga route ya Mlowo-Tunduma per day naingiza 60,000/=!!take 60,000/=×30=1,800,000/=!!Serikalini nilishaacha kazi yao na chuma nakisimamia miimi mwenyewe!!Kwa hy kuna njia nyingi za kupata hiyo 10.M ingawa sio mchezo.
Hiyo hiace IPO barabarani kila siku? Hamna service?
 
Back
Top Bottom