Kwakua ulikua unashiriki jukwaa la pale sinza_mikumi wakakualika JFMMU,[emoji1787][emoji1787]
Leo tumekutana tena humu sijui kama kuna usalama mpaka saa kumi alfajiri hahaha
watu sampuli yako ndio mnafanya tuonekane tupo wengi JFMwaka 2008 nilifundishwa na luten nyingo (now ni kanal na yupo kozi akiwinda kuwa brigedia)
Aliniambia niangalie list ya matajiri kwa kupitia Google katika orodha ikatokea na jamii forum akafurahi saana kuona habari za kiswahili japo walikuwa wanachangia watu 3 mpaka 10 tu
Mwaka 2010 nikajiunga officially ila sikuwai kuchangia zaidi ya kusoma tu
Kuchangia rasmi nilianza mwaka 2016
Mpaka sasa Nina I'D 34 ila nyingi zao sikumbuki password zake
Ila mkuu umetisha yaani una ID 34 duuMwaka 2008 nilifundishwa na luten nyingo (now ni kanal na yupo kozi akiwinda kuwa brigedia)
Aliniambia niangalie list ya matajiri kwa kupitia Google katika orodha ikatokea na jamii forum akafurahi saana kuona habari za kiswahili japo walikuwa wanachangia watu 3 mpaka 10 tu
Mwaka 2010 nikajiunga officially ila sikuwai kuchangia zaidi ya kusoma tu
Kuchangia rasmi nilianza mwaka 2016
Mpaka sasa Nina I'D 34 ila nyingi zao sikumbuki password zake
Vya bure vimenipita aloohMitandao yote washaiondoa, ulikua unaingia bila bundle wao ndio wanalipia bundle lako kwa site maalamu tu, JF ikiwemo
naskia halotel bado wanahii hudumaVya bure vimenipita alooh