Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa.

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu.

Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
 
w
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana.hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewai kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Weka picha
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana.hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewai kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Ndio kipimo cha akili.
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana.hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewai kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Pole sana mkuu, usikate tamaa hayo magumu yatapita tu.
 
Bwana bwana usiombee kupitia hii hali. (wouldnt wish it even for my worst enemy) jobless corner isikie tuu kwa wenzio maana ikupate mbona utajua maisha yakoje. Tena ombea ikukute wakati huna mchuchu, kama una mchuchu aisee nakwambia ndio utakapo tambua kuwa woman = devil reincarnated.

Mie nilibwagwa na kuambiwa sina mbele wala nyuma kama mche wa sabuni. Mzazi anakusikitikia tena wa mama ndio kabisa unamuona tuu anauzunika, acha kabisa maumivu yake ni balaaa.

All in all mwanawane wewe pambana tuu ndio mapito ya maisha always bliv good is going to happen na muhimu sana angalia sana wale watakao kuwa nae katika wakati huu maana siku neema ikishuka hao ndio wakula nao.
 
...mzazi anakusikitikia tena wa mama ndio kabisa unamuona tuu anauzunika,...
Ila mamaza wana roho nzuri sana aisee. Ata isiwe kwa mtoto wake ila mwanamke mwenye mtoto uwa anakua na huruma kwa mtoto yoyote (naamini hivyo).

Kuna siku nimetoka Posta, nipo Mwendokasi. Kuna mchongo nilifukuzia afu ukafeli vibaya sana. Yaan sikua na maisha.

Nipo kwenye Mwendokasi haina watu wengi kwasababu ilikua mchana, nikawa naongea kumbe mwenyewe hafu sijui. Napiga hesabu hivi na vile kugeuka pembeni kuna mama ananiangalia kwa huruma. Nikazuga naimba. Akaniambia hujambo mwanangu, dah. Simjui kabisa ila ile ujambo imetoka moyoni. Nikamjibu sijambo shikamoo. Tukapiga story 2 3 nikashuka Ubungo.

Inaonekana aliona kijana mafaili yamecorrupt akasema anichangamshe kidogo na ilisaidia. Au usikute ana kijana umri tunaendana akasema labda na mwanangu anapitia kipindi kigumu hivi.

Wabarikiwe sana wazazi.
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Halafu unaambiwa unaumwa kisukari, ndugu wakiona simu yako wanajua umejiunga na kikosi cha mizinga.
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Imagine hapo uko peke yako! Vipi ungekuwa na watoto + mke! Na wote wanakutegemea wewe!!! Hapo lazima maji ungeyaita mma!
 
Ila mamaza wana roho nzuri sana aisee. Ata isiwe kwa mtoto wake ila mwanamke mwenye mtoto uwa anakua na huruma kwa mtoto yoyote (naamini hivyo).

Kuna siku nimetoka Posta, nipo Mwendokasi. Kuna mchongo nilifukuzia afu ukafeli vibaya sana. Yaan sikua na maisha.

Nipo kwenye Mwendokasi haina watu wengi kwasababu ilikua mchana, nikawa naongea kumbe mwenyewe hafu sijui. Napiga hesabu hivi na vile kugeuka pembeni kuna mama ananiangalia kwa huruma. Nikazuga naimba. Akaniambia hujambo mwanangu, dah. Simjui kabisa ila ile ujambo imetoka moyoni. Nikamjibu sijambo shikamoo. Tukapiga story 2 3 nikashuka Ubungo.

Inaonekana aliona kijana mafaili yamecorrupt akasema anichangamshe kidogo na ilisaidia. Au usikute ana kijana umri tunaendana akasema labda na mwanangu anapitia kipindi kigumu hivi.

Wabarikiwe sana wazazi.
Hatari mwanawane mpaka unaongea mwenyewe, acha kabisa jobless kona noma sana.

Jamani tuwaheshimu mama zetu yaani sanaaa, the pain they feel is such so deep.
 
Back
Top Bottom