Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

Uliishi maisha gani baada ya kupoteza Kazi au Biashara?

Mimi niko na ajira ila maisha yangu full soltepu.
Kuanzia kula, kuvaa, bili za kodi umeme maji.
Maisha magumu kinoma na hapa niko permanent and pensionable.
Mwanawane usichomoke hapo, tena kaa tuliiiii. Huku mtaani ni noma mazeee, mambo ya kuanza kujibu maswali ya interview sio kabisa.

Tulizana hapo hicho kidogo wapata chatosha as long as its legally earned.
 
Bwana bwana usiombee kupitia hii hali. (wouldnt wish it even for my worst enemy) jobless corner isikie tuu kwa wenzio maana ikupate mbona utajua maisha yakoje. tena ombea ikukute wakati huna mchuchu, kama una mchuchu aisee nakwambia ndio utakapo tambua kuwa woman = devil reincarnated. mie nilibwagwa na kuambiwa sina mbele wala nyuma kama mche wa sabuni!!!! mzazi anakusikitikia tena wa mama ndio kabisa unamuona tuu anauzunika, acha kabisa maumivu yake ni balaaa.

All in all mwanawane wewe pambana tuu ndio mapito ya maisha always bliv good is going to happen na muhimu sana angalia sana wale watakao kuwa nae katika wakati huu maana siku neema ikishuka hao ndio wakula nao.
Nimeshabwagwa mkuu mwezi wa pili huu sijapata radha ya mbususu, ni mateso
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.

View: https://youtu.be/RYWaQUEDlyU
 
Mimi niko na ajira ila maisha yangu full soltepu.
Kuanzia kula, kuvaa, bili za kodi umeme maji.
Maisha magumu kinoma na hapa niko permanent and pensionable.
mwanawane usichomoke hapo, tena kaa tuliiiii. huku mtaani ni noma mazeee. mambo ya kuanza kujibu maswali ya interview sio kabisa. tulizana hapo hicho kidogo wapata chatosha as long as its legally earned.
Nimeshabwagwa mkuu mwezi wa pili huu sijapata radha ya mbususu, ni mateso
ah mwanawane hilo litegemee tuu hapo mzee utajua kila aina ya punyeto 😀😀😀😀😀😀
be strong man vumilia kuwa na mkakati wa namna ya kujikwamua hapo ulipo. mademu wa sasa wewe usiwaze kabisa utambulia matusi tuu. hawa jema hawa
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Miezi miwili tu?
 
Back in days
Hapo nimerudi chuo kwenda kufanya Supplimentary, nilikuwa na kama 500k mfukoni. Nimefika nikapambana nikapata pakulala,, doh , shetani la kamari likanipitia maana nilikuwa Mraibu wa kubet miaka hiyo,, nikaplace bet ya 100k,, inplay, ikaliwa.

Hasira ya kukimbiza hasara nikaweka 250k ikaliwa tena,
Hasira zikapanda huku najipa moyo ntairudisha labda , nikafanikiwa kula jumla nikawa na 130k kwenye Account ya bet.,, Shetani likanimbia weka yote upate zaidi, bwana bwana nikaweka Holaa,, nikaliwaa.
Hasira zikazidi kuwa kali Zaidi nikamalizia kudeposite tena 136k, nikala ikafika 200k, nikaanza kupata amani kwa mbali. Oooh mchezo ule usivyokuwa na baraka na ulivyolaaniwa ikaliwa yoote. Bare in your mind hapo mfukoni imebaki kama 14,000/= na Sup ratiba imekaa vibaya natakiwa nisubir mpk wiki ya tatu.

Nilianza kushindia muhogo mmoja kwa siku, na hapo ndio niliona picha halisi ya njaa, nikagundua pia ukiwa na Njaa haulali.

Wiki ya mwisho nilikaa siku 2 nakumbuka bila kula nakunywa maji na karanga tu.

Nauli ya kurudi nyumbani nilikuwa sina ikabid nikawaombe wale matrafic wa Pale Nane nane Dodoma waniombee lift alooh.

VIJANA KAMARI NI UMASIKINI.
 
Back in days
Hapo nimerudi chuo kwenda kufanya Supplimentary, nilikuwa na kama 500k mfukoni. Nimefika nikapambana nikapata pakulala,, doh , shetani la kamari likanipitia maana nilikuwa Mraibu wa kubet miaka hiyo,, nikaplace bet ya 100k,, inplay, ikaliwa.

Hasira ya kukimbiza hasara nikaweka 250k ikaliwa tena,
Hasira zikapanda huku najipa moyo ntairudisha labda , nikafanikiwa kula jumla nikawa na 130k kwenye Account ya bet.,, Shetani likanimbia weka yote upate zaidi, bwana bwana nikaweka Holaa,, nikaliwaa.
Hasira zikazidi kuwa kali Zaidi nikamalizia kudeposite tena 136k, nikala ikafika 200k,, nikaanza kupata amani kwa mbali. Oooh mchezo ule usivyokuwa na baraka na ulivyolaaniwa ikaliwa yoote.
Bare in your mind hapo mfukoni imebaki kama 14,000/= na Sup ratiba imekaa vibaya natakiwa nisubir mpk wiki ya tatu.
Nilianza kushindia muhogo mmoja kwa siku, na hapo ndio niliona picha halisi ya njaa,, nikagundua pia ukiwa na Njaa haulali.
wiki ya mwisho nilikaa siku 2 nakumbuka bila kula nakunywa maji na karanga tu.
Nauli ya kurudi nyumbani nilikuwa sina ikabid nikawaombe wale matrafic wa Pale Nane nane Dodoma waniombee lift alooh.

VIJANA KAMARI NI UMASIKINI.
Sijawahi kuiamini kamari mpk kesho. Njaa haina baunsa
Pole na hongera kwa kulijua hilo
 
Usiombe Biashara ife au Kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopaa

Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu,

Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Nilikuwa nikubahatisha kula usiku,natamani asubuhi isifike niwe na shida hiyohiyo!Maisha haya we acha tuu
 
Back
Top Bottom