BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Kabisa.Sijawahi kuiamini kamari mpk kesho. Njaa haina baunsa
Pole na hongera kwa kulijua hilo
Siku hizi nikiona mtu anaweka hata 100 yake kwenye Kamari namshangaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Sijawahi kuiamini kamari mpk kesho. Njaa haina baunsa
Pole na hongera kwa kulijua hilo
Last paragraph....umemaliza yote...hatari mwanawane mpaka unaongea mwenyewe. acha kabisa jobless kona noma sanaaa.
jamani tuwaheshimu mama zetu yaani sanaaa. the pain they feel is such so deep.
Hamna bro. Yaani ata kuelezea siwezi.Unasanifu wenzio sio?
😀😝😝😝Hapana, nisingeishi kama mkimbizi.
Ningekua mkimbizi kabisa aisee.
Una zungumzia Yale maisha ya watu kukuona dishi japo u timamu?Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa.
Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu.
Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Been thereUsiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa.
Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu.
Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Nyakati ngumu za kupoteza kazi ghafla zilikutana,na toka wakati huo,mpaka leo nsishi maisha ya kuunga kuunga,nikisikia mtu ana pesa,za kumtosheza maisha yake,na kuwapa na wengine,huwa nabaki kushangaa.Hali ni ngumu,haielezeki.Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa.
Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu.
Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Halafu anatokea mburukenge mmoja asiye na akili kwenye fuvu aliyeajiriwa au mwenye kibiashara cha kuingiza shilingi kadhaa za kusukuma siku ,anawananga jobless .Pole ndugu, nilipoteza kazi nikiwa na familia ya watoto 2, usiombe hii hali ukutane nayo.
Ilichukua mwaka mzima kuwa stable kiakili.
Naomba kujua jinsia yako Kama hutojali tafadhaliUsiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa.
Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu.
Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.
Natamani kuwa ijfKawaida hiyo kila mtu lazima apitie,komaaa tu
Ova
Acha tu aisee,tuendelee kupambana.Wewe mbona upo stage nzuri tu ya kuchanganyikiwa.... imagine jobless hajawahi kua na mishe ya maana na anasurvive
Acha Maisha yanakunyoosha mwili unanyooka kama mtiUna zungumzia Yale maisha ya watu kukuona dishi japo u timamu?
Maisha ya kutembea huku ukiwa hujiamini na kujiona Kama sio wewe/ yule og?
Maisha ya kuwa kwepa watu wanao kujua kwa kuhofia kuchekwa?
Maisha ya Kula vyakula vya walevi wa pombe za kienyeji virabuni?
Au Yale maisha ya kunywa pombe local ili upunguze njaa kwani pesa ya Kula hakuna?
Hakika nimaisha magumu na yanayo umiza mkuu
Niku shauri tu baada ya kukupa pole kwamba
Kwenye maisha hakuna hari inayo dumu iwe nzuri au mbaya
Pole sana.Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na kutojua kesho yako, maisha ya kula leo saa saba mchana mpaka kesho saa saba mchana, hatari ogopa.
Jamaa unakonda ubaki kichwa tu, nimejiapiza hata home likitokea tatizo siwezi kwenda kwa muonekano huu.
Kama umewahi kupita nyakati kama hizi share hapa na wadau siku yako ilivyokua inapita kwa kuungaunga.