Ni kweli japo inahitaji akili nyingi. Nakumbuka nilimalizaga chuo na mtaji wa milioni 5 na pesa za matumizi kiasi kama laki 5 plus assets kama kiwanja na vitu baadhi vya kuanzia maisha.Unaweza ukajipata ukiwa chuo tena kwa pesa ya boom ukiwa timamu na uchumi.
Pole mkuu nafasi bado ipoNi kweli japo inahitaji akili nyingi. Nakumbuka nilimalizaga chuo na mtaji wa milioni 5 na pesa za matumizi kiasi kama laki 5 plus assets kama kiwanja na vitu baadhi vya kuanzia maisha.
Ila dah nilijichanganya padogo tu nikajikuta napiga reverse ya hatari..
Mola wetu mlezi atutupiga moto siku ya kiyamaTusiache kunywa bia jamani.....tule bia tule bia
Mkuu na mimi nipo kkoo tuoane 😹😹Mi nilijipata nikiwa na miak 21 and now nina 29 so nina nyumba mbili moja iko tabora nyengine Dar kigamboni kule karibu na namiliki gari mbili moja ya biashara nyengine ya kutembelea na biashara zangu ziko kariakoo kilichobaki n kuoa tu ndo sijakamilisha
Kumbe upo vizur nilijua ni mwendo wa tungi😂😅Mimi 21
Wezi sio watu poa kabisa Mkuu, tuzidi ku push hard kiongozi2024 ni hatua Moja nimesonga ,japo wezi walijaribu kunirudisha nilipotoka ilaa ckutaka kurudi ,nimekomaa nikasimama Kwenye hatua yangu Moja niliyoianza 2024 ..Kwa Sasa c habaa nilipotoka na nilipo n hatua....
Vijana tusiache kupeana madili pale unapona unaweza muunganisha mwenzio akapata ridhikii,,na vijana uaminifu uwe ngao yetu tuache TAMAA ya kuiba Kwa watu mnaoonganishwa kupata kazi
Km n kijana umeamua kupambana ndugu wazime cm Kwa muda na wasiwe sehemu ya utafutajii wako na wasijue mambo Yako ..ila km Kuna misiba na sherehe shiriki pita hv ........n hayo tu Kwa 2024
Kuna wengine hata hawajaelewa kujipataje, wengine bado kula kulala watasema wamejipatahapo ulishamaliza shule ?
😁😁 upo wapi ....?Tusiache kunywa bia jamani.....tule bia tule bia
Nakuja 😆tuendelee kujitafuta basiJust 23
Sasa hapa labda uje unisaidie kuzikusanya tu 💗😍Nakuja 😆tuendelee kujitafuta basi
Ntumiie nauli😍🫶🤣Sasa hapa labda uje unisaidie kuzikusanya tu 💗😍
Bado nasoma alama za nyakati naamini ntajipata tu kwa hizi hersal z otewakuu kama mnavyoona zimebaki siku mbili tu kuumaliza mwaka 2024 na kuanza mwaka mwingine 2025,
watu wengi hua wanajiwekea malengo mbalimbali wakiamini mwaka mpya unavyoanza ni rahisi zaidi kuanza mambo mapya au kubadikisha lifestyle ya zamani na kuanza mpya. inaonekana ni rahisi kuliko kuanzia katitati ya mwaka.
lengo hapa ni kupeana experience,
Kuna watu wana malengo au vitu wanavyopanga kuvifikia baada ya mwaka au miaka kadhaa ijayo kuanzia sasa,
Mfano, kufungua biashara ya ukubwa fulani, kujenga nyumba au kumiliki ndinga ya ndoto yako,
Sasa pia kuna watu hizo stage walishazipitia miaka iliyopita na sasa wapo kwenye level nyingine, wamejipata ( kila mtu ana mtizamo wake kuhusu level ambayo atasema amejipata )
Je ulijipata ukiwa na miaka mingapi ?
uliajiriwa au ulifanya mishe kama biashara, kilimo, ufundi n.k ?
ilikua bahati au uliweka plan na mikakati ya kutosha na je uli wahi kufeli mara ngapi ?
Kabla ya kujipata maisha yalikuaje na je uliamini utafikia hapo ulipo ndani ya muda huo ulioutumia kufika ?
Uliwahi kuwa kwenye addiction zinazo kupotezea hela mfano pombe na starehe nyingine wakati bado hujajipata ?
Lengo ni ku share experience na mindset kwa wote wanaojitafuta na ambao wana mipango na melego fulani wanayotamani kuyafikia, kwakua tumetofautiana level ni wazi kua kuna wengi wameshafikia hapo ambapo mwingie bado anapafikiria namna ya kufika.
Hilo limeisha mama, We belong to ourselves 💗Ntumiie nauli😍🫶🤣
🙃♥️Hilo limeisha mama, We belong to ourselves 💗
Duh mkuu, hii mbinu mm ndio nmeishtukia round hii baada ya kuingia 2nd year aisee, najuta kwann sikuwa na moto huu milio nao sasa tangu nikiwa 1st year 😳Unaweza ukajipata ukiwa chuo tena kwa pesa ya boom ukiwa timamu na uchumi.