Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Kuna feelings flani hivi ameiziiing
Eti wakuu?
Eti wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah wakuje na ushuhudaWakuu njoeni
Freedom, like a king hahaha. But ni miaka mingi imepita so suddenly utazoea utaina kitu cha kawaidaKuna feelings flani hivi ameiziiing
Eti wakuu?
Usijisikie vibaya, ni suala la priorityNilijisikia vibaya kwakua wenzangu wanamagari wanakuja nayo kanisani wakati mimi siwezi kuja na nyumba yangu kanisani。
Nimechangamsha tu, nyumba yenyewe sina。Usijisikie vibaya, ni suala la priority
Aisee!Unaanza unalala master bedroom, unaamka saa 6 unahamia kids room unalala kidogo, then saa 7 unakuwa umelala guest room, saa 8 unakuwa dinning umelala juu ya meza, ikifika saa 9 upo kwakochi seating room umejikunja, saa 11 unastuka upo stoo halafu pakikucha unaamkia jikoni unaendelea na breakfast.
Asante mkuuMnaoishi kwenye nyumba zenu mnaitwa huu Uzi haunihusu kbs
Heeeh! Kumbe mna mageto....Mimi narudi home kwenye ugali wa shkamoo mamaAsante mkuu
Urudi geto kwako sasa