Ulijisikiaje siku ya kwanza umehamia kwenye nyumba yako?

Ulijisikiaje siku ya kwanza umehamia kwenye nyumba yako?

Sijui nisemeje ila ni zaidi ya FURAHA 🥰🥰
 
Waliingia wezi/ vibaka, kupitia dirisha la sebuleni. Fortunately wakashindwa kuitoa TV, Panasonic ya zamani ina kitako kipana na hakichomoki.... Kwenye kabati la koridoni wakapata pasi na kwenye showrack (koridoni) wakachukua raba zangu pea 2 zilikuwa mpya.

Ile hali ya kuwasikia watu wako ndani kwangu sebuleni wakikorokochoa korokochoa wakati mi nipo chumbani nawasikia... nilipata trauma karibia mwezi mzima nashindwa kulala vizuri.

Badala ya kufurahi ikawa struggle, nikajifunza na kufuga mbwa waliruka fence, ni fupi kiasi just uzio tu na haikuwa imeisha. Baadae nilikuja kupata clue kuwa ni vijana waangalizi wa ujenzi nyumba ya mbele yangu. Na hawajawahi kuja tena.
 
Nilienda kwenye Grogery ya jirani kununua pombe mhudumu akaniambia nipe pesa kwanza,mwenye Grogery akamwambia mpe tu huyu atalipa ni yule kijana mwenye nyumba pale mbele nikafurahi.Baadaye nikaiuza lakini bado nina kumbuka heshima ya wastani niliyopewa kama Kijana mwenye nyumba kali mtaani.
 
Waliingia wezi/ vibaka, kupitia dirisha la sebuleni. Fortunately wakashindwa kuitoa TV, Panasonic ya zamani ina kitako kipana na hakichomoki.... Kwenye kabati la koridoni wakapata pasi na kwenye showrack (koridoni) wakachukua raba zangu pea 2 zilikuwa mpya.

Ile hali ya kuwasikia watu wako ndani kwangu sebuleni wakikorokochoa korokochoa wakati mi nipo chumbani nawasikia... nilipata trauma karibia mwezi mzima nashindwa kulala vizuri.

Badala ya kufurahi ikawa struggle, nikajifunza na kufuga mbwa waliruka fence, ni fupi kiasi just uzio tu na haikuwa imeisha. Baadae nilikuja kupata clue kuwa ni vijana waangalizi wa ujenzi nyumba ya mbele yangu. Na hawajawahi kuja tena.
Pole sana jirani, mbona haukunipigia sim..🤔
 
Wewe nyumba ya nini,si ungesubiri mume aje ajenge. Utakosa mume wewe shauri yako
Atajenga nyumba ambayo sitoipenda 😂😂

Halafu mimi ninakoelekea najioa, bado sijaona wa kunioa kaka.!! Au nisubiri waumbwe wengine, ila hawa wamatumbi nei nei
 
Atajenga nyumba ambayo sitoipenda 😂😂
Halafu mimi ninakoelekea najioa, bado sijaona wa kunioa kaka.!! Au nisubiri waumbwe wengine, ila hawa wamatumbi nei nei
Naomba nikuoe Lamony.
 
Pongezi kwenu wote mliofanikiwa kujenga na mnaopambana kujenga,kwa itakaye mpendeza naomba kupata Picha ya Chumba kimoja,sebule na jiko ili na mimi nijipange.asante
 
Back
Top Bottom