Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mamaee[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kcheche, kesi flani ilifika hadi kwa headmaster akaniuliza kati ya huyu na huyu nani mpenzi wako, nikashtukia huo mtego nikawakana wote wawili, muda wa kutoka nasikia watu wanapigana tena nje huko, nikadandia daladala huyoo nikayeya