Ulikua na sifa gani darasani kwako

Kcheche, kesi flani ilifika hadi kwa headmaster akaniuliza kati ya huyu na huyu nani mpenzi wako, nikashtukia huo mtego nikawakana wote wawili, muda wa kutoka nasikia watu wanapigana tena nje huko, nikadandia daladala huyoo nikayeya
Mamaee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahhahaha!!
Unafanya scanning, unatafuta tu point ya muhimu..Hayo maelezo ya blah blah unaweka kapuni...
Unaizimia moto mpaka NECTA..Ratiba ya NECTA ikishabandikwa huonekani DH wala class. 😀 😀 😀
Kwa kweli hadi wengine tulikuwa tunawasahau kama wapo shule maana hata kula muda mwingine hawapo
 
Nilikua mwoga wa fimbo balaa nakumbuka kuna siku tuliiiba fimbo zote tukazichome... Tukafikiria kukata miti yote iliyo karibu na shule tukaahirisha hahaa daah [emoji124]
Aisee! Niliwahi kimbizana na mwl.kisa naogopa bakora, mwl.aliambulia kula mweleka..akaahirisha zoezi.
 
Sikuwahi kukaa assemble, sikuwahi kukaa shule siku nzima tangu niko form one naingia sa mbili na nusu naondoka na shabiby ya sa sita (ndivyo tulivyokua tunaita) Seat yetu ya backbencher ilikua ni kama ukanda wa gaza au taleban
 
Nilikua mwoga wa fimbo balaa nakumbuka kuna siku tuliiiba fimbo zote tukazichome... Tukafikiria kukata miti yote iliyo karibu na shule tukaahirisha hahaa daah [emoji124]
hahahaha...me nilkua nikiona mwanafunz ana chapwa kabla haijafka zamu yngu tayar machoz ila ilifika tym nikazoea nikawa napenda xna fimbo
 
Sikuwahi kukaa assemble, sikuwahi kukaa shule siku nzima tangu niko form one naingia sa mbili na nusu naondoka na shabiby ya sa sita (ndivyo tulivyokua tunaita) Seat yetu ya backbencher ilikua ni kama ukanda wa gaza au taleban
hahaha ilikua hatare me nilikua na shinda makaburin tu
 
Msoma magazeti ya udaku na vtabu vya hadith ...yaan ilikua balaa..SKU hizi staki hata kuviona nmehamia kW kina kiyosaki na kina James Allen
 
Msoma magazeti ya udaku na vtabu vya hadith ...yaan ilikua balaa..SKU hizi staki hata kuviona nmehamia kW kina kiyosaki na kina James Allen
yalikua hayakupiti yale ma magazine
 
Hayakatizi hasa Yale y shigongo na stories zake za kufikirika[emoji3] [emoji3]

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Hahahha!
Stori za Zubagy Akilimia
Stori za Faki A.Faki
Siri iliyotesa maisha yangu
Mwisho wa uhai wangu
Raisi anampenda mke wangu
Machozi na damu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…