Ulikuta Nini kwenye Geto la mshikaji wako ukabaki kujiuliza hiki kilifikaje hapa?

Ulikuta Nini kwenye Geto la mshikaji wako ukabaki kujiuliza hiki kilifikaje hapa?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?

Ebu lete kisa chako hapa.


Naanza Mimi......

Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.

Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.

Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?

Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.


Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)

Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.

Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
FB_IMG_1732279322407.jpg
 
Wakuu Hivi ushawahi enda Kwa ndg,jamaa ama msela wako tu ukakutana na kitu ambacho hukutegemea kabisa na ukabaki kujiuliza kilifika fikaje hapa?

Ebu lete kisa chako hapa.


Naanza Mimi......

Nilienda Kwa msela wangu sana yaani yule ambaye unamuita boya fala nk na mnabaki mnacheka tu bila kuonyesha reaction yoyote mbaya.

Nilipofika geto nikaona Kwa kitanda ana shuka la hospital lililoandikwa MSD.

Nikashangaa sana Kisha nikamuuliza oyaah hili zaga lilifikaje hapa?

Akaniambia tulia wewe hujui maisha!! Sikuendelea kumhoji nikabaki na masawali tu.


Mdogo wangu yeye nimewahi kukuta shuka la loudge jipya kabisa zuri na maandishi yake Bado mapya kabisa Wala nae hajali. (Sikuhoji)

Msela angu mwingine nilikuta baiskeli ya waremavu na amejaribu kiti Cha kustarehe kabisaa.

Huko uraini umewahi kukutana na Nini ukabaki na maswali mengi?
View attachment 3158780
Picha zinajieleza ni getoni Kwa msela
View attachment 3158781
Ahaaa
 
😂😂😂😂😂😂😂comment za huko juu daaah kwanza nicheke maana...

Ila mi niliwahi kuta ile mashine ya salon ya kike ambayo wadada wanaweka kichwa sijui...

Nyingine nilikuta jamaa ana tranka ndani anafuga panya alafu anawanunulia na maziwa ya unga kabisa

Kuna jamaa angu yupo gomzi pale ni mkristo ila nilikuta ana ile fimbo ya mashekhe wanayoshika msikitini wakiwa wanatoa mawaidha... Na sio moja ila ana fimbo kama saba hivi
 
Back
Top Bottom