Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Ule ulikuwa uzembe sana. Kushindwa kufuga panya na hao chura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashangaa, kuna wenzetu wanaishi maisha ya hajabu sana.Aiseee!!!
Kweli mkuuUnashangaa, kuna wenzetu wanaishi maisha ya hajabu sana.
Bora walivyokupa ban 😹Nilikuta ametundika MBUNYE dirishani.
Nilitetemeka mno.
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Lamomy Lloyd Munroe Extrovert DR Mambo Jambo Mzee wa kupambania
Uhakika mkuu. Kuna msela etu(rip)Wana kama hao, ukiwapa mission yeyote inakamilika.. 😆😆
Uhakika mkuu. Kuna msela etu(rip)Wana kama hao, ukiwapa mission yeyote inakamilika.. 😆😆
Kabisa mkuu 😆😆Uhakika mkuu. Kuna msela etu(rip)
Jamaa ilikuwa ukimtonya dili tu Tyr Hawa Wana ni muhimu sana kwenye circle ya maisha yetu.View attachment 3167541
Mkuu hiyo taa ya barabarani ni High voltage kivipi🤣😂 Hatari SANAA yaan ni high voltage ⚡ ⚡ ⚡ ngoja nitoke nduki 🏃🏃🏃🏃
Nimemaanisha UNAKAA NA NYARA YA SERIKALI NYUMBANI. unajua Hilo kosa unapigwa mvua ngapi?Mkuu hiyo taa ya barabarani ni High voltage kivipi